Chumba cha Kupanga Arusha.

Chumba cha Kupanga Arusha.

Kontelo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
571
Reaction score
161
Habari zenu wakuu, kwa wazoefu wa mji wa Arusha naomba mnisaidie kujua ntapata wapi chumba cha kupanga na bei ya kodi inaanzia kiasi gani? Ofisi yangu ipo maeneo ya karibu na kiwanja cha ndege Kisongo, ni maeneo ya TGT. Ningependa kupata chumba maeneo ya karibu na hapo au hata maeneo ya Sakina. Je gharama ya kodi ya chumba ni kiasi gani maana nategemea kuamia uko mwishoni mwaka huu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati ktk ilo.
 
hapo inategemea na ubora wa nyumba
kuna kuanzia buku 7 (haina umeme, ya tope) mpaka laki kwa chumba 1,(umeme, maji ya moto, choo chandan nk)
 
hapo inategemea na ubora wa nyumba
kuna kuanzia buku 7 (haina umeme, ya tope) mpaka laki kwa chumba 1,(umeme, maji ya moto, choo chandan nk)

Dau langu ni 30,000 mpk 50,000 ila kiwe na umeme na maji. Je nitapata?
 
Hv gharama za kupanga chumba maeneo ya chuo cha ufundi arusha zikoje

au maeneo tofaut amby nauli yake haiwez kuzid mia tano kuelekea arusha technical college
 
Hv gharama za kupanga chumba maeneo ya chuo cha ufundi arusha zikoje

au maeneo tofaut amby nauli yake haiwez kuzid mia tano kuelekea arusha technical college
Ukipata nyumba sanawari au Mianzini.... Kule Kuna mpaka vyumba vya 25,000 Ni wewe tuu.... Ila angalia ukaribu na barabara....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom