Chris Lukosi: Tusipotoshwe,kupungua kwa mizigo bandari ya Dsm ni mdororo wa Uchumi wa Dunia

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
Mtanzania na Mwana JF mwenzetu Chris Lukosi ameandika hivi:

Nina uzoefu mkubwa sana kwenye biashara ya shipping, na nilikua namiliki moja ya kampuni kubwa sana za Shipping hapa UK kabla hatujaiuza kwa Wakenya

Mizigo ya shipping kwenda East Africa ilikua mingi sana mpaka July 2015. Lakini baada ya hapo ilishuka sana kwa asilimia kubwa mpaka kufikia mwezi wa march mwaka huu ambapo biashara ni kama imekufa kabisa

Tuna ofisi bandari zote kubwa hapa UK, na tunaona kabisa mizigo imepungua sana mpaka meli nyingi zimekua cancelled kwa kukosa mizigo

Zamani kulikua na meli tatu kwa mwezi za magari na meli kumi za kontena kwenda East Africa, lakini sasa ni meli moja tu na inakua haijajaa.

Hii inatokana na exchange rate kua ngumu kwa shillings na pia uchumi wa dunia ku slow down kwa ujumla.

Lakini unakuta wapumbavu wachache wanasema eti mizigo imepungua bandari ya Dar kwa sababu serikali imetumbua majipu

Kwa hiyo mlitaka muendelee kutuibia? PUMBAVU KABISA.

Biashara sasa ineanza kurudi na tumeanza kuona meli kubwa zinapakia makontena kwa sababu kampuni za meli zimeamua kushusha bei za makontena kutoka £1,900 mpaka £1,150 kwa 40' whole sale ili kurudisha biashara.

Kwa hiyo msidanganye umma eti watu wameikimbia Dar, bali muwaambie ukweli kua uchumi wa dunia kwa ujumla une slow down.

ASANTENI KWA KUNISOMA...
 
Nasikitikia kuuza campuni yake kuona deal bongo hazitok kisiasa tena, btw.....angeangalia trend na kutoa conclusion ambayo ni comprehensive...mdororo wa uchumi duniani anaozungumzia ni upi na umesababishwa na nini(amewah kukir elim haina maana sana kwake hivyo sishangai sana)..., na je kuna lolote tulilofanya kufukuzia mbali biashara ? Kwa kujidai ni wazalendo sana kuliko nchi za wenzetu?
Aache unafiki aseme ukwel kuwa uelewa wake wa mambo ya uchumi upo limited.....si kila sehem inahitaji maneno matupu
 
Mara kwa sasa meli hakuna IPO moja na haijai coz biashara imeanguka kisa exchange rate ni kubwa Mara tena sasa hivi meli zimekua nyingi coz wameshusha gharama za usafirishaji sasa tushike lipi tuache lipi? Mbona yu mtupu hivi kichwani? Halafu kuwaambia watu Wapumbavu ni kupanic!! MTU mwenye akili hujenga hoja akaeleweka na si kutumia ghadhabu!!

Maana awali umesema hali ya biashara duniani kwa ujumla! Mara ukaja na conclusion ya meli kupunguza bei!!

70% ya MIZIGO ya DSM inatoka China!! Sasa exchange rate ya China ikoje? Hilo moja pili utasemaje hali ya kidunia then umalizie na reference ya UK tu?

Lukosi simlaumu maana alikua polisi ambapo kwa huku kwetu hiyo kazi haihitaji akili Bali nguvu tu bila kujali tija!!! Ana hasira sana na hali ya maisha yupo busy kusaka vyeo!!

Anatia kinyaa kwa poor thinking & reasoning ya namna hii...
 
Ukitaka kutatua tatizo ni lazima ukubali kuwa ni kweli unalo tatizo, baada ya hapo ni rahisi hata kuomba msaada kwa wenzio ukabiliane na hilo tatizo. Haya mambo ya kuleta propaganda wakati uchumi wetu unadidimia ni unafiki uliopitiliza. This is too pathetic!
 
Lukosi kuna hoja ililetwa hapa we ni jipu kwani kampuni yako haina uwezo wa kufanya ukaguzi wa magari badala yake unatumia wataalamu wa serikali ya Uingereza na gharama halisi ni pound 40 ila wewe unacharge pound150 mara tatu zaidi je ni kweli?

Pili ofisi zenu sehemu chache sana hivyo kuwalazimisha watu kutembea km nyingi kuweza kupata huduma yenu. Chris Lukozi please jibu tuhuma hizo maana kwenye andiko hili unasema una ofisi kila bandari UK.
 
Mara kwa sasa meli hakuna IPO moja na haijai coz biashara imeanguka kisa exchange rate ni kubwa Mara tena sasa hivi meli zimekua nyingi coz wameshusha gharama za usafirishaji sasa tushike lipi tuache lipi? Mbona yu mtupu hivi kichwani? Halafu kuwaambia watu Wapumbavu ni kupanic!! MTU mwenye akili hujenga hoja akaeleweka na si kutumia ghadhabu!!

Maana awali umesema hali ya biashara duniani kwa ujumla! Mara ukaja na conclusion ya meli kupunguza bei!!

70% ya MIZIGO ya DSM inatoka China!! Sasa exchange rate ya China ikoje? Hilo moja pili utasemaje hali ya kidunia then umalizie na reference ya UK tu?

Lukosi simlaumu maana alikua polisi ambapo kwa huku kwetu hiyo kazi haihitaji akili Bali nguvu tu bila kujali tija!!! Ana hasira sana na hali ya maisha yupo busy kusaka vyeo!!

Anatia kinyaa kwa poor thinking & reasoning ya namna hii...
Mi namkumbuka kwa kula rambirambi ya marehemu Mwangosi (RIP)

Kichwa chake kilivo nazi anadhani UK ndo dunia. Afu wala hajui mizigo mingi inayokuja nchini inatokea wapi.....

Hivi hili njagu lilifukuzwa jeshini au lilimwaga manyanga??
 
Mi namkumbuka kwa kula rambirambi ya marehemu Mwangosi (RIP)

Kichwa chake kilivo nazi anadhani UK ndo dunia. Afu wala hajui mizigo mingi inayokuja nchini inatokea wapi.....

Hivi hili njagu lilifukuzwa jeshini au lilimwaga manyanga??
Alifukuzwa!! Kiherehere kilimponza!!

Wabongo tunatia kinyaa sana kwakudakia vitu tusivyo na uwezo navyo!! Angalia huyo mpuuzi alivyo narrow ktk kujenga hoja!!

Hajui anajadili nini na kwa nini? Hizi akili za kima ndizo zinampoteza Nahodha anapeleka chombo mrama!!
 
Ukitaka kutatua tatizo ni lazima ukubali kuwa ni kweli unalo tatizo, baada ya hapo ni rahisi hata kuomba msaada kwa wenzio ukabiliane na hilo tatizo. Haya mambo ya kuleta propaganda wakati uchumi wetu unadidimia ni unafiki uliopitiliza. This is too pathetic!
Ndio shida ya wabongo!! Wapo busy kutafuta excuses kuliko solutions!! Watawala wa kiafrika ni walevi mno wa sifa! Si watu responsible!! Ni wepesi wakujichomeka ktk sifa kuliko kulaumiwa!! Ni wapenda utukufu!! Hawapendi kukosolewa wala kukiri makosa!!

MTU aliyesema atafanya ili akawe kiongozi wa malaika mbinguni unafikiri anaweza kiri makosa!! Ni hisia za kujiona miungu!!!
 
Alifukuzwa!! Kiherehere kilimponza!!

Wabongo tunatia kinyaa sana kwakudakia vitu tusivyo na uwezo navyo!! Angalia huyo mpuuzi alivyo narrow ktk kujenga hoja!!

Hajui anajadili nini na kwa nini? Hizi akili za kima ndizo zinampoteza Nahodha anapeleka chombo mrama!!
Mbona una hasira sana,? Usikasirike sana vumilia tu.. Magufuli ndio rais wako huyo..
 
Nasikitikia kuuza campuni yake kuona deal bongo hazitok kisiasa tena, btw.....angeangalia trend na kutoa conclusion ambayo ni comprehensive...mdororo wa uchumi duniani anaozungumzia ni upi na umesababishwa na nini(amewah kukir elim haina maana sana kwake hivyo sishangai sana)..., na je kuna lolote tulilofanya kufukuzia mbali biashara ? Kwa kujidai ni wazalendo sana kuliko nchi za wenzetu?
Aache unafiki aseme ukwel kuwa uelewa wake wa mambo ya uchumi upo limited.....si kila sehem inahitaji maneno matupu
Mbona bandari ya mombasa huo mdororo wa uchumi haujaiathiri au ni bandari ya dar tu ndio mdororo wa uchumi umeleta athari? Wafanyabiashara wengi wa nje wanaona bandari ya dar iko SHIDA so wameamua kupitishia mizigo yao mombasa, south africa na msumbiji! Kumbe aliwahi sema elimu haina maana? Duu tumepoteza muda kumjibu mjinga!
 
