kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
kawaida tu angeimba mbona kuna ile fimbo yetu(vanesa)ambaye ikitokea umekugonga kidogo hata na mguu tu inabidi uwahishwe muhimbili,kapo na kanaimba,nachekaga sana kwenye show zake ule wimbo wa hamjui kanavyo hangaika na skonzi zake.
Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.
Koma wee. Wacha kumsema Vanessa vibaya! Kila binadamu kapewa au kunyimwa kitu na Mungu. Vanessa kapewa kipaji kikubwa cha muziki ila kanyimwa vitu fulani. Hata wewe hapo ulipo japo sikufahamu yapo mazuri umejaliwa na yapo uliyonyimwa.