Chuo Cha Ufundi KIHONDA

Chuo Cha Ufundi KIHONDA

Mkusaro2015

Member
Joined
May 4, 2015
Posts
14
Reaction score
1
Wadau naombeni mwenye kufahamu kuhusu muda wa mafunzo ktk Chuo cha Kihonda na gharama yake tafadhali. Kwa Yeyote ambaye ameshasoma pale au anayejua kuhusu hilo. Na vipi kuhusu uwezekano wa ajira baada ya kusoma chuo hicho?? Naombeni Msaada wadau.
 
Mkuu,maswali ya juu juu kama haya huwezi kupata majibu ya moja kwa moja,utakachoambulia ni maswali.
 
Labda wapigie kwa namba
+255 23 2603734 alafu uulize.,kutokana na ulivyouliza hapa jf watakuja watu watakuuliza maswali ambayo hutakaa uyajibu.
 
Back
Top Bottom