Xmas njema, ila naomba kama kuna mtu anafahamu anijuze! Mpaka siku za mwisho Yesu alipopaa mbinguni (inasemekana) alipaa akiwa Kama Mkistu mkatoliki? Na alienda kutuandalia makao kwa wote au kwa baadhi ya mathehebu?
Xmas njema, ila naomba kama kuna mtu anafahamu anijuze! Mpaka siku za mwisho Yesu alipopaa mbinguni (inasemekana) alipaa akiwa Kama Mkistu mkatoliki? Na alienda kutuandalia makao kwa wote au kwa baadhi ya mathehebu?