Mtanzania na Mwana JF mwenzetu Chris Lukosi ameandika hivi:

Nina uzoefu mkubwa sana kwenye biashara ya shipping, na nilikua namiliki moja ya kampuni kubwa sana za Shipping hapa UK kabla hatujaiuza kwa Wakenya

Mizigo ya shipping kwenda East Africa ilikua mingi sana mpaka July 2015. Lakini baada ya hapo ilishuka sana kwa asilimia kubwa mpaka kufikia mwezi wa march mwaka huu ambapo biashara ni kama imekufa kabisa

Tuna ofisi bandari zote kubwa hapa UK, na tunaona kabisa mizigo imepungua sana mpaka meli nyingi zimekua cancelled kwa kukosa mizigo

Zamani kulikua na meli tatu kwa mwezi za magari na meli kumi za kontena kwenda East Africa, lakini sasa ni meli moja tu na inakua haijajaa.

Hii inatokana na exchange rate kua ngumu kwa shillings na pia uchumi wa dunia ku slow down kwa ujumla.

Lakini unakuta wapumbavu wachache wanasema eti mizigo imepungua bandari ya Dar kwa sababu serikali imetumbua majipu

Kwa hiyo mlitaka muendelee kutuibia? PUMBAVU KABISA.

Biashara sasa ineanza kurudi na tumeanza kuona meli kubwa zinapakia makontena kwa sababu kampuni za meli zimeamua kushusha bei za makontena kutoka £1,900 mpaka £1,150 kwa 40' whole sale ili kurudisha biashara.

Kwa hiyo msidanganye umma eti watu wameikimbia Dar, bali muwaambie ukweli kua uchumi wa dunia kwa ujumla une slow down.

ASANTENI KWA KUNISOMA...


Bw Lukosi,
Nakushukuru kwa kutoa elimu ya bure japo kama kawaida ya baadhi ya watu badala ya kuchambua hoja na kuuliza maswali pale wanapohitaji uelewa zaidi wanakimbilia kwenye personal attacks....
Ulichosema ni sahihi......kabla hata ya kuwa na inside knowledge ya industry, ukifanya simple desktop research utathibitisha unachokisema..... ni kweli kuna significant drop ya mizigo inayokuja ukanda wetu na kwingineko.

Mwezi uliopita tarehe 27 kulikuwa na Singapore-Tanzania business forum, mmoja wa waliohudhuria alikuwa Mmiliki wa moja ya makampuni makubwa ya usafirishaji ulimwenguni ya PIL. Alieleza kwamba idadi ya mizigo inayosafirishwa kuja ukanda wetu imeshuka sana..kuanzia Dar, Mombassa, Lagos, Accra hadi Luanda..... Alisema hii trend inachangiwa na factors mbalimbali ikiwemo mdororo wa uchumi duniani in particular aliongelea athari za uchumi wa China kushuka, kushuka/kupanda kwa thamani ya sarafu mbalimbali na kushuka kwa bei ya mafuta duniani. Alisema anavyoiona hali,itatengemaa kwenye quarter inayofuata.
Ukiachilia maelezo ya huyo bwana wa PIL, ukifanya desktop research ndogo tu utapata uthibitisho wa aliyosema Lukosi
China- Chinese economy: exports fall by 2% and imports by 11% in April
Nigeria- Nigeria’s exports slump 40% : NBS
Ofcourse, mbali na sababu za hali ya uchumi wa dunia zipo sababu nyingine local...mfano uamuzi wa TRA kuingia maelewano na DRC kuwawezesha watoze kodi mizigo inayokwenda DRC kwenye bandari yetu, imewafanya wafanyabishara wa Congo kuikimbia Bandari ya Dar... wanaona waende kwingine ambako hakuna utaratibu huo...ili wakwepe kodi....kusema ukweli move hii haikuta na tija kwetu...na haikufikiriwa kibiashara......sisi kodi za DRC hazituhusu....tungewaacha wapitishe mizigo yao kwetu,walipe cost ya kutumia bandari yetu na reli yetu na wao wakatozane kodi kwao....

