mwenyewe joseph
Senior Member
- Nov 1, 2016
- 104
- 25
Jaman chuo gan cha private kinachotoa course ya pharmaceutical science kwa ngazi ya diploma kizuri na chenye hospitali ya mazoezi
Msaaada please
Msaaada please
Pharmaceutical.pharmacetical
Mmhh!!!Naona KAM.. wanatoa
njoo st Joseph university campus ya bokoJaman chuo gan cha private kinachotoa course ya pharmaceutical science kwa ngazi ya diploma kizuri na chenye hospitali ya mazoezi
Msaaada please
Musoma utalii college kinatoa kipo tabora n kizur na bei yake n rahisi ni 1,400,000 tu na n privateJaman chuo gan cha private kinachotoa course ya pharmaceutical science kwa ngazi ya diploma kizuri na chenye hospitali ya mazoezi
Msaaada please
Musoma utalii college kipo tabora ada yao n 1,400,000/=Jaman chuo gan cha private kinachotoa course ya pharmaceutical science kwa ngazi ya diploma kizuri na chenye hospitali ya mazoezi
Msaaada please
Ukiweka na michango mingne inakuwa ngapi jumlaMusoma utalii college kipo tabora ada yao n 1,400,000/=
Inakuwa 1,900,000 tuUkiweka na michango mingne inakuwa ngapi jumla
Kina majanga hatari hiko chuo, jipeleke ukajitoe kafaraSt Francis university Ifakara
Inakuwa 1,900,000 tu
Kina majanga hatari hiko chuo, jipeleke ukajitoe kafara
Kina majanga gani mkuu.Naomba unitoe tongo tongo kidogo cause nafikiria kwenda kusoma hapo diploma in pharmaceutical baada ya kumaliza kadegree kangu katika mambo ya usimamizi wa biashara mwakani, ila Advance nilipiga PCB.Kina majanga hatari hiko chuo, jipeleke ukajitoe kafara