Niko Mbeya muda huu....hilo tukio ni la kweli, nina jamaa yangu anasoma hapo kanieleza jambo hilo...
Huyo mhadhiri nasikia ana mpango wa kwenda kugombea ubunge katika moja ya majimbo mkoani Kigoma.
Tatizo la migogoro SAUT mbeya pia linachangiwa na bwana mdogo Charles Mwakipesile ambaye anasoma hapo.
Mwakipesile ni MNEC wa ccm, mwandishi wa habari gazeti majira na mc maarufu hapa mbeya.
Tangu amejiunga na chuo hicho kama mwanafunzi alijaribu kugombea nafasi ya. urais wa serikali ya wanafunzi akapigwa chini kwa sababu ya uccm wake.
Anatumia nafasi ya unec kutaka kuifanya saut mbeya kiwe kambi ya ccm....
Tafakari...