Umepona au bado tukupee mizizi ya kale ikusaidie kwanye nembo ya kidonge?Hbr, skuwa online ko mnisamehe ambao skuwajibu kwa muda muafaka, nashukuru kwa ushauri wa kila mmoja mmoja,
, miwani nlivaa kama miaka 2 baadae kilpona, nikakaa muda mrefu hakiumi. Ko nitafanya kila mlichonishauri nitakuja na feedback
Mkuu pole kwa maradhi yako ya kichwa kisicho pona hebu nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uweze kupona uguwa pole.Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa