Chondechonde Viongozi UKAWA

Chondechonde Viongozi UKAWA

McFerson

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,167
Reaction score
2,328
Wasalaam jf,

Viongoz wetu wa UKAWA nawashangaa mnavyotuhamasisha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ila hatuoni mkifanya mchakato wa kushinikiza serikali tupate TUME HURU YA UCHAGUZI .

Ninachokiamini ni kwamba tutawapigia kura UKAWA mtashinda,ila tume ya uchaguz ikawa ileile tusitegemee mabadiliko yoyote.

Mi nawashangaa mnakuwa kama vile mnaishi Sweden halaf hamuijui serikali yetu.

Kitu kingne ni kwamba kumekuwa na UHUJUMU WA KURA almost chaguz zote lazima jambo hili lijitokeze,,cha kushangaza ni kwamba ninyi tuliowapigia mnaishia kulalamika na kulialia kama sis wapiga kura..Kwan mnataka tuwasaidie kuzilinda kivip?

please nawaomba mtulindie kura zetu jaman,sis kaz yetu ni kupiga kura ssa linapokuja suala la wzi wa kura hapo mnatuvunja moyo.

Mwaka huu tumejpanga kufanya mabadiliko ya kihistoria kwahiyo tunaomba mtutie moyo mtuongoze mpaka kuifikia TANZANIA HALISI

asanteni.
 
Kaka umenena, yaani umeongea point kweli kaka, na tatizo hilo ni kwa tanzania yote, hata zanzibar hali ni hio hio, waje hapa watuambie mikakati
 
Wasalaam jf,

Viongoz wetu wa UKAWA nawashangaa mnavyotuhamasisha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ila hatuoni mkifanya mchakato wa kushinikiza serikali tupate TUME HURU YA UCHAGUZI .

Ninachokiamini ni kwamba tutawapigia kura UKAWA mtashinda,ila tume ya uchaguz ikawa ileile tusitegemee mabadiliko yoyote.

Mi nawashangaa mnakuwa kama vile mnaishi Sweden halaf hamuijui serikali yetu.

Kitu kingne ni kwamba kumekuwa na UHUJUMU WA KURA almost chaguz zote lazima jambo hili lijitokeze,,cha kushangaza ni kwamba ninyi tuliowapigia mnaishia kulalamika na kulialia kama sis wapiga kura..Kwan mnataka tuwasaidie kuzilinda kivip?

please nawaomba mtulindie kura zetu jaman,sis kaz yetu ni kupiga kura ssa linapokuja suala la wzi wa kura hapo mnatuvunja moyo.

Mwaka huu tumejpanga kufanya mabadiliko ya kihistoria kwahiyo tunaomba mtutie moyo mtuongoze mpaka kuifikia TANZANIA HALISI

asanteni.
ukawa yule jaji lubuva si mmeona anavyopelekeshwa na serikali......hamkuona kwenye suala kura ya maoni?haiaminikibwana,shauri lenu,mtaibiwa,halafu uchochoro mwingine ni simple majority,inatakiwa mshindi apate asilimia 50 + 1
 
Wasalaam jf,

Viongoz wetu wa UKAWA nawashangaa mnavyotuhamasisha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ila hatuoni mkifanya mchakato wa kushinikiza serikali tupate TUME HURU YA UCHAGUZI .

Ninachokiamini ni kwamba tutawapigia kura UKAWA mtashinda,ila tume ya uchaguz ikawa ileile tusitegemee mabadiliko yoyote.

Mi nawashangaa mnakuwa kama vile mnaishi Sweden halaf hamuijui serikali yetu.

Kitu kingne ni kwamba kumekuwa na UHUJUMU WA KURA almost chaguz zote lazima jambo hili lijitokeze,,cha kushangaza ni kwamba ninyi tuliowapigia mnaishia kulalamika na kulialia kama sis wapiga kura..Kwan mnataka tuwasaidie kuzilinda kivip?

please nawaomba mtulindie kura zetu jaman,sis kaz yetu ni kupiga kura ssa linapokuja suala la wzi wa kura hapo mnatuvunja moyo.

Mwaka huu tumejpanga kufanya mabadiliko ya kihistoria kwahiyo tunaomba mtutie moyo mtuongoze mpaka kuifikia TANZANIA HALISI

asanteni.
.kweli mkuu sijui kwnn hawashtukii swala hilo litawagharimu!
 
ukawa yule jaji lubuva si mmeona anavyopelekeshwa na serikali......hamkuona kwenye suala kura ya maoni?haiaminikibwana,shauri lenu,mtaibiwa,halafu uchochoro mwingine ni simple majority,inatakiwa mshindi apate asilimia 50 + 1

ACHA UCHONGAANISHI WA KITOTO WEWE. Kama huna la kusema kalale bana, usituvuruge vuruge kwa porojo zako hapa. Huo ni uchonanishi tu ndiyo unaokusumbua. Kama wewe ni mwizi siyo watu wote ni wezi. Mwizi siku zote huwa na wasi wasi na haamini wengine akijua watamuibia kama yeye anavyoiba. Ili uwe mtu mwema Gor acha tabia ya wizi maana huwezi kumpa mtu kitu ambacho hauna.
 
Hayo yote uliyozungumza yapo kwenye katiba mpya ambayo ukawa pia wanaipinga sasa jema kwenu lipi.
 
wachawi wa nchi yetu hakuna haja ya kuwaendea kwa mganga

Hiyo ndiyo imani potofu uliyonayo, waganga wa kazi gani? Labda kama unaumwa nenda hospitali zipo na waganga wapo watakusikiliza na utapimwa na kupewa matibabu kulingana na ugonjwa wako.
 
Hiyo ndiyo imani potofu uliyonayo, waganga wa kazi gani? Labda kama unaumwa nenda hospitali zipo na waganga wapo watakusikiliza na utapimwa na kupewa matibabu kulingana na ugonjwa wako.

nmemtuma gwajima akuletee maharage
 
Back
Top Bottom