Chumba kinapangishwa Mwenge DSM

Chumba kinapangishwa Mwenge DSM

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Kama unahitaji chumba maeneo ya Mwenge, vipo kuna cha 130,000 na kuna cha 80,000.

Kama unahitaji nicheki kwa 0713415537

Pia hapa jirani kuna nyuma mbili zinapangishwa zote zina vyumba vitatu sebule na jiko fens na maji yapo, moja ni 450,000 na nyingine 350, zote zipo mwenge near TRA,

Note : chumba cha 80,000 mimi ndo mlikua hakina dalali.
 
Chumba cha kulala/biashara/ngono/kujifungulia/mahabusu/ au???

Kuwa specific basi. Afu Mwenge ni kubwa sana.... Isitoshe naamini ka Tecno kako kana Kamera... hebu itumie basi....
 
Chumba cha kulala/biashara/ngono/kujifungulia/mahabusu/ au???

Kuwa specific basi. Afu Mwenge ni kubwa sana.... Isitoshe naamini ka Tecno kako kana Kamera... hebu itumie basi....

Mkuu sio kila sehemu ukachangia, vingine potezea, nahisi Huna kazi ya Kufanya.. Na kama Huna uhitaji na kitu sio lazima uchangie, vingine unapotezea, wewe kila jukwaani upo, nina wasi wasi na jinasia yako
 
Mkuu sio kila sehemu ukachangia, vingine potezea, nahisi Huna kazi ya Kufanya.. Na kama Huna uhitaji na kitu sio lazima uchangie, vingine unapotezea, wewe kila jukwaani upo, nina wasi wasi na jinasia yako

hahahaha mkuu wacha kulala mika unaambiwa kweli unaona kama unaonewa vile toa maelezo yaliyojitosheleza chumba cha nini??

na kama alivyokwambia mwenge kubwa so nyoosha maelezo mwenge sehem gani??
au unapenda kupigiwa simu hovyo ?? au ndio wale wale madalali uchwala ambao umetegesha mtego wa kupata pesa kupitia kwenda kumwonyesha mteja chumba ili ulambe pesa yako ya kwenda kumwonyesha ili hali ukijua kabisa sifa za chumba atakacho na unachoenda kumwonyesha ni tofauti kabisa??
 
Kwa hio hutaki kuweka maelezo yote ili ukipigiwa upate pesa ya udalali?
Acha njaa
 
hahahaha mkuu wacha kulala mika unaambiwa kweli unaona kama unaonewa vile toa maelezo yaliyojitosheleza chumba cha nini??

na kama alivyokwambia mwenge kubwa so nyoosha maelezo mwenge sehem gani??
au unapenda kupigiwa simu hovyo ?? au ndio wale wale madalali uchwala ambao umetegesha mtego wa kupata pesa kupitia kwenda kumwonyesha mteja chumba ili ulambe pesa yako ya kwenda kumwonyesha ili hali ukijua kabisa sifa za chumba atakacho na unachoenda kumwonyesha ni tofauti kabisa??

Hahaa mkuu watu mimi sio dalali, na hiki cha 80,000 ni nyumba yangu na ukija nakuandukia mkataba mimi mwenyewe, so mimi ndo baba mwenyewe nyumba.. Na hicho cha 130,000 ni cha jirani.., msione kila mtu akitangaza ni dalali,
 
Kwa hio hutaki kuweka maelezo yote ili ukipigiwa upate pesa ya udalali?
Acha njaa

Mkuu cha 80,000 mimi ndo mmiliki, Acha mawazo mgando kua mtu akitangaza ni dalali.. Na hiko cha 130,000 ni cha jirani,
 
Kwa hio hutaki kuweka maelezo yote ili ukipigiwa upate pesa ya udalali?
Acha njaa

Na hiki chumba alikua anakaa mtu anafanya kazi bank flani amepata uhamisho kwenda mwanza, na Bahati nzuri kuna jamaa akitangaza chumba hapa jf kua anachumba kule mwanza, tumemtafuta yule mkuu na mkuu kapata kile chumba, kama huamini tafuta ule uzi wa mkuu alietangaza chumba mwanza hapa hapa jf.
 
