Chombezo: Asia digitali

VAN HEIST

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
1,434
Reaction score
617
MTUNZI: George Iron Mosenya SEHEMU YA KWANZA.

Joto lililokuwa katika chumba kikubwa cha ‘internet café' liliwafanya wateja wajipepee kwa kutumia makablasha kadhaa waliyoingia nayo ama kuyakuta katika chumba kile.Joto lile lilikuwa kero kwa kila mteja mle ndani, lakini kwa mtu mmoja tu n'do lilikuwa sherehe.Alikuwa ameyaona mawindo sahihi kabisa.Mawindo ambayo yangepewa ushirikiano mkubwa na lile joto.

Mkabala na mahali alipokuwa amekaa alitazamana na kijana wa makamo ambaye afya na mavazi yake pekee yaliidhinisha uwezo wa yeye kuwa ameegesha gari nzuri nje ya jingo lile na mfukoni hakukosa noti kadhaa zenye uzito wa kuitwa pesa. Jasho lilikuwa likimtiririka na alikuwa amejikita katika kujipangusa kwa kutumia leso yake. Kabla umeme haujakatika kijana huyu alifanya siri na kuchungulia mapaja meupe ya binti huyu ambaye hakuteswa na joto lile bali ilikuwa sherehe. Wakati kijana huyu akidhani kuwa alichofanya kilikuwa siri sana…jicho kali na la kitapeli la binti yule liliweza kushuhudia matamanio ya kijana yule.

Sasa umeme ulikuwa umekatika, joto limetawala binti akaamua kuitumia nafasi. "Atanijua mimi nd'o Asia." Alijisemea wakati akifungua baadhi ya vishikizo vya blauzi yake. Alifanya hivi huku akkizuga kuwa anateswa sana na lile joto.Maziwa yake ambayo pia yalikuwa meupe pee yalionyesha mchirizi ambao asilimia kubwa ya wanaume wakiutazama hutamani kuona na kinachoendelea chini. Asia hakuachia uhondo wote, alimuacha yule kijana katika mtihani wa matamanio.

Kwa jicho lililofuzu kulaghai wanaume aliweza kuiona suruali ya kitambaa ya yule kijana ikitoka katika kutepeta na kukakamaa.Akafanya tabasamu la kusanifu, akijifanya anaitazama simu yake.Kijana wa watu hakujua kama anachezewa akili."Kashajileta pumbavu zake." Aliendelea kufanya tathmini. Mara akaitupa karata ya mauaji ambayo aliamini kwa namna yoyote lazima yule mwanaume atajiingiza katika himaya yake.

Asia kwa kutumia vidole vyake vyenye kucha bandia alibofya simu yake iliyokuwa katika mkoba.Ikaanza kuita akaichomoa. "Hellow……..mwenzangu….yaani najaribu kucheki Bro Smith, Skype umeme nao huko umekatika, nimemcheki kwenye simu, dah network ya Germany sijui vipi. Mbona yamenishuka mwenzako." Asia aliongea kwa sauti nyororo inayobembeleza na bila shaka ilikuwa inatangaza maisha bora anayoishi kwani alikuwa katika kudeka. Kimya kikatanda kama anayesikilizia kitu fulani kutoka upande wa pili.

Kisha akafanya cheko, cheko lililoyaruhusu maziwa yake kifuani kucheza kidogo, akafanya kuiegemea simu akayarekebisha. Jicho lake kama kawaida likamchungulia muhusika wake. Muhusika alikuwa amesahau kujipepea, alikuwa anatokwa jasho na alikuwa katika kushangaa."Mi nataka kuondoka hapa, maana hakuna jipya, .." akaweka kimya tena. Kisha akaendelea."Naenda Msasani sahivi, lakini shoga mwenzio si unicheke kabisa mapema….sina gari hapa najishaua tu….maza kaenda nalo Mwanza, na mimi kuendesha ka Lexus kake sitaki."Akaweka nukta tena. "Mh…atoke wapi wa kunichukua wewe……naenda zangu kupanda daladala mie.

Nitafanyaje sasa………baadaye basi Shosti." Alimaliza maongezi akaufunga mkoba wake baada ya kuwa ameweka simu ndani yake. Akasimama, akapiga hatua kadhaa, taratibu huku akiruhusu nyamanyama zilizovimbiana kwa nyuma na kumfanya apendeze zikitikisika kwa fujo. Yote haya yalitokea ili fulani aweze kuona.Macho hayana pazia, mikono ikamwenda kinywani, akakunja kunja sharubu zake, kisha mkono mmoja ukamponyoka na kuifikia suruali yake, akauingiza ndani na kusawazisha mambo.

