huku mipango hosteli zote zimeshajaa ,vyumba mitaani hadi sa hvi vinaelekea kuisha ,,second year wanakuja kuvimaliza kabisa mwezi huu nyie first year mnaokuja .nawaonea huruma sana ..kama una rafk ako mipango mwambie akutaftie sehemu ya kulala .maana mwezi wa 11 mwaweza lala madarsan