CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes

Kappa.
Hapo juu nimeandika kuwa scaled score of 450 or higher is required for someone to pass the exams....kuna ukokotozi ambao tukionana ana kwa ana ni rahisi kuelezea kulingana na matokeo.ingawa ngoja nijaribu kufafanua hapa... kwa mfano. chapter 1 kati ya 800 umepata marks 500, na ukizingatia hapo juu nimeandika kuwa chaptre 1 ina carry 14% of the total weight, so unachukua 14% unazidisha kwa hiyo marks uliyoipata ya 500,inakuwa marks 70, kisha unajumlisha na lets say chapter 2 umepata 600 kati ya 800, unachukua 14% unazidisha na 600, unapata 80, assume chapter 3 umepata 450 kati ya 800, unachukua 19% unazidisha na 450, unapata 85, chapter 4 umepata 400 kati ya 800, unachukua 23% unazidisha kwa hiyo 400, unapata 92, kisha unaenda hivyo hivyo hadi chapter 5 kama umepata 460 kati ya marks 800, unachukua 30% unazidisha na hiyo 460,unapata 138, jumla yake iunachukua 70 + 80 + 85 + 92 + 138 jumla unapata 470. ukiangalia a scaled score inatakiwa iwe 450 or above, kwa haraka haraka unaona umepata 470, so you have successfully passed your CISA Exams. Kumbuka mtihani ni paper based, multiple choice questions na unasasahishwa kwa computer. hakuna uchakachuaji hata wa sekunde moja, u need to read the manual book between the line ili uweze kufaulu.
naamini umenielewa kwa ufafanuzi huo, kama hujanipata vema utanipa number yako nitakupigia, ama waweza nipigia tuongee bila shaka..
 
Last edited by a moderator:
CISA sio rahisi kihivyo.bora uwaambie ukweli hili wakiingia wajue wameingia vitani
 
Kappa.
A scaled score of 450 or above is required to PASS the CISA Exams.
Mtihani una maswali 200, maximum marks za ufaulu ni 800.
kuna ukokotozi ambao ukiufata vizuri hapa chini utaelewa jinsi ya kufaulu mtihani.
Kwa mfano. Chapter 1 ukipata marks 500 kati ya 800, unachukua 14% unazidisha na hiyo 500, unapata 70, chapter 2 mfano umepata 450 kati ya 800, unachukua 14% unazidisha na hiyo 450, unapata 63, assume tena chapter 3 umepata 600 kati ya 800, unachukua 19% unazidisha na hiyo 600, unapata 114, chapter 4 mfano umepata 550, unachukua 23% unazidisha na 550, unapata 126 na assume chapter 5 umepata 456, unachukua 30% unazidisha na hiyo 456, unapata 137. Ukishamaliza unajumlisha hizo scores yaani unachukua 70 + 63 + 114 + 126 + 137= 510.
Hapo ukishapata 510 manake umefaulu mtihani.....
issue zingine tukionana ana kwa ana ama tukiongea kwenye simu ni rahisi kukupa ufafanuzi.
nakutakia sikukuu njema..
 
Last edited by a moderator:
IFRS.
Nimeshasema hapo juu kuwa CISA sio rahisi kihivyo., ila turudi nyuma, unaposema sio rahisi lazima uwe na vigezo. na unaposema ni rahisi pia uwe na vigezo. mimi nasema CISA ni rahisi kama ukifanya yafuatayo.
1. Upate relevant learning materials and practise database ambayo yako reccomended na ISACA...
2. Upate mwalimu wa kuku take through kwenye review, sio tu mwalimu lakini mwalimu ambaye ni experienced, na ana practise IT audit tena kwenye reputable organisation ambazo kazi za audit ziko nyingi..kama mimi..nafundisha lakini pia nafanya kazi ya audit.

3. Experience also matters--kwa wale ambao wako makazini wana advantage kubwa kwani vitu vingi vinavyofundishwa vinafanyika makazini. kwa mfano..tunaposema one of the controls ya ku depunguza fraud is segragation of duties...mtu aliyekokazini anajua nini maana ya segregation of duties...ushaona ehh?

4. Juhudi Binafsi....ili ufaulu unahitaji kusoma, CISA manual ni kubwa, na nakuhakikishia kwa wale watu ambao wanasoma kabisa, kwa experience yangu wengi wamefaulu..ukitaka reference nzuri nenda National Audit Office, walikuwa na muda wa kutosha kujiandaa na mtihani na walifaulu wengi sana...tatizo watu hawasomi halafu wanataka kufaulu...hata katika maisha kutia bidii ni kitu kimoja, kufanikiwa ni kitu kingine...am a trainer for CISA over 5 years now, so naelewa nachoongea...hata zamani walikuwa wanasema CPA ni ngumu, lakini jamaa zangu tulipomaliza mlimani tena walisoma Engineering walienda kufanya CPA na wakachukua bila sup hata moja, we have reference. so tutiane moyo...
 

Unaweza kuwa member zaudi ya mwaka , au ukawa member lakini husifanye mtihiani kwenye mwaka husika?
 
kintu.
Kuwa ISACA Member unatakiwa ulipie USD 185, sorry pale juu niliandika 180, mchanganuo wake ni kuwa USD 135 zinaenda ISACA international waliopo marekani na USD 50 zinabaki ISACA Chapter Tanzania, unaweza kulipa online ama ukaenda ofisi za ISACA Tanzania kuna mtu naweza kukuelekeza ukaonana naye akakusaidia jinsi ya kulipa.
membership inalipiwa kila mwaka, so ukilipa membership Jan hii inakuwa hadi december 2015.
na unaweza kuwa member na usifanye mtihani..ukawa unahudhuria seminar, workshops na ku access materials from ISACA library, na unakuwa unapata Journal online na zingine wanakutumia kwenye address yako free of charge. hzo journal zinaelezea current and emerging issue as far as Governance, Risk management, Controls and Compliance issue are concerned. just access their website for more information.
 
Last edited by a moderator:
For Example: the below words comes from January online Journal i may wish to share with you if you are a member.


On the positive side, the audit profession offers many opportunities for personal and professional growth: progression to chief audit executive (CAE), membership in audit committees, consultancy and senior management roles. The choice is yours, but only if you are prepared.

The following is a good reminder of what the concept of "auditor" covers:


  • A......Analytical
  • U......Unbiased
  • D......Diplomatic
  • I.......Independent (and inquisitive)
  • T......Thorough
  • O......Objective
  • R......Reliable
 
Good news. registration for June Exams is now available.

Exam Date-13 June 2015 Exam
Early registration deadline: 11 February 2015
Final registration deadline: 10 April 2015

Exam registration changes: Between 11 April and 24 April 2015, charged a
US $50 fee, with no changes accepted after 24 April 2015
Refunds: By 10 April 2015, charged a US $100 processing fee, with no
refunds after that date
Deferrals: Requests received on or before 24 April 2015, charged a US $50
processing fee. Requests received from 25 April through 22 May 2015, charged
a US $100 processing fee. After 22 May 2015, no deferrals will be permitted.
All deadlines are based upon Chicago, Illinois, USA 5 p.m. CT (central time)

So while you prepare yourself for the review classes put it on your mind also the time table for exams.

Best wishes.
 
Mkuu naomba unisaidie kujua relevant CISA training material ambazo mtu ukiamua kupiga msuri unanunua...kuna jamaa yangu ambaye yuko nje ya dar anahitaji kupata material ili aanze kusoma yeye ataanza review ya mwezi wa 4
na pia nahitaji kujua kati ya CISA na CISM mtu unatakiwa kusoma certification ipi?
 
Thx Tarime.. Kati ya CISA na CISM unaweza kuanza kusoma certification yoyote ile, sema kwa uzoefu wangu nakushauri uanze kusoma CISA, kwani itakupatia base na background nzuri ya kufanya CISM. na kwa mfano chapter 2 inagusa issues za informations systems security, na utazikuta in details kwenye CISM, na wengi waliofanya cisa wakisoma cism wanafaulu bila shida. kwani cha muhimu hapa ni kutengeneza base, ama msingi wa kuanzia..kuhusu gharama nakutumia bronchure toka ISACA ili uone mchanganuo wa bei za kununua manuals na database ya maswali na majibu..
 
Kwa mm mtu mwny bachelor ya Account ntaanza sawa na mtu wa diploma au mtu mwngne ambae hakusoma a/c???
 
Nando.
Hii course inatakiwa mtu yoyote mwenye either diploma ama degree ya aina yoyote, cha msingi ni general understanding, ingawa kwa mtu aliyesoma diploma ama degree ya IT anakuwa kwenye upper hand in terms of skills na kuelewa vitu ambavyo vinafundishwa. na tunaanza kufundisha kuanzia mwanzo kabisa, so cha msingi ni wepesi wako wa uelewa na commitment yako ya kusoma manual na kuhudhuria vipindi, CISA is about Information Systems Audit..unapata skills za jinsi ya kuperform audit on informations systems.
Issue zinazofundishwa zinahusu Governance, Controls, Risk management na compliance. Kwa wewe mtu wa acounts itakufaa sana...
 
Last edited by a moderator:
VILLAIN.
Arusha huwa tunashirikiana na Chuo cha Uhasibu Njiro kufundisha hiyo course. mwaka jana tumefundisha hapo, kwa mwaka huu ndo tunafanya mpango tuone kama tutapata wanafunzi wengi tuanzishe darasa hapo. ujue CISA is new kwa watu wengi, awareness ni muhimu ili watu wajua umuhimu wa kupata hii certification, issue sio certification lakini after completion ya hii course naamini kama wewe ni auditor ama unafanya kazi utakuwa umeongeza kitu kikubwa sana kwenye utendaji wako wa kazi...will get back to you tuone kama tutapata idadi ya kutosha kufungua darasa hapo.....
 
Last edited by a moderator:

Kuna jamaa mmoja anaitwa KIMBI alikuwa na mpango wa kutufundisha hiyo course bt bahati haikuwa yetu chuo kikafungwa kwa sababu ya vurugu so hatukusoma tena hiyo course.
 
@VILLAIN.
Kimbi tunafahamiana, huwa tunafanya kazi pamoja, hata hiyo ya Arusha alianza yeye kisha module zilizobakia nikamalizia mimi...May be nikupe contact za Coordinator wa Insititute of Accountant Njiro pale Mr. Mswahili unaweza kuwasiliana naye ukajua kuna wanafunzi wangapi tukaanzisha darasa haraka iwezekanavyo, make kuna wakati tulikuwa tunafundisha intensive training ya full day kuanzia ijumaa, jumamosi na jumapili, tulifundisha darasa lilikuwa na jamaa wametoka Tanapa, mwingine katoka Mahakama ya kimataifa hapo arusha, na wengine hapo hapo chuoni njiro, mwingine crdb bank.
 
Final Call:
Kwa wale ambao hawajafanya registration nafasi iko wazi. tunawakaribisha wale wote wanaohitaji kupata hii review classes adimu sana kutoka kwa walimu waliobobea kwenye issue za information systems audit, security, risk assessment, governance and compliance issues:For details please call: 0713 451713
 
Studying for the CISA exam?
See tips to help you pass the exam in the latest ISACA.....A CISA's tips for passing the exam on the first attempt..

After gaining related experience through several years of teaching the Certified Information Systems Auditor (CISA) review courses and producing a number of successful CISA certification holders in the market, I strongly believe that the following approach is a helpful method to pass CISA on your first attempt:

Read the ISACA CISA Review Manual carefully. Concentrate on Section Two of every domain. Read the manual at least twice.
If possible, get coaching. Coaching will lead you toward a true understanding of difficult topics, knowledge sharing, exam tips, developing your weak areas, understanding the technical points, and managing stress and time.
Practice the exam simulation. Cover every question and revise until you meet the score of 90%.
I recommend spending 35-45% of your time on the manual, 15-20% on getting coaching and another 35-40% on practicing the exams.
How to approach the exam
It is important to take exam very seriously. Concentrating and thinking like an auditor is your best bet. Learn concepts regarding every technology, tool, and technique and approach discussed in ISACA's CISA Review Manual.
Reasons for failure
In my experience, most students with a technology background face difficulties in understanding governance and auditing concepts, and they tend to think technically. This can be a reason for failure because you must be sure to think like a manager and/or auditor and see the holistic picture.

On the other hand, students from audit and accounting backgrounds think like an auditor, but may find difficulties in technical topics. These students need to understand the concepts, core objectives and reason of technology being developed.
Most experienced students try to apply their own concepts and techniques, but this is unreliable. I recommend you consider and accept that ISACA's techniques are internationally accepted, realistic and standardized.
Preparation material
A lot of material exists which may help you to pass the exam, but you should stick to the official ISACA material such as:
CISA Review Manual
CISA Practice Question Database
Focus on the concepts in the CISA domains and concentrate on the areas you need to improve. Wish You All the Best for the coming June 2015 CISA Exam.

Regards
SAM.
 
Why Become A CISA?

• Enhanced Knowledge and Skills
– To demonstrate your willingness to improve your technical knowledge and skills
– To demonstrate to management your proficiency and commitment toward organizational excellence

• Career Advancement
– To obtain credentials that employers seek
– To enhance your professional image


• Worldwide Recognition
– To be included with more than 90,000 other professionals who have gained the CISA designation worldwide

Come and Join the winning team.
 
Why Become A CISA?

• Enhanced Knowledge and Skills
– To demonstrate your willingness to improve your technical knowledge and skills
– To demonstrate to management your proficiency and commitment toward organizational excellence

• Career Advancement
– To obtain credentials that employers seek
– To enhance your professional image


• Worldwide Recognition
– To be included with more than 90,000 other professionals who have gained the CISA designation worldwide

Come and Join the winning team.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…