Chumba cha kupanga tsh. 50,000/=

Catryn Francy

New Member
Joined
Jun 21, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
 
Hapa utajichanganya tu,
humu tumejaa wasanii kibao,
tafuta dalali mitaa ya sinza wakutafutie chumba bibie.
 
hapana, kwa asilimia kubwa ninavyofahamu mimi ni kuwa wenyenyumba wengi huwa wakorofi bhana.
 
Jaman mwenzio niko serious, nisaidie kama unafahamu!

Kwa Sinza, K'nyama na Mwenge ninayoijua 50K na isiwe uswahilini ni impossible. Njoo tuishi pamoja jaman upweke unanikondesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…