Chronic headache

Chronic headache

Mumlii

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2021
Posts
266
Reaction score
362
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa
Uma umri gan?

Jinsi yako?
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa
Mkuu inaonekana umeumwa muda mrefu je umeshaenda kwa wataalam hospitalini? Nenda hospitali za wilaya au Mkoa. Utafanyiwa uchunguzi
 
Unazengua , unaulizwa vitu hujibu.

Tumia hii dawa ( chukua kwanza ya siku Tano).

Tab. Propranolol 40mg OD PO for 5days( Moja mara Moja Kwa siku Tano).

Ukiona kimepotea unitafute, kikiwa bado unitafute na uwe tayari kujibu unachoulizwa.

NB.Utakayesoma hapa , usijichanganye na Kichwa chako nawee ukaenda kuitafuta dawa hiyo.
 
Wewe ni me au ke? huenda unasumbuliwa na sinona au stress kama umeshaenda hospitalini. Nijuze huenda kuna tatizo limo moyoni mwako na akilini mwako. Njoo pm kama hutojali.
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabis
1. Acha kabisa painkillers kwa sasa – maana tayari umesema hazifanyi kazi, na kuzitumia kupita kiasi kunaweza kuharibu ini au figo.

2. Nenda hospitali ya maana (sio pharmacy), omba kufanyiwa:
CT Scan au MRI ya kichwa (kuangalia kama kuna tatizo kwenye ubongo)
Vipimo vya damu (kuangalia infection au tatizo la figo, ini, au pressure)
BP check – presha ikipanda sana au kushuka sana huleta maumivu haya

3. Maji ya kunywa endelea kunywa kidogo kidogo tu, usinywe kwa nguvu nyingi kwa mara moja.

Last check je huwa kinauma muda ule ule kila siku mfano machana saa sita au muda wowote lakini ni kila ikifika muda huo lazima kiume kama hivyo niambie nitakwambia ufanye nini
 
Inawezekana ikawa mambo mengi tu na Mungu ndie anajua zaidi. Kama unaamini

Kwanza inaweza kuwa Migraine kuumwa kichwa sana mara kwa mara.
Au huenda ulipata ajali zamani, au inaweza kuwa Brain tumour pia
Mimi sio mtaalamu ila nimeona watu wa aina mbali mbali wenye matatizo haya, na kila mmoja ana moja kati ya haya.

Ungeenda kupima hospital
Pia waangalie kama Una Meningitis
Inaweza kuwa moja kati ya hayo
 
Nenda hospitali watakupa vipimo then tuanzie kushauriana baada ya vipimo. Kuna sababu au matatizo zaidi ya 100 ambayo dalili yake huanza na maumivu makali ya kichwa
 
Nenda kapime afya kwanza maana labda unahitaji miwani ,. Ukiona haijasaidia nenda maombi
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa
Tafta chumvi ya mawe kunywa maji yake
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa

Mambo mhimu ya kuzingatia:
1: Fika kituo cha afya/hospitali.

2: Onana na daktari ukiweza kumwona daktari bingwa wa magonjwa ya ndani/physician itakuwa vyema zaidi.

3: Utahitajika kutoa historia ya ugonjwa wako kikamilifu. Jinsi kichwa kinavyouma, ukali wa maumivu unaongeka kadri siku zinavyopita au kiko vilevile?

4: Utatakiwa kuonyesha mahusiano ya maumivu ya kichwa na hali za kimaisha kama stress, kukaa na njaa mda mrefu, kusafiri, kelele, mabadiliko kwenye upataji usingizi, unywaji wako wa maji nk.

5: Utatakiwa kuelezea vitu au hali zinazoambatana na maumivu ya kichwa: kutopenda kelele, kutopenda mwanga au kichefuchefu?

6: Utatakiwa kuonyesha ni maeneo gani hasa kichwa huuma na jinsi kinavyouma?

7: Utatakiwa kuonyesha mahusiano ya kichwa na unaposimama au kukaa au kuinama?

8: Mahusiano na baadhi ya vyakula kama mtindi, chokoleti, perfume na vyakula vya kusindika?

9: Daktari ataomba ufanye vipimo kulingana na mtakapofikia na maswali hapo juu.

10: Msingi wa yote hapo juu ni kujua tatizo na jinsi ya kukushauri ili lisikutokee mara kwa mara kwa kuzuia visababishi au kuzuia ukali wa tatizo linapokuwa limeanza.

Nakutakia tiba njema.
 
Hbr zza usku wajameni ninaumwa kichwa ambacho hakiskii dawa wala chochote hadi sa nyingne nashindwa kuongea wala kula mnisaidie, sjui tatizo n nn? Msaada nifanyeje ama nina ugonjwa unaosababisha hv sjui, yaan kinaweza kufululiza hata sku tano tu. Sa hv mpaka nishaacha kunywa pain killer kabisa. Nkinywa maji sasa yaan nkienda kukojoa inabdi nishikilie mishipa ya kichwa ndo kinazdi kabisa
ushawahi kutembea na mke wa mtu au umewah kumdhurumu mtu haki yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom