fungi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,539
- 4,668
Basi kuanzia sasa tutaeshimu viwango vya fifa kuliko vikombeChile kampiga argentina copa america halafu huyo Chile kwenye world Cup alifikia wapi? Ubelgiji kuwa juu ya ureno ni sawa tu...huyo ureno ni kipofu ambaye siku zote haoni ila kabahatika kuona mwezi mwaka huu!!!
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app