Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,769
- 7,563
Nina imani JPJM si mjinga kiasi cha kuukubali ujinga wa Njamia na wachumia tumbo wenzake!
Chondechonde rais wangu Magufuli, ...
Rais wangu Magufuli kuwa makini ...
Rais wangu ninaogopa, ...
Na Yericko Nyerere
View attachment 589941
Yuko wapi kuukemea upuuzi huu. Hili lipo ndani ya uwezo wake binafsi. Anaweza kutoa tamko dogo na mjadala huu ukafia hapo. Ukimya wake ni kuridhia uzwazwa wa Nkamia.Rais hawezi kukubaliana na huo utumbo wa Nkamia... Namjua Magufuli vizuri
hivi alianza lini kusikiliza maneno yenu?Hakuna mtu atayekubali kumuongeza mda wa kukaa madarakan