Chonde chonde Rais Magufuli, usiguse hii Katiba tuliyonayo

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,784
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!
 
Kenya wana katiba mpya nzuri sana ila ufisadi umezidi mara mia wanatamani kupata rais aina ya Magufuli.


Hii katiba ni katiba bora kabisa inaitaji viraka tu patapo hitajika. Magufuli akileta ile ya Warioba itamsumbua kufanya maamuzi.

Ikiwezekana katiba iwe kichwa chake.
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!
Hii nchi kuna watu wa ajabu sana! Inamaana walioanzisha mchakato walikua wajinga? Huna akili.
 
Mkuu leo tuna JPM tunshangilia, tukipata raisi mwenye fikra kama za Idd Amin piga picha uone nini kitatokea katiba iko haja ya kurudia na kuona ni jinsi gani ya kuwa na katiba bora
 
Mkuu ila huoni kama ingeshabadilishwa sahivi tungekua tunamuelekeza JK nyavuni? Anyway kwa kuwa hata mimi natamani Magufuli aongezewe madaraka kama Rais nadhani katiba hii ya sasa bado inampa rungu kubwa sana...ila ntaomba kwenye awamu mbili za urais tu-review ziwe tano...Magu akimaliza hizo turudishe term mbili
 
Kenya wana katiba mpya nzuri sana ila ufisadi umezidi mara mia wanatamani kupata rais aina ya Magufuli.


Hii katiba ni katiba bora kabisa inaitaji viraka tu patapo hitajika. Magufuli akileta ile ya Warioba itamsumbua kufanya maamuzi.

Ikiwezekana katiba iwe kichwa chake.

Yaani katiba nzuri ya Kenya ndiyo inawazuia kupata Rais kama JPM? Time to be serious.
 
Mtoa mada huoni mbali, huna tofauti na mwenye njaa anachekea sahani ya ubwabwa na kesho hajui itakuwaje. Katiba ni Roho YA TAIFA LOLOTE DUNIANI. SIO ya Leo kesho itupwe. Haijatungwa kwa ajili ya MTU mmoja. Nashangaa unapotaka Raisi avunje katiba, awe juu ya katiba!!!??? Toba!!!!! Basi atakuwa dictate State. Tunataka katiba itakayo waongoza Wa Tz hata miaka 1000 ijayo
 
Mzee Magu endelea na hii hii Katiba ya 1977 kwani hata Vyama vya Upinzani ndo waloitaka hadi kushiriki Uchaguzi Mkuu 2010 waliikubali.Sipati picha angalikuwa vipi Ukawa ndo waloshinda Uchaguzi Unadhani isingekuwa rahisi hata kwao kusema wanabadili Katiba.Waliambiwa na kukubali kuingia katika uchaguzi
 
Kenya wana katiba mpya nzuri sana ila ufisadi umezidi mara mia wanatamani kupata rais aina ya Magufuli.


Hii katiba ni katiba bora kabisa inaitaji viraka tu patapo hitajika. Magufuli akileta ile ya Warioba itamsumbua kufanya maamuzi.

Ikiwezekana katiba iwe kichwa chake.
Utafiti uliofanya huko Kenya, hebu tupia nakala please.
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!
Umetumwa na nani? Mbona unajaribu kiburi. Hameni nyie kwenda Zimbabwe, Congo Brazaville, Gambia, Burundi mkafaidi udikteta
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!

Hivi Tume ya Warioba na Bunge la Katiba walitumia Trilioni ngapi, pesa za kodi ya wananchi waliopigika kimaisha? Kiasi hicho kingejenga Fly over ngapi? Km ngapi za lami? Dawa & Vifaa Tiba kiasi gani?
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!
Uliko egemea wewe sisi tuna kujua tena usivyo na adabu unampa ushauri kiongozi kisha una muamuru eti 'Hakuna kugusa hii katiba' who the hell you think you are? Acha woga katiba si ya wapinzani wala mali ya CCM ni ya Watanzania mmefanikiwa kumbadili mawazo Mzee Warioba sasa hivi kapoa na mwanae kapewa ukuu wa wilaya ah! basi mzee kakaa anaota moto tu sasa
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!

Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!

Ulikuwa wapi muda woote M/kiti wako alipoanzisha huu mchakato?? Warioba na wenzake walivyokuwa wanafanya kazi hiyo ulikuwa ughaibuni?? Wewe na M/kiti wako, wewe na Warioba na timu yake, wewe na Watanzania waliotoa maoni yao kwenye tume...nani mwenye akili??
 
Hivi Tume ya Warioba na Bunge la Katiba walitumia Trilioni ngapi, pesa za kodi ya wananchi waliopigika kimaisha? Kiasi hicho kingejenga Fly over ngapi? Km ngapi za lami? Dawa & Vifaa Tiba kiasi gani?
Hiyo iliyo kuwa tume ni watu walio kuwa wanapishana mitazamo na flani kwa kuwa penye udhia tia rupia akawa kusanya akawapa fungu la kutosha kuwa keep busy afanye mambo yake bila kero hatima ya yaliyo jiri ili tarajiwa,ingepita tu kama ingekuwa walivyo taka kina flani ili kuwapa ulinzi wao na madhambi yao na sio kwa matakwa ya wananchi,so kiasi gani kilitumika hesabu ni maumivu ya ziada kwa nchi.
 

Ulikuwa wapi muda woote M/kiti wako alipoanzisha huu mchakato?? Warioba na wenzake walivyokuwa wanafanya kazi hiyo ulikuwa ughaibuni?? Wewe na M/kiti wako, wewe na Warioba na timu yake, wewe na Watanzania waliotoa maoni yao kwenye tume...nani mwenye akili??


Sina Mwenyekiti yoyote mimi!
 
Hii Katiba tuliyonayo ndiyo itakayotuletea maendeleo ya haraka nchini mwetu, na ndiyo najua mtanikodolea mimacho, naongelea madaraka makubwa ya Raisi kwa kifupi Raisi ambaye ni Mungu mtu, kwamba anachoongea kinafanyika bila ya kupingwa popote!

Ikumbukwe kwamba sababu hasa ya vyama vya upinzani kulilia hii wanayoita Katiba mpya wala haiko kwenye maendeleo ya nchi yetu bali iko hasa kwenye ubinafsi zaidi, wanataka kuwa na Katiba ambayo itawawezesha kuingia madarakani kwa njia yoyote ile isipokuwa ya kura!

Hii Katiba yetu kwa jinsi ilivyo hakuna jinsi wanavyoweza kutumia mbinu zao kuingia madarakani kwani Raisi anaweza kuzizima na kuwacrash mara moja,
lkn tukishaleta mambo ya Katiba kama ya Kenya au AK huwo ndiyo mwisho wa nchi yetu na hata hawa Wapinzania wenyewe kama wangekuwa wao ndiyo wako madarakani na Katiba hii wala wasingeigusa!

Hivyo chonde chonde, Hakuna kuigusa Katiba yetu, ibakie jinsi ilivyo kwani kwa nchi changa na masikini kama TanZania tunahitaji Raisi mwenye nguvu na aliye juu ya Sheria!


Anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, kwetu ni Nope!

Mimi nalia na lumumba kutuharibia vijana kwa kuwatumikisha kifikra kusema kile ambacho hata wao hawakiamini.Yaani mtu anajifanya mjinga mwishowe anaona ujinga ni sehemu ya maisha yake.Mleta mada ni mhanga wa kutumikishwa kifikra.
 
Back
Top Bottom