Macho ya Asia hayakukosea kumsoma, alikuwa ametamanika. Kijana akasimama, akajifanya kunung'unika kutokana na huduma mbovu walizopata, hakukumbuka kudai pesa zake.Akapiga hatua kubwa akamfikia Asia."Vipi dada na wewe wamekuchosha nini? Watu gani hawa yaani umeme umekatika hawawashi jenereta. Aaaargh." Alilalamika.Asia akajichekesha kisha akasonya."It's boring…..yaani dah basi tu….but it sucks…." Akatema maneno, Kiswahili kwa mbali ung'eng'e mwingi.

Wakaendelea na mada ya kuwalalamikia watoa huduma hizo. Hadi wakaufikia ukumbi ule wa kuoneshana nani ni nani.Ilikuwa sehemu ya kuegeshea magari."Kwani dada unaelekea wapi." Kijana ambaye alikuwa hajajitambulisha jina akauliza."Msasani, ngoja nikapate kero nyingine ya kugombania magari.

We unaenda pande zipi au safari yetu moja?" aliuliza Asia huku akijua nini kinafuata. "Mimi nafika Namanga hapo. Kuna watu naenda kuonana nao hivi mara moja. Dah hizi kazi hizi." Alilalamika katika namna ya kujifagilia njia."Poa kumbe gari moja twende ukanisaidie kuwania siti." Jamaa kusikia vile akajikoholesha kisha akamwonyesha Asia kwa kutumia kidole cha shahada, gari aina ya Noah nyeupe ikiwa imetulia ikimsubiri mmiliki. "Mwenzangu heri yako…poa kaka siku nyingine lakini hapa sirudi tena aisee." Alisema Asia huku akiondoka."Twende nikusindikize kidogo bwana.." alisihi yule kijana. Asia akajifanya kufikiri kidogo kisha akauliza swali la kijinga."Hamna mahali unapita maana mimi nina haraka kweli.""Naenda moja kwa moja."Asia akakubali, wakaongozana garini.

Safari ya kuelekea Msasani. Ndani ya gari maongezi ya hapa na pale yaliendelea….Asia kwa kutumia simu yake akafanya jambo jingine lililompelekea kujikuta anahamishiwa rasmi katika timu nzima ya digitali.

Akaandika ujumbe baada ya dakika moja simu yake ikaita. "Mh…sorry..simu yangu inatatizo la speaker I hope sitakuboa nikitumia loud." Asia alisema huku akiyafinya macho yake katika namba ya kumhangaisha mwanaume dhaifu. "Aaah…hata usijali ongea tu…." Alijibu.Asia akapokea simu akaiweka katika spika kubwa."Ehe nambie…."

Akaanzisha maongezi. "Peter kanipigia mwenzangu…..""Anataka nini?" "Asia jamani…msamehe mwenzako …..kabembeleza sana ujue…." Sauti kutoka upande wa pili ikasihi." "Jackline, nakuheshimu sana…nakuomba kwa heshima ya urafiki wetu…usinambie lolote kuhusu huyo tapeli wa mapenzi, Jack umekuwa shahidi wa ujinga alionifanyia Peter….umeshuhudia uchafu wake wote…leo hii unamwombea msamaha…Jack kweli umenichoka kiasi hicho, amekulipa huyo Peter umwombee msamaha……ok Jack labda niseme neno moja tu….ulifurahia alichonifanyia sivyo…..Mbarikiwe sana " Akamaliza huku analia, akaikata simu, uso ukiwa mwekundu, ngozi yake ya rangi ya chungwa ikikosa ustahimilivu na kuchafuliwa na machozi… kilikuwa kilio haswa. Asia alikuwa analia.

Kijana aliyekuwa anaendesha gari ambaye mwanzoni alikuwa amemtamani Asia alijikuta akipagawa, mara akaiegesha gari pembeni.Vioo vyeusi tii…nani atajua kinachoendelea ndani. Nd'o uzuri wa tinted Akaanza kumbembeleza Asia. Akamsihi sana asilie, Asia akawa analia huku anawalaani wanaume wote. Alimlaani Peter hadi yule kijana naye akamsaidia katika kumlaani. "Mpendwe vipi nyie wanaume …mnataka roho zetu…mnataka tufe nd'o mjue kuwa mlipendwa au? Yaani mtalaaniwa nasema atalaaniwa huyo Peter, kwa chozi hili linalonitoka mimi Asia… Peter alitaka nini mimi nikamnyima, pesa zangu za kutumia chuo, pesa za kujaza gari mafuta zote nimempa mimi. Alitaka nini sasa, nimepigwa na dadiii mimi mamii akanichukia, kaka zangu wamenipiga makofi mimi.

Kisa Peter, Peter….aah…" Asia aliendelea kulaani maneno yaliyomsulubu yule kijana. Akiwa hajui cha kufanya Asia akiwa analia alimlalia, alimlalia kifuani, zile chuchu alizoziona kwa kuibia kule ‘internet café' sasa zilikuwa zimemlalia zikimchoma katika namna ya kuleta hamasa, kucha za bandia za Asia zikalifinyafinya shingo lenye afya la yule kijana. Pumzi za kupishana ndani na nje zikawa zinatesa katika sikio la yule kijana. Sasa alianza kupagawa. Huyu Asia alikuwa anajibembeleza ama.Akawa katika sintofahamu. Nani atampa jibu?Asia akalisikia paja lake likiguswa na kitu ambacho hakikuwepo hapo awali.

Hakushtuka Akafanya tabasamu jepesi kisha akamzomea yule jamaa.Hicho kitu kilivimba kutoka katika suruali nyepesi. "----- linawahi kweli kupata hamu hili." Asia alikebehi kimya kimya.Hamu zikamzidi yule kijana, mara naye akakumbatia, mara akakumbatia kwa nguvu zaidi. Mara akaanza kunena katika lugha za maajabu zisizojulikana kitaifa wala kimataifa. Mikono yake ilikuwa ikitalii katika mzigo wa titi mbili ndogo za Asia.Afadhali yeye alikuwa ananena kilugha.Asia alikuwa hoi kama aliyezirai.

Jamaa akajua kuwa Asia kakolea.Laiti kama angejua kuwa Asia anatumia mbinu ya kidigitali, basi ni heri angebaki katika dunia ya analojia aliyokuwa anaishi awali. "Baby…..Baby…..unaniua mweenzio….unaniaaa…..pliiz stop….." "Am sore bebi…am sore vere sore….me you know…" Jamaa akajaribu kiingereza asichokijua, Asia akataka kupitiwa na kicheko.Akajikaza. Alikuwa kazini.

Mkono wa jamaa ukapenya katika mapaja…..Asia akajua jamaa anataka kumpima kina cha kisima na kutazama kama kina maji ama ni kikavu."----- asije akanichafua bure..akavuka mipaka….."Asia digitali akacheza kidigitali, alishagundua kuwa jamaa ni mwepesi sana. Ulimi mkali kama ule wa kinyonga, ulimi ambao ulishausema uongo hadi uongo ukauzoea ukazama katika sikio la yule jamaa."Uwiiiiiii….ooooohhh yeees.." jamaa akaganda kama roboti, mkono haukwenda mbele wala kurudi nyuma.

Akazidi kunena kwa lugha zake zisizokuwa za kiroho.Asia akagundua kuwa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa.Akafanya tekniki ya mwisho.Akajibandua katika mwili wa jamaa….akaanza kujifuta midomo, na kujifanya anaona aibu……jamaa kaduwaa tu hajui digitali inakwenda vipi. Analojia ilikuwa imemwathiri.

Jamaa akawa na aibu za kweli, suruali ilikuwa wima sana. Akajitazama, shughuli ikaja je airekebishe ama aicha ilivyo……… ****Huyu ndiye Asia Digitali…….je historia yake inaanzia wapi…ni lini alihamia digitali…chanzo cha kuaicha analojia ni kipi?

