Chopa ya chadema yapigwa marufuku kalenga.

Chopa ya chadema yapigwa marufuku kalenga.

Likwanda

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2011
Posts
3,926
Reaction score
1,159
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku matumizi ya Helkopta katika siku ya uchaguzi wa jimbo hilo. Awali CHADEMA ilitaka kutumia Chopa katika kumpeleka mgombea wao katika kituo chake cha kupigia kura na kulinda kura katika vituo mbalimbali. Source: Clouds TV habari.
 
Safi sana chopa iishie iringa mjini waende na m4c kalenga wasitake sifa wakati hakuna ushindi wa chopa zaidi ya kura narudia tena wanakalenga hawataki chopa haina msaada kwao kha? :ban:
 
Back
Top Bottom