Ndugu wanajamvi Nina shemeji yangu anasoma pale institute of adult education masikini ya mungu tangia aanze chuo mkopo wake ulienda chuo kingine (transfer) nimemkuta leo kajilalia Analia nikamuliza shem kulikoni kaka kakufanyaje akanijibu wewe acha tu nimesaini boom leo nakamilisha wiki ya pili sijaliona kiukweli nilisikitika sana nikamuuliza upo peke yako akajibu tupo kama 12 nikamuuuliza mkimuuliza loan officer anasemaje akasema tusubiri nikacheka sana nikamuuliza tena hivi hao watu 12 hakuna wababe wakuamsha mpaka kwa mkuuu wa chuo ikishindikana kwa muheshimiwa ndalichako akajibu niae muamini ni mkaka mmmoja wengine hawajielewi mabongolala nikasikitika sana nimeamua kuandika Uzi huuu ili muheshimiwa waziri ujioneeee watu wanavyohangaika mtu inajulikana kabisa tangu aanze masomo hajapata boom kweli anakaaaa wiki Tatu? Mfano sisi udsm tukisaini Leo baada ya siku tatu hela hizo ?Tatizo nini chuo hiki kuna kitu .Nakuomba waziri wa elimu Hays maswala yakusaini mkopo mtu anakaaa wiki tatu yatatue manake shem alikosana hadi na kaka kwa kumuomba pea Lila siku akiamini shem kapata booom kumbe ndo hivo anajililia imeniuma sana shem alikuwa analalia Katanga ndo nimemuachia elf 20000 Aiseeeeeeee chuo hicho Adult education ni jipu lililoiva linahitaji mtumbuaji . Pole sana shemeji imeniuma sana.