Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,796
- 6,444
Kina majanga gani mkuu.Naomba unitoe tongo tongo kidogo cause nafikiria kwenda kusoma hapo diploma in pharmaceutical baada ya kumaliza kadegree kangu katika mambo ya usimamizi wa biashara mwakani, ila Advance nilipiga PCB.
Nakuona ukitajirika ndani ya miaka kadhaa
Ukimaliza DPS fungua Pharmacy yako mwenyewe then ifanye kitaalam na kibiashara