yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,901
- 4,129
Habari wakuu.
Mdogo wangu kachaguliwa kusomea Stashahada (Diploma) ya uwalimu wa kilimo katika chuo tajwa hapo juu.
Naomba kujua hali ya chuo na mazingira ya chuo kwa ujumla.
Na vipi hali ya soko la ajira baada ya kuhitimu katika fani hii ya Uwalimu wa kilimo?
Na je akishachaguliwa diploma anaweza kuchaguliwa pia degree kwenye chuo kingine mwaka huu? Maana anasubiria matokeo ya degree pia.
Natangulisha shukurani.
Mdogo wangu kachaguliwa kusomea Stashahada (Diploma) ya uwalimu wa kilimo katika chuo tajwa hapo juu.
Naomba kujua hali ya chuo na mazingira ya chuo kwa ujumla.
Na vipi hali ya soko la ajira baada ya kuhitimu katika fani hii ya Uwalimu wa kilimo?
Na je akishachaguliwa diploma anaweza kuchaguliwa pia degree kwenye chuo kingine mwaka huu? Maana anasubiria matokeo ya degree pia.
Natangulisha shukurani.