Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,352
Habari za wakati huu mabibi na mabwana.
Nawapa taarifa hii mapema ili mchukue tahadhari dhidi ya wizi wa kitapeli kupitia tigo pesa.
Namba hii 0658 13**39, itakupigia kama mtoa huduma wa tigo, atajitambulisha vizuri kabisa, atakutajia location yako na atakwambia ni lini mara mwisho ulitembelea service center ya tigo pesa (Tigo shop).
Ni wizi flani wa kishamba ila ni vema taarifa ukawa nayo, atakwambia Tigo inakupa zawadi ya dakika 2000, 10 GB za data na pesa taslimu 200,000. Atakutaka utaje salio lako la Tigo pesa kwa wakati huo.
Usithubutu kutaja salio lako, ukitaja ataanza kukupa maelekezo ya kijinga kijinga na usipokua makini ndio unakua umeibiwa.
Alinipigia siku chache zilizopita baada ya kumbaini na kumwambia ni mwizi akakata simu, na ukijaribu kumpigia haiwezekani.
Kampuni ya Tigo kuna baadhi ya wafanyakazi wenu ni majambazi kabisa, wanashirikiana na wezi ndio mana wezi wanapata taarifa zetu na kutupigia simu.
TCRA na vyombo vya ulinzi na usalama ingieni kazini.
Nawapa taarifa hii mapema ili mchukue tahadhari dhidi ya wizi wa kitapeli kupitia tigo pesa.
Namba hii 0658 13**39, itakupigia kama mtoa huduma wa tigo, atajitambulisha vizuri kabisa, atakutajia location yako na atakwambia ni lini mara mwisho ulitembelea service center ya tigo pesa (Tigo shop).
Ni wizi flani wa kishamba ila ni vema taarifa ukawa nayo, atakwambia Tigo inakupa zawadi ya dakika 2000, 10 GB za data na pesa taslimu 200,000. Atakutaka utaje salio lako la Tigo pesa kwa wakati huo.
Usithubutu kutaja salio lako, ukitaja ataanza kukupa maelekezo ya kijinga kijinga na usipokua makini ndio unakua umeibiwa.
Alinipigia siku chache zilizopita baada ya kumbaini na kumwambia ni mwizi akakata simu, na ukijaribu kumpigia haiwezekani.
Kampuni ya Tigo kuna baadhi ya wafanyakazi wenu ni majambazi kabisa, wanashirikiana na wezi ndio mana wezi wanapata taarifa zetu na kutupigia simu.
TCRA na vyombo vya ulinzi na usalama ingieni kazini.
Last edited by a moderator: