Mtindo wa maisha unaoishi ndio chanzo Cha tatizo, kuondoa tatizo Kwa haraka zaidi kanunue kwanza magnesium vidonge, tafuna vinne Kwa mkupuo, then Kila baada ya massa 2 unatafuna viwili, unaweza ukaharisha mpaka ujisikie Raha, baada ya hapo badili mfumo wa kuishi, acha kula ma ANDAZ usijibane ukihisi haja, tumia na metronidazole pia.