shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
habari wadau..
single masterbedroom kinapangishwa ubungo external near mabibo hostel.
chumba hicho kipo nyuma ya epza. kipo ndani ya fence na kuna gate
pia kuna umeme na maji dawasco.
bei 70,000 kwa mwez kodi miez 6.
mwenye nyumba ana prefer mpangaj awe bachelor hasa hasa wa kike. ( maana wanaume kila siku kubadili mademu, so amechoka wapangaji wa kiume).
so mpangaj wa kike ndio atapewa kipaumbele..
chumba kipo sehem nzuri na kina tiles... kipo suitable sana kwa binti anaeanza maisha mfanyakazi/ mwanachuo..
kama upo interested piga no 0658 000106
single masterbedroom kinapangishwa ubungo external near mabibo hostel.
chumba hicho kipo nyuma ya epza. kipo ndani ya fence na kuna gate
pia kuna umeme na maji dawasco.
bei 70,000 kwa mwez kodi miez 6.
mwenye nyumba ana prefer mpangaj awe bachelor hasa hasa wa kike. ( maana wanaume kila siku kubadili mademu, so amechoka wapangaji wa kiume).
so mpangaj wa kike ndio atapewa kipaumbele..
chumba kipo sehem nzuri na kina tiles... kipo suitable sana kwa binti anaeanza maisha mfanyakazi/ mwanachuo..
kama upo interested piga no 0658 000106