Mr ceragem
Senior Member
- Feb 22, 2015
- 109
- 65
Usibishe kila jambo ndugu haya mambo yanawezekana kabisa, mfano mdogo angalia kundi kubwa lilivyoathirika na matumizi mabaya ya mtandao hasa hizi smartphone, imesababisha watu wawe kama mazombie na kushindwa hata kutafakari mambo yenye manufaa kwa jamii...There would be no such mythical power!!
Hizo ni propagandas za kuwatia wasiwasi maadui zao
Huku unashusha vitu tunachangia hili sio group la whatsapNo you can't be serious ma nigga mm nilijua umeshusha nondo ili tuchangie kumbe umelete ma link. Huku hatufanyi hvo
Deliberately done...Huku tunakoelekea sasa kubaya na haya mambo inaonekana yalifanyika miaka ya sabini na kufanikiwa, hivyo wameplan kutumia minara ya simu au ndege, magar yenye vifaa maalumu kwa ajili ya kucontrol akili yetu, swali je tupo salama au hata unachowaza leo ni mtu tu kaamua uwaze hivyo unavyowaza?
Kwa maelezo zaidi link hii hapa chini
US govt counterterrorism center accidentally releases ‘remote mind control’ documents - report
Kweli zombies ni another good way ambayo people control people. Mfano: cheki kitu kinachoitwa Voodoo Magic huko ndo mtu anafanya kitu bila mind yake kuwa activeMbona kuhack akili ya mtu ni jambo jepesi sana.
kama sisi kwa sisi tuna hackiana.
Unadhani movie za mazombie zina ujumbe gani?
Wanatengeneza vodoo pupetKweli zombies ni another good way ambayo people control people. Mfano: cheki kitu kinachoitwa Voodoo Magic huko ndo mtu anafanya kitu bila mind yake kuwa active
Sent using Infinix hot 4
Ndio pia kuna movie inaitwa John English kacheza Mr. Bean Kuna solution ilitengenezwa inayo "Timoscrine Baberbutonal" sikumbuki vizuri sana jina lake but wameonesha ni jinsi gani wanaweza kumcontrol mtu bila kuwa na ufahamu wake. Hii Nilidhani ni movie but ukifutailia ndani kuna hidden meaning ya kuwepo kwake.
nimechekaaaaaa!!!!Zile akili za magogoni Remote yake anayo bashite
fafanua mkuuMbona washafanikiwa sana kuanzia kwenye michezo yap mpk maisha ya kawaida tu wanatucontrol
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tunatumia free basic mambo ya link daah. Afanye tu uchambuzi kisha aweke link kama reference. May be can helpNo you can't be serious ma nigga mm nilijua umeshusha nondo ili tuchangie kumbe umelete ma link. Huku hatufanyi hvo