MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Jamani yani toka makamanda wameikamata Lindi na Mtwara nalalaje usingizi mnono naona jinsi ukombozi unavyozidi kukaribia wamemfanya NEPI akimbie kiyoyozi Lumumba fulu AC lakini jasho linamtoka.
Naomba makamanda waanze kupanga mikakati ya kuiteka TANGA na MOROGORO yani tuvamie Kilosa,Kilembero,Mvomero, Kilindi, Muheza, Korogwe,Lushoto,Bumbuli uko kote WATANGANYIKA wenzetu wanawasubiri makamanda.
PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSS.
Naomba makamanda waanze kupanga mikakati ya kuiteka TANGA na MOROGORO yani tuvamie Kilosa,Kilembero,Mvomero, Kilindi, Muheza, Korogwe,Lushoto,Bumbuli uko kote WATANGANYIKA wenzetu wanawasubiri makamanda.
PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSS.