Kijanakijana
Member
- Feb 3, 2012
- 30
- 2
Chumba kikubwa futi 18 kwa 18 na choo chake self,na madirisha yenye hewa na sebule ukubwa huo huo.mainroad ya morogoro road ni mita 75 toka barabarani.nyumba ipo juu,main road ipo chini kidogo.nyumba ina maji ya dawasco kwa wiki yanatoka mara mbili.umeme wa luku kuchangia wastani ni 30 000 kwa mwezi kwa mtu mmoja.
nyumba imetulia.
mwenye nyumba ni mtu mzima na ana mji wake pembeni kabisa na ni mtu poa sana,piece mno
huduma zote muhimu kama bucha la kisasa,,bar ya kisasa na yenye jiko la maana na dj wa uhakika siku zote vipo jirani.internet na mpesa,,airtel money na tigo pesa vyote hivyo vipo jirani sana yaani mwendo wa dk 3.
usafiri kama mjuavyo morogoro road mauda yamemwaga mapya mpaka kero.
pia kama unatoka mkoani kanda zote kati kusini ya mbeya na songea na kaskazini,kushuka ni rahisi mno.unashuka hapo hapo main road na tayari upo kwako.
bei ni laki moja na nusu kodi ya mwaka.dalali anachagi kodi ya mwezi mmoja toka kwa mteja mtarajiwa.
karibuni.
nyumba imetulia.
mwenye nyumba ni mtu mzima na ana mji wake pembeni kabisa na ni mtu poa sana,piece mno
huduma zote muhimu kama bucha la kisasa,,bar ya kisasa na yenye jiko la maana na dj wa uhakika siku zote vipo jirani.internet na mpesa,,airtel money na tigo pesa vyote hivyo vipo jirani sana yaani mwendo wa dk 3.
usafiri kama mjuavyo morogoro road mauda yamemwaga mapya mpaka kero.
pia kama unatoka mkoani kanda zote kati kusini ya mbeya na songea na kaskazini,kushuka ni rahisi mno.unashuka hapo hapo main road na tayari upo kwako.
bei ni laki moja na nusu kodi ya mwaka.dalali anachagi kodi ya mwezi mmoja toka kwa mteja mtarajiwa.
karibuni.