Chumba kinapangishwa magomeni Makurumla

Chumba kinapangishwa magomeni Makurumla

danikiruma

Senior Member
Joined
Feb 25, 2019
Posts
101
Reaction score
76
Ndugu Wana jamii forum Kama kichwa Cha habari hapo juu chumba kipo magomeni kata ya Makurumla mtaa wa mianzini chumba kina Hali nzuri Sana rangi,siling board na umeme maji yapo nje kinapangishwa kwa Bei nafuu Sana kwa mwezi shilingi 35000/=xmiezi 6=210000 umeme itategemea Sana matumizi yenu wote ndani ya nyumba lakini haizidi alfu 10 kwa mwezi mzima maji unanunua nje kwa mwenye nyumba.
Chumba Ni changu mwenyewe hakuna Dalali Wala mtu wa Kati tuwasiliane kwa Maelezo zaidi 0675196845 au 0682194847.
 
Back
Top Bottom