Jamani kwa yeyote mwenye details za Chuo cha Takwimu Changanyikeni Dar es salaam especially kuhusu course za masters wanazofundisha hapo. Naomba anisaidie nategemea kuaply for masters kwenye hicho chuo.
Muonee huruma mkuu unajua tumezidiana ujanja wa ku-searchEastern Africa Statistical Training Centre | Plan with Figures
Wewe ni kilaza. Mbona mi nimewasearch na kuwapata fasta tu? Sidhani kama hata hiyo masters utaweza kuisoma...
sasa hiyo masters utaiweza kweli?
Ukitaka kumsaidia mtumika ucmsimange
Kwanza kimejificha sana utadhani wanauza bangiHiki Chuo ni cha Serikali tena cha miaka mingi, kwa nini hakijitangazi na kinaonekana kinapotential katika masuala ya Takwimu( Statistics). Au hakihitaji kujitangaza kinajitosheleza jinsi kilivyo?
Kwanza kimejificha sana utadhani wanauza bangi


, emu tuwashauri mkuu!😆😆😆Kwanza kimejificha sana utadhani wanauza bangi
MKUU,Eastern Africa Statistical Training Centre | Plan with Figures
Wewe ni kilaza. Mbona mi nimewasearch na kuwapata fasta tu? Sidhani kama hata hiyo masters utaweza kuisoma...