****NI MWANZO TU WA CHOMBEZO HILI LA AINA YAKE AMBALO LINAKUWEKA KATIKA HALI MBILI, KICHEKO NA HISIA……..KAZI NI KWAKO…. ENDELEA KUTEMBELEA
 

kimyaa
 
SEHEMU YA PILI
Ulimi mkali kama ule wa kinyonga, ulimi ambao
ulishausema uongo hadi uongo ukauzoea
ukazama katika sikio la yule jamaa.
“Uwiiiiiii….ooooohhh yeees..” jamaa akaganda
kama roboti, mkono haukwenda mbele wala
kurudi nyuma.
Akazidi kunena kwa lugha zake zisizokuwa za
kiroho.
Asia akagundua kuwa amefanikiwa kwa kiasi
kikubwa.
Akafanya tekniki ya mwisho.
Akajibandua katika mwili wa jamaa….akaanza
kujifuta midomo, na kujifanya anaona aibu……
jamaa kaduwaa tu hajui digitali inakwenda vipi.
Analojia ilikuwa imemwathiri.
Jamaa akawa na aibu za kweli, suruali ilikuwa
wima sana. Akajitazama, shughuli ikaja je
airekebishe ama aicha ilivyo………
“Yaani sijui tu what to say…but siwezi
kujicontrol mwenzio” Asia alivunja kimya, huku
akionekana dhahiri kuwa tayari amekolea.
Alijifanya haioni ile suruali.
“Sasa tunafanyaje jamani?” aliuliza kibwege
yule mwanaume.
“Mi siwezi yaani sijui tu unanisaidiaje……” alizidi
kulalamika.
Mwanaume akawasha gari, akaiondoa kwa
mwendo wa kawaida.
Akafika Kinondoni, Chichi Hotel.
Hapo hakuna aliyekuwa anakumbuka kuwa
alisema anaenda Msasani wala namanga.
Asia alikuwa anaifahamu fika ile hoteli lakini
akazuga kuuliza.
“Vipi hapa nd’o kwenu?”
“Hapana hii ni hoteli baby wangu. Vipi tunaweza
kuingia.”
“Yaani dah..sawa tu kwa kuwa siwezi
kujicontrol. Lakini hapa hapana my dear…pako
wazi sana siwezi” Alilalamika kinafiki.
“Sasa twende wapi jamani.”
“Popote hata Magomeni lakini hapa hapana, hizi
hoteli kubwa kubwa Dady anawewza
kunifumania.” Alidanganya. Uongo ukakubaliwa.
Gari ikageuza kurudi magomeni.
Baada ya dakika kadhaa walikuwa katika
chumba katika nyumba ya kulala wageni ya bei
ya kawaida. Asia alikuwa ana maana kubwa ya
kuchagua sehemu kama ile.
“Baby kwani unaitwa nani?”
“Mimi naitwa Jumanne, niite J fo na Juma tu
inatosha.”
“Ooh J fo nd’o zuri zaidi.”
Walipotulia kidogo Asia alichukua simu yake,
kama kawaida alituma ujumbe kwa umakini
mkubwa.
Kisha vikafuata vitendo.
Jumanne akiwa anaona aibu bado, mara Asia
akamrukia akamfungua kishikizo kimoja, mkono
mwingine ukalifikia sikio, kidole cha kati
kikapenya katia sikio la kuume, mapigo ya moyo
ya Jumanne yakaongezeka mwendo, shati
likatoka, mara mkono laini wa Asia ukapenya
katika suruali ya Juma, akaanza kujichekesha.
Asia akaongeza utundu, mara anapapasa huku
mara kule.
Jumanne hoi.
Hatimaye Juma akawa laini kabisa, akapaparika
akamminya Asia chuchu yake ngumu, Asia
akatokwa na mlio wa ajabu wa kimahaba, Juma
akapagawa zaidi.
Asia akajiviringisha mithili ya samaki nguva,
kinguo chake kifupi kikapanda juu kidogo.
Shanga kadhaa katika kiuno chake.
Kama shambulizi basi hili lilikuwa la kimataifa.
Juma likuwa mlevi katika jambo hili.
Juma na shanga?? Hakuambiwa kitu na mtu.
Akamrukia Asia, akakirushia mbali kigauni
chake.
Juma ana kwa ana na bikini nyeupe, jicho la
Asia likiwa katika mlegeo wa ajabu kama
linalotaka kufumba.
“Juma mi natakaaa.” Akalia Asia.
Juma akatoa kibukta kilichobaki mwilini.
Kama Juma alidhani ni ujanja kwa mwanaume
kutangulia kuvua nguo, basi huo ni ujinga katika
mfumo wa digitali aliokuwa anautumia Asia,
labda kwa wana analojia wenzake huo nd’o
ulikuwa ujanja.
Asia akamtazama Juma anavyokuja kwa kasi,
akamuwahi palepale kabla hajakifikia kitanda,
akamwangusha chini, mkono mmoja ukaifikia
himaya ulimi ukazama sikioni……
Juma akalegea kama mlenda Asia akaligundua
hilo.
Mdigitali akafumbua macho akakutana na kitu
alichokuwa anakisaka kuanzia ‘internet café’.
Funguo. Zilikuwa funguo mchanganyiko.
Asia akamgalagaza Juma, hatimaye wakaifikia
ile meza mbovu iliyokuwa chumbani.
Meza ikapinduliwa na Asia huku akilia
kimahaba.
Funguo zikamwagika chini.
Juma hakujua lolote, mkono wa Asia ulikuwa
unamsulubisha.
Sasa kikafuata kitendo cha maajabu kikiwa
katika mfumo wa Digitali.
Asia akamruhusu yule jamaa kumwingia sasa.
Lengo likiwa safari ya maajabu.
Jumanne akafika kwa kasi zote, akatulizwa
