Chuo cha institute of Adult education idara ya uhadibu ni jipu linalohitaji kutumbuliwa.

msomso

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
464
152
Ndugu wanajamvi Nina shemeji yangu anasoma pale institute of adult education masikini ya mungu tangia aanze chuo mkopo wake ulienda chuo kingine (transfer) nimemkuta leo kajilalia Analia nikamuliza shem kulikoni kaka kakufanyaje akanijibu wewe acha tu nimesaini boom leo nakamilisha wiki ya pili sijaliona kiukweli nilisikitika sana nikamuuliza upo peke yako akajibu tupo kama 12 nikamuuuliza mkimuuliza loan officer anasemaje akasema tusubiri nikacheka sana nikamuuliza tena hivi hao watu 12 hakuna wababe wakuamsha mpaka kwa mkuuu wa chuo ikishindikana kwa muheshimiwa ndalichako akajibu niae muamini ni mkaka mmmoja wengine hawajielewi mabongolala nikasikitika sana nimeamua kuandika Uzi huuu ili muheshimiwa waziri ujioneeee watu wanavyohangaika mtu inajulikana kabisa tangu aanze masomo hajapata boom kweli anakaaaa wiki Tatu? Mfano sisi udsm tukisaini Leo baada ya siku tatu hela hizo ?Tatizo nini chuo hiki kuna kitu .Nakuomba waziri wa elimu Hays maswala yakusaini mkopo mtu anakaaa wiki tatu yatatue manake shem alikosana hadi na kaka kwa kumuomba pea Lila siku akiamini shem kapata booom kumbe ndo hivo anajililia imeniuma sana shem alikuwa analalia Katanga ndo nimemuachia elf 20000 Aiseeeeeeee chuo hicho Adult education ni jipu lililoiva linahitaji mtumbuaji . Pole sana shemeji imeniuma sana.
 
Yaani. mkopo umesaini unakaaa wiki tatu ?Hichi chuo idara ya uhasibu wanawajibuka kweli ?Mmmmmmmm Mimi naona wapishe kunagrafuate wengi wanaweza kazi hiyo.
 
Hiki chuo ni jipu hata degree inayotolewa hapo haina code of service maana yake mhitimu akimaliza chuo hapo aliyetoka moja kwa moja form six ,hawezi kuajiriwa hata course ile haioeshi yeye anaandaliwa kuwa nani na analipwa mshahara wa shilingi ngapi hiki chuo majanga tu
 
Ha kumbe hata wanaomaliza degree nilidhani shida ipo kwa wa diploma tu
 
Mkuuu #sirmz Ndola na samartz1.Nimesikitika sana kusikia uozo huo ambao kiujumla ni wakiutendaji shameji yangu aliniambia nilishangaaa sana kasaini mkopo anakaa wiki tatu mpaka hivi ninavoongea bado haujaonekana kwenye account loan officer wao wakimuuuluza anawajibu majibu laini tu ukiwa tayari watauona na hela wakati zilishaingia kwenye account ya chuo na kisheria ndani ya siku saba baada ya hela kuingia mwanafunzi anatakiwa alipwe mpaka hapo hilo ni kosa pili chuo hilki kimeongeza ada mwaka jana ya certificate ,Diploma na Degree kibaya zaidi Ada za bachelor degree hazikupelekwa mapema loan bord ambapo bodi ya mokopo imetoa asilimia kwa viwango vya zamani,Sasa ulipo ongelea chuo hakina code of service kwa koz kinazotoa ndo nimechoka kabisa ngoja leo nikakae na shemeji ni mfundishe kitu afanye kuwatia adabu hawa waliozuia pesa zake hawajui zama hiz zimebadilika wao wansishi kimazoea Hapa kazi tu tena hata hawaangaliiii ubinadamu
 
Back
Top Bottom