Tena wengine hata aina ya mjengo na usafiri huwa wanaplan mapema... Hata MIMI kabla sijarudi uraiani nlichokuwa nakiwaza ni Rav4 L new model na mjengo wa ghorofa moja bt tangia nimeingia uraiani nafikiria ni jinsi gani nitamanage matumizi yangu kusudi niweze ku-save pesa nipate mtaji niwe mjasiriamali!...Ni kweli,nawaonea huruma sana wadogo zetu huko vyuoni. Mkuu Zyamwelele ulichokiandika ni ukweli 100%