Mengi sijui kwanini alitaka kupinga hii kitu
Ubinafsi
Mengi sijui kwanini alitaka kupinga hii kitu
hata kwenye DSTv hazionekani. nilikuwa nashangaa why? kumbe tatizo ndo hilo!Kwa namna ulivyoandika inaonekana hapa Tanzania bado watu watapata fursa ya kuona matangazo ya luninga hizo...
Isipokuwa kwa huko Kenya ndio sheria itawataka wapitishe mawimbi yao kwa ving'amuzi pia...
hata kwenye DSTv hazionekani. nilikuwa nashangaa why? kumbe tatizo ndo hilo!
Serikali ya Kenya washafikia muhafaka na leo hii hizo channel zitaanza kuruka hewani kwenye ving'amuzi vya Tanzania.
Mkuu acha kupotosha hizo station zimezimwa si kwa ving'amuzi vya Tanzania bali nikote hazionyeshwi hata huko Kenya kwa kuwa havijawa kwenye mfumo wa dijitali,chanzo ni kuwa hizi station kubwa tatu Citizen,Nation na KTN ,zinataka ziwe na king'amuzi chao na pia wapewe asilimia kubwa ya kumiliki masafa,wanapinga kampuni za kigeni kama GOtv na StarTimes(wachina)kupewa asilimia kubwa ya masafa,wanadai wao ndio wenye nchi na hawataki Wachina watumie vituo vyao bure kujineemesha.Hivi vituo vya television ni kama vinaigomea tume ya mawasiliano Kenya kwani ndio steshenikubwa huko Kenya na zina uwezo wa kutumia mfumo wa dijitali ila wanachofanya ni kutunishiana misuli na tume ya mawasiliano.
Kwa kifupi hizo stesheni hazijazimwa kwa pande hii tu ya TZ ni kote hazionekani.