kidogo kisha akaruhusiwa.
Kwa papara akaleta staili ya kibaba na mama.
Asia digitali sio mjinga, yaani umweke kibaba na
mama ili umwangalie usoni anavyofanya
maigizo? Hata haiwezekani.
Lakini cha ajabu alikibali bila kinyongo.
Akalala chali, bwana mapapara akamvamia.
Vigaye vikampa raha Asia, kila mara jamaa
alivyomsogelea kwa fujo naye alizidi kusogea
nyuma. Si kwamba mikito ilikuw a inamzidia
Asia alikuwa anafanya jambo ambalo kwa
kuhadithiwa tu huwezi kuelewa we muanalojia
unatakiwa ufanyiwe uumbuke nd’o utajua.
Wakati Asia akifanya yake pale chumbani, nje
ya chumba mwanadada Janeth ama kwa jina la
kazi ‘profesa maji ya shingo’ alikuwa bize
akijipitisha hapa na pale akijifanya kuna jambo
anatafuta.
Uzuri wa gesti za hadhi ya kawaida hakuna wa
kukuuliza.
Kilio feki cha Asia kilimpa amani moyoni kwani
ule muda ulikuwa umewadia.
Akajiweka mbali akawa anahesabu dakika.
“Kwa ninavyomjua Asia hapo ni viuno sita tu
mambo tayari.” Janeth alijisemea huku akisoma
ramani.
Mara akausikia mlango wa chumba cha Asia
ukiguswaguswa.
“Tayari mambo...” Jameth alijisemea, akaiweka
simu yake mfukoni.
Akatembea upesi upesi akaufikia mlango wa
Asia akainama, akatoka na kitu.
Laity kama ungebahatika kumuona wala
usingeweza kudhani kuwa alikuwa amechukua
funguo tayari. Funguo ambayo ilikuwa
inasukumwa na mgongo wa Asia kila ambapo
Juma alikuwa anakipampu.
Juma alikuwa katika dunia ya analojia, wenzake
walikuwa kazini kidigitali.
Baada ya dakika kadhaa mwanadada Janeth
akiwa katika mataa ya magomeni alikuwa
anatafuta mahali pa kuwashia redio ndani ya
gari la Juma, ajiliwaze huku akiyangoja mataa
yaweze kumruhusu ajiondokee zake na kwenda
anapojua mwenyewe. Leseni ilimruhusu kujitapa
kwa raha zake.
Wakati Janeth akiwa anakula kiyoyozi. Asia
alikuwa analia, alikuwa analia sana.
Juma alikuwa anambembeleza.
“Nipo katika siku za hatari…halafu tumefanya
bila kinga….then sijui kuhusu afya yako..”
alilalamika.
Juma alikiri kosa lakini baadaye akasema jambo
la kushangaza.
“Asia usijali mimi ukipata mimba nitalea
mtoto..nakupenda kutoka moyoni. Nakupenda
sana.” Asia aliyapokea maneno yale kama igizo
endelevu.
Akajifanya yamemfariji.
Juma akajiona yeye ni mshindi.
Wakaoga pamoja.
Wakati wa kuagana pale chumbani, mwanaume
akafuta aibu. Akampatia nauli shilingi elfu
hamsini.
Asia akaipokea kwa heshima zote. Moyoni
akimcheka Juma kwani hakujua kama
anahamishiwa digitali kilazima.
Hatimaye ukafika wakati wa kujipekua kama
gari huwa inahifadhiwa mfukoni ama kwenye
pochi.
Juma alipagawa, hapakuwa na gari lolote
linalofanana na la kwake pale nje.
Alihaha na kutaka kuwauliza watu. Lakini
akakumbana na maneno.
“Park at owners risk.” Akaishiwa nguvu. Asia
naye akajifanya amepagawa lakini kupagawa
kwa Asia kulikuwa katika namna ya kidigitali.
Asia alipiga mayowe, sio mayowe ya kuita watu
hapana. Hayo ni ya kianalojia.
Asia alipiga mayowe ya kumita dereva taksi.
Alipofika akamweleza huku amepaniki.
Hakumweleza juu ya gari kuibiwa, hapana
akamuuliza swali jingine.
“Kutoka hapa hadi Tandika bei gani.”
“Elfu ishirini nakupeleka.”
Asia hakujibu kitu, akaingia garini na kufunga
milango.
Juma akabaki kuhaha peke yake.
Asia digitali, akatambaa na kutoweka upesi
kidigitali.
“Chezea Asia wewe.” Alipokuwa katika taksi
alikutana na ujumbe huo. Ujumbe kutoka kwa
Janeth Profesa maji ya shingo.
Asia akafanya tabasamu hafifu.
Uhakika wa kula na kutesa viwanja kwa mwezi
mzima ulikuwepo.
*****
Juma akiwa katika kitanda hospitalini akiwa hoi
kiafya analetewa taarifa ya kusikitisha lakini
inayotia matumaini kidogo.
Gari lilikuwa limepatikana. Taarifa haikuishia
hapo.
Gari lilikuwa ni sawa na kopo.
Tairi zote tano hadi ya spea, usukani, viti, taa,
na redio havikuwepo tena.
Ilichekesha kuiita gari.
Jumanne akazimia tena.
**ASIA DIGITALI….ameanza mambo…huu ni
mwanzo tu……ni aina ya chombezo ambalo lina
matukio ya kustaajabisha ndani yake……
Ni wewe sasa kustaajabika ama kuingia katika
hisia….
JIFUNZE: Msichana upo naye chumbani
anachati chati na simu madudu gani....KUWA
MAKINI
Itaendelea
 
SEHEMU YA TATU
*****
Juma akiwa katika kitanda hospitalini akiwa hoi
kiafya analetewa taarifa ya kusikitisha lakini
inayotia matumaini kidogo.
Gari lilikuwa limepatikana. Taarifa haikuishia
hapo.
Gari lilikuwa ni sawa na kopo.
Tairi zote tano hadi ya spea, usukani, viti, taa,
na redio havikuwepo tena.
Ilichekesha kuiita gari.
Jumanne akazimia tena.
****
Wakati Jumanne akiwa katika msihindano ya
kuzimia na kuzinduka huku akifikiria maisha
mapya bila kuwa na gari.
Wasichana watatu wenye maumbo ya tofauti
lakini wakishabihiana rangi walikuwa katika
meza mojawapo ya baa isiyokuwa maarufu sana
katikaji ya jiji.
Walikuwa wameichafua meza kwa vinywaji
mbalimbali huku nyama ya mbuzi ikiwafanyia
tabasamu la dhihaka.
Walikuwa wameishughulikia na sasa ilikuwa
imewakinai.
“Kwa hiyo hiyo laki mbili ya viti wanatoa lini.”
Asia aliuliza baada ya kumeza funda la bia baria
aina ya Kilimanjaro.
“Kesho jioni.” Mdada mnene kuliko wote
aliyeathiriwa na utumiaji wa vipodozi vikali
alijibu.
“Na yule ----- aliyechukua tairi mpya nd’o
kasema anatuma kwa Mpesa au.”
“Kama kawaida yake.” Sasa alijibu Janeth.
“Kuhusu redio?” swali jingine kutoka kwa Asia.
“Ipo nyumbani kwao Messi”
Asia alimgeuzia macho yule dada aliyeathiriwa
na vipodozi vikali.
“Husna Hakikisha huingii tamaa ukaiuza maana
hukawii.” Asia alimwambia yule dada ambaye
walimzoea kwa jina la Messi kutokana na
mambo yake mengi.
Husna akatabasamu kisha akasema, “Nina dili
jingine murua, redio kitu gani?” Husