Chumba kimoja kinapangishwa, Ubungo external ( near Mabibo hostel)

Chumba kimoja kinapangishwa, Ubungo external ( near Mabibo hostel)

shaurimbaya

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
1,915
Reaction score
2,337
habari wadau.

chumba kimoja kinapangishwa ubungo external.. near mabibo hostel. kuanzia tarehe 1/7/2015,,,

kipo ndani ya fence na kuna geti, kuna umeme na maji dawasco.

na maji ya kisima ( drilling ambayo yanauzwa kipindi cha shida ya maji dawasco)

kodi ni elfu 60,000 kwa mwezi. inalipwa kwa miezi 6.

mwenye nyumba anahitaji bachelor( yaani mtu anayeishi peke yake)

kijana anaeanza maisha / mwanachuo.

0658 000106
 
kwaiyo hataki anayenipangishia aje kunitembelea siku2...3???
 
Mie natafuta chumba maeneo ya ubungo external, mabibo hostel na river side ila masharti ya ubachela na umachela sitaki kama kinapatikana unichek kiwe na tiles
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom