Inashangaz kuona ma atheist wameishiwa kwenye deen yao na sasa wanajadili mambo theist. Kaazi kweli kweli.
Anyway Wakuu, tubakie kwenye mada ya Algeria
Kungekua hakuna hizi dini za uongo [Mussa/Moses/Moshee], miungu ya uongo, Uislam, Ukristo haya yote yasingetokea.
[FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Uganda: [/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Animists, Christians, [/FONT]Sijui wanajiita jeshi la bwana watu kibao walichomewa vijiji vyao watu kibao kupoteza maisha na watoto kutekwa
Ni kweli sababu za ugomvi wa IRA kuwa zilikua kati ya Waingereza Anglican na IRA ambao ni Catholics. Lakini vilevile unasahau kua ugomvi wao ulikua confined Uingereza peke yake, hukuwahi kusikia Anglikana wakipigana mabomu huku Afrika kwa sababu ya vita kule Uingereza, wala hukuwahi kusikia makanisa ya Anglicana au katoliki yakichomwa moto na haya makundi yanapopigana mahali popote pale duniani.
Sasa tuambie atheist ni nini na unafanya nini hapa kwenye mada hii ya deen?
[font=trebuchet ms,arial,helvetica][/font]
sisi atheist tunasema fvck you theist
ndicho mnachofundishwa kwenye hiyo imani yenu?
Sasa tuambie atheist ni nini na unafanya nini hapa kwenye mada hii ya deen?
Dini yetu inavyo sema kwenye ''Surat Meza'' kama sijakosea;ukiua mkiristo,myahudi basi wewe utapata swawabu kwa mwenyezi mungu na mtume wake muhamad(SWA),Quruan imetuasa tuoe wakristo&wayahudi ili dini yetu ipate kuenea na tuwe na wafuasi wengi(yani watoto watakaozaliwa ni waislamu).
vile vile kuna haya inasema kuwa muwateke watu au mvamie vijiji na kuwabadilisha watu wote wawe waislamu(JIHAD WAR ).
mnaopenda kujua zaidi tafuten kitabu cha haya za mashetani.utajua mengi sana.
[FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Uganda: [/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Animists, Christians, [/FONT]Sijui wanajiita jeshi la bwana watu kibao walichomewa vijiji vyao watu kibao kupoteza maisha na watoto kutekwa
[FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]India: [/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Animists, Christians, Hindus,[/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]& [/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica]Sikhs[/FONT][FONT=trebuchet ms,arial,helvetica] recently wakaongeza list waislam[/FONT]
Sisi Atheist tunasema Fvck you theist
Watangazie theist wenzako upuuzi huu lakini watu kama sie atheist ambao hatumjui Musa/Moses/Moshee hatuna imani hii.
Darwini, je unaona busara kipiga makelele tena kwa matusi ukijijumlisha na maatheisti kwa jumla?
Yaani hata ukihesabu maovu yote yaliyotendwa kwa jina la Yesu (karne za kati) na kwa jina la Allah na hata miungu yote milioni 360 za Wahindu - jumla haifiki hata kidogo maovu ya akina Hitler.
Hao wote walikuwa wa kabila lako!
Hitler alikua theist!!
Kumbe! Sina uhakika. Picha zako zinawaonyesha viongozi wa kidini wanaomheshimu Hitler (si ajabu: madikteta wakubwa wanapata watu wa kila aina wanaopiga magoti mbele yao..)- humwonyeshi Hitler akiwaheshimu hao.
Alichojadili Hitler ilikuwa "die Vorsehung" - ni utheisti??
Basi tumwache kando kwa muda.
Ila tu: Stalin na Mao umeshawakubali katika kabila lako?
Toa idadi ya hao waliuliwa na Stalini na Mao
Na mimi nitatoa waliuliwa kwa ajili ya deen.
Unaweza kuionyesha? Itakuwa vigumu. Itikadi ya akina Hitler ilifuata matokeo ya kazi ya (samahani kwa kutumia jina uliolochagua!) Mzee Darwin ("social Darwinism"). Alishika imani Wayahudi ni kama minyoo kwenye mwili wa mbari safi yaani ya Kigermanik. Alitumia mabaki ya chuki ya kidini lakini haikuwa itikadi yake wala wa wenzake watekelezaji wakuu kama Himmler.Holocaust ilikua matunda ya theist
Unapata nukuu nyingi za Hitler kuhusu Mungu kutoka miaka ya mapema. Baadaye taarifa zimebailika. Majadiliano yake ya mezani (yaliyokusanywa kutokana na notisi za sekretari yake na pia wengine waliohudhuria) zinaonyesha picha tofauti.God with us kwenye hio sign ya Hitler
Kutokana na Thread uliyopost inaongelea kuhusu binadamu waliochomewa apartment yao
Atheist ni human being
Ni wewe na mwandishi uliyoifanya iwe ya deen
Goodday!
Naona wakristu mnafunguka akili sasa.
Nikisema waislamu ni maibilisi mnakuja juu,mod naye haishi kunifungia,I think na yeye ni mjaidina.
Hata JK si wetu,yes yupo pale kwa maislahi ya waislamu tuu,na daima hatasita kuwakandamiza wakristu kwa lengo la kupata thawabu siku ya kihama.
Hatufai,yes,hatufai,2010 inakuja, wakristu tusijidanganye,kura zetu tuwape wakristu wenzetu tuu,JINO kwa JINO.
Ni afadhali tusipige kura kabisa kuliko kumpigia Shetani kama JK na wenzake.Tazama hata selection zake,action zake,hazina mrengo wa kitaifa,zimebeba uhalisia wa kimakundi,uchawi, na udini udini tuuu.
Mwinyi mnayemjua ninyi,alithubutu kutaka kuibadili Tz iwe the uNITED iSLAMIC rEPUBLIC oF tANZANIA.WASOMI WAKAMSHTIKIA, leo hii wakristu mnakuwa mabogus na ndiyo wenye kiherehere kuwapigia kampeni viongozi waislamu kama JK.Shame on u all.
Ewe mkristu kura yako mpe mkristu mwenzako. Big NO to JK na waislamu wote.
Ndugu zangu,
Huu sio wakati wa kuwalaumu waislamu au mtu yeyote,(Yesu anasema muwapende adui zenu na muwaombee, Mungu ndie mwenye hukumu ya haki) mwenye macho na atambue ya kuwa, Mwana wa Adamu yu karibu kurudi, huu ni muda wa kutubu, kusali, na kuomba neema kwa Mungu.
Kasome kwanza upate uwelewa.
Atheist hatuna Imani.