Sababu nyingine iliyo local ni mifumo ya tehama ya bandarini iliyowekwa ilikuwa haisemezani,matokeo yake urasimu unaongezeka,ukiritimba unatamalaki na mianya ya wizi inaongezeka. Bahati nzuri changamoto hii tokea Serikali mpya iingie madarakani....na tokea Waziri Mkuu majaaliwa avalie njuga issues za bandari, nayo inapatiwa ufumbuzi na wataalam wazalendo

Yote kwa yote, tusivunjike moyo....mambo yatanyooka soon
 
Mtanzania na Mwana JF mwenzetu Chris Lukosi ameandika hivi:

Nina uzoefu mkubwa sana kwenye biashara ya shipping, na nilikua namiliki moja ya kampuni kubwa sana za Shipping hapa UK kabla hatujaiuza kwa Wakenya

Mizigo ya shipping kwenda East Africa ilikua mingi sana mpaka July 2015. Lakini baada ya hapo ilishuka sana kwa asilimia kubwa mpaka kufikia mwezi wa march mwaka huu ambapo biashara ni kama imekufa kabisa

Tuna ofisi bandari zote kubwa hapa UK, na tunaona kabisa mizigo imepungua sana mpaka meli nyingi zimekua cancelled kwa kukosa mizigo

Zamani kulikua na meli tatu kwa mwezi za magari na meli kumi za kontena kwenda East Africa, lakini sasa ni meli moja tu na inakua haijajaa.

Hii inatokana na exchange rate kua ngumu kwa shillings na pia uchumi wa dunia ku slow down kwa ujumla.

Lakini unakuta wapumbavu wachache wanasema eti mizigo imepungua bandari ya Dar kwa sababu serikali imetumbua majipu

Kwa hiyo mlitaka muendelee kutuibia? PUMBAVU KABISA.

Biashara sasa ineanza kurudi na tumeanza kuona meli kubwa zinapakia makontena kwa sababu kampuni za meli zimeamua kushusha bei za makontena kutoka £1,900 mpaka £1,150 kwa 40' whole sale ili kurudisha biashara.

Kwa hiyo msidanganye umma eti watu wameikimbia Dar, bali muwaambie ukweli kua uchumi wa dunia kwa ujumla une slow down.

ASANTENI KWA KUNISOMA...
Mara nyingi sikubaliani na positions za Chris lakini this time yuko on point. Wanaopiga kelele kuhusu Magufuli hatuwataki kwenye ujenzi na maendeleo ya nchi yetu. Ndiyo wale wale waliotufikisha tulipo sasa.
 
Mtanzania na Mwana JF mwenzetu Chris Lukosi ameandika hivi:

Nina uzoefu mkubwa sana kwenye biashara ya shipping, na nilikua namiliki moja ya kampuni kubwa sana za Shipping hapa UK kabla hatujaiuza kwa Wakenya

Mizigo ya shipping kwenda East Africa ilikua mingi sana mpaka July 2015. Lakini baada ya hapo ilishuka sana kwa asilimia kubwa mpaka kufikia mwezi wa march mwaka huu ambapo biashara ni kama imekufa kabisa

Tuna ofisi bandari zote kubwa hapa UK, na tunaona kabisa mizigo imepungua sana mpaka meli nyingi zimekua cancelled kwa kukosa mizigo

Zamani kulikua na meli tatu kwa mwezi za magari na meli kumi za kontena kwenda East Africa, lakini sasa ni meli moja tu na inakua haijajaa.

Hii inatokana na exchange rate kua ngumu kwa shillings na pia uchumi wa dunia ku slow down kwa ujumla.

Lakini unakuta wapumbavu wachache wanasema eti mizigo imepungua bandari ya Dar kwa sababu serikali imetumbua majipu

Kwa hiyo mlitaka muendelee kutuibia? PUMBAVU KABISA.

Biashara sasa ineanza kurudi na tumeanza kuona meli kubwa zinapakia makontena kwa sababu kampuni za meli zimeamua kushusha bei za makontena kutoka £1,900 mpaka £1,150 kwa 40' whole sale ili kurudisha biashara.

Kwa hiyo msidanganye umma eti watu wameikimbia Dar, bali muwaambie ukweli kua uchumi wa dunia kwa ujumla une slow down.

ASANTENI KWA KUNISOMA...
Wewe Lukosi usituletee mahaba niue hapa. Hata kufikiri kidogo tu kwamba hali ya sasa imewafanya wafanyabiashara wasite kuagiza mizigo hakuna? Unatia kichefuchefu sana wewe kwa vihoja vyako vya mapambio. Kukubali kwamba kuna tatizo unaona shida, sasa unadhani unalisaidia taifa kwa "diversions" hizi unazozileta?
 
Bw Lukosi,
Nakushukuru kwa kutoa elimu ya bure japo kama kawaida ya baadhi ya watu badala ya kuchambua hoja na kuuliza maswali pale wanapohitaji uelewa zaidi wanakimbilia kwenye personal attacks....
Ulichosema ni sahihi......kabla hata ya kuwa na inside knowledge ya industry, ukifanya simple desktop research utathibitisha unachokisema..... ni kweli kuna significant drop ya mizigo inayokuja ukanda wetu na kwingineko.

Mwezi uliopita tarehe 27 kulikuwa na Singapore-Tanzania business forum, mmoja wa waliohudhuria alikuwa Mmiliki wa moja ya makampuni makubwa ya usafirishaji ulimwenguni ya PIL. Alieleza kwamba idadi ya mizigo inayosafirishwa kuja ukanda wetu imeshuka sana..kuanzia Dar, Mombassa, Lagos, Accra hadi Luanda..... Alisema hii trend inachangiwa na factors mbalimbali ikiwemo mdororo wa uchumi duniani in particular aliongelea athari za uchumi wa China kushuka, kushuka/kupanda kwa thamani ya sarafu mbalimbali na kushuka kwa bei ya mafuta duniani. Alisema anavyoiona hali,itatengemaa kwenye quarter inayofuata.
Ukiachilia maelezo ya huyo bwana wa PIL, ukifanya desktop research ndogo tu utapata uthibitisho wa aliyosema Lukosi
China- Chinese economy: exports fall by 2% and imports by 11% in April
Nigeria- Nigeria’s exports slump 40% : NBS
Ofcourse, mbali na sababu za hali ya uchumi wa dunia zipo sababu nyingine local...mfano uamuzi wa TRA kuingia maelewano na DRC kuwawezesha watoze kodi mizigo inayokwenda DRC kwenye bandari yetu, imewafanya wafanyabishara wa Congo kuikimbia Bandari ya Dar... wanaona waende kwingine ambako hakuna utaratibu huo...ili wakwepe kodi....kusema ukweli move hii haikuta na tija kwetu...na haikufikiriwa kibiashara......sisi kodi za DRC hazituhusu....tungewaacha wapitishe mizigo yao kwetu,walipe cost ya kutumia bandari yetu na reli yetu na wao wakatozane kodi kwao....

Sababu nyingine iliyo local ni mifumo ya tehama ya bandarini iliyowekwa ilikuwa haisemezani,matokeo yake urasimu unaongezeka,ukiritimba unatamalaki na mianya ya wizi inaongezeka. Bahati nzuri changamoto hii tokea Serikali mpya iingie madarakani....na tokea Waziri Mkuu majaaliwa avalie njuga issues za bandari, nayo inapatiwa ufumbuzi na wataalam wazalendo

Yote kwa yote, tusivunjike moyo....mambo yatanyooka soon
Sasa mkuu hizi ndio sababu je kibiashara unategemea excuse nyingine tena
 
Mtanzania na Mwana JF mwenzetu Chris Lukosi ameandika hivi:

Nina uzoefu mkubwa sana kwenye biashara ya shipping, na nilikua namiliki moja ya kampuni kubwa sana za Shipping hapa UK kabla hatujaiuza kwa Wakenya

Mizigo ya shipping kwenda East Africa ilikua mingi sana mpaka July 2015. Lakini baada ya hapo ilishuka sana kwa asilimia kubwa mpaka kufikia mwezi wa march mwaka huu ambapo biashara ni kama imekufa kabisa

Tuna ofisi bandari zote kubwa hapa UK, na tunaona kabisa mizigo imepungua sana mpaka meli nyingi zimekua cancelled kwa kukosa mizigo

Zamani kulikua na meli tatu kwa mwezi za magari na meli kumi za kontena kwenda East Africa, lakini sasa ni meli moja tu na inakua haijajaa.

Hii inatokana na exchange rate kua ngumu kwa shillings na pia uchumi wa dunia ku slow down kwa ujumla.

Lakini unakuta wapumbavu wachache wanasema eti mizigo imepungua bandari ya Dar kwa sababu serikali imetumbua majipu

Kwa hiyo mlitaka muendelee kutuibia? PUMBAVU KABISA.

Biashara sasa ineanza kurudi na tumeanza kuona meli kubwa zinapakia makontena kwa sababu kampuni za meli zimeamua kushusha bei za makontena kutoka £1,900 mpaka £1,150 kwa 40' whole sale ili kurudisha biashara.

Kwa hiyo msidanganye umma eti watu wameikimbia Dar, bali muwaambie ukweli kua uchumi wa dunia kwa ujumla une slow down.

ASANTENI KWA KUNISOMA...
Watanzania kwa maigizo tuko vizuri. Yaani mdororo wa uchumi uko Duniani kote lakini athari kubwa ni Tanzania! Ajabu hii


Hata hivyo kuweka kumbukbu sawa,bandari za Beira, Mombasa J Burg zote inatajwa ziko busy! Mdororo wa uchumi ni facotr lakini kwa Muktadha wa argument hii, zipo sababu kuu nyingine kuliko hii
 
Back
Top Bottom