Mwenge sehm gani? Hiyo ya 350 naweza kupata picha zake nione mazingira yake? Thanks Mkuu.
 
Mkuu sio kila sehemu ukachangia, vingine potezea, nahisi Huna kazi ya Kufanya.. Na kama Huna uhitaji na kitu sio lazima uchangie, vingine unapotezea, wewe kila jukwaani upo, nina wasi wasi na jinasia yako

ngoja nikuondoe wasiwasi, mimi ni mwanaume. Kama wewe ni mwanamke unaweza kujaribu bahati yako.

Baada ya kusema hayo napenda kukutaarifu kuwa ni haki yangu kuchangia jukwaa lolote hapa JF, huna mamlaka yoyote ya kunizuia.

Sasa jibu swali chumba unachopangisha ni cha nini?

Unaruhusiwa kutuambia na gharama zako za udalali. Ni bishara halali pia.
 
ngoja nikuondoe wasiwasi, mimi ni mwanaume. Kama wewe ni mwanamke unaweza kujaribu bahati yako.

Baada ya kusema hayo napenda kukutaarifu kuwa ni haki yangu kuchangia jukwaa lolote hapa JF, huna mamlaka yoyote ya kunizuia.

Sasa jibu swali chumba unachopangisha ni cha nini?

Unaruhusiwa kutuambia na gharama zako za udalali. Ni bishara halali pia.

babu njoo nikupe tamuuuuu...upunguze hasira...how are you? miss u😛
 
babu njoo nikupe tamuuuuu...upunguze hasira...how are you? miss u😛

Mkuu hebu kampeni jamaa tamu apunguze kiherehere mana kazidi, yani mumpe dudu atulie
 
babu njoo nikupe tamuuuuu...upunguze hasira...how are you? miss u😛

Mkuu hebu kampeni jamaa tamu apunguze kiherehere mana kazidi, yani mumpe dudu atulie
 
Mkuu hebu kampeni jamaa tamu apunguze kiherehere mana kazidi, yani mumpe dudu atulie

we tunzo weeee...ngoja upelekwe segadance na haya maneno yako..vip am serious hivyo vyumba ni master ndugu au vya kawaida..
 
we tunzo weeee...ngoja upelekwe segadance na haya maneno yako..vip am serious hivyo vyumba ni master ndugu au vya kawaida..

Hapana mkuu.. Sheria tunazijua sana, kuna tofauti kati ya ukweli na matusi.. Ila mkuu aache kukurupuka kama Huna shida na kitu ni bora ukae kimya, fwatilia comments za jamaa za kila jukwaani hajawahi kuchangia kitu cha maana zaidi ya kuponda kila kitu, jamaa aache kiherehere na kujifanya anajua, mfwatilieni huyu jamaa then mlete mrejesho
 
we tunzo weeee...ngoja upelekwe segadance na haya maneno yako..vip am serious hivyo vyumba ni master ndugu au vya kawaida..

Moja Ina master, moja haina ila zote zina vyumba vitatu na zipo ndani ya uzio, na zote zina kila kitu muhimu,
 
Hicho cha 80000 master au na hicho cha 130000 pia kikoje naomba ufafanuzi na je viko ndani ya fence au na maeneo gani?
 
Ukifika mwenge tra sogea mbele kidogo kisha kata kushoto
Mtaa unaitwa mwenge kijijini
 
Moja Ina master, moja haina ila zote zina vyumba vitatu na zipo ndani ya uzio, na zote zina kila kitu muhimu,

Kama chumba kina Master, ina maana nikiingia niwe nimeshakubali kuwa subject wake, lets say MRS...mmh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom