Kati ya zile 4 za CCM zilizoongezwa kuongeza nguvu katka kampeni imepata hitilafu na aliyekuwa anaitumia Mh. Lusinde mbunge wa Mtera ameogopa kupanda tena helicopta hiyo na kuapa kutotumia tena usafiri wa anga katika kampeni.
kwani hayo matakataka wameyatoa wapi? ndio tatizo la wizi na ufisadi ulio kubuhu mpaka wanajiibia wenyewe na kujifisadi wenyewe ona sasa yanawaletea shida.
Kati ya zile 4 za CCM zilizoongezwa kuongeza nguvu katka kampeni imepata hitilafu na aliyekuwa anaitumia Mh. Lusinde mbunge wa Mtera ameogopa kupanda tena helicopta hiyo na kuapa kutotumia tena usafiri wa anga katika kampeni.
kwani hayo matakataka wameyatoa wapi? ndio tatizo la wizi na ufisadi ulio kubuhu mpaka wanajiibia wenyewe na kujifisadi wenyewe ona sasa yanawaletea shida.
Kati ya zile 4 za CCM zilizoongezwa kuongeza nguvu katka kampeni imepata hitilafu na aliyekuwa anaitumia Mh. Lusinde mbunge wa Mtera ameogopa kupanda tena helicopta hiyo na kuapa kutotumia tena usafiri wa anga katika kampeni.
kwani hayo matakataka wameyatoa wapi? ndio tatizo la wizi na ufisadi ulio kubuhu mpaka wanajiibia wenyewe na kujifisadi wenyewe ona sasa yanawaletea shida.
Chopa za ten % hizo lazima ziwaumbue.
Washazoea kupiga deal tu, sasa madeal yao mabovu yanawaumiza.
Halafu eti wanataka waendelee kutawala, nani kasema?