Pigeni shule tu wakuu, degree yoyote inalipa hata kama ni cookery kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia utakuja kuitumiaje huku uraiani baada ya kumaliza miaka mitatu, mkija hapa mje na maswali haya "hivi hii degree flani ninayosoma nitaitumiaje ili iweze kunikwamua kimaisha", huku uraiani watu wamesoma hiki wanafanya kile na maisha yanakwenda bila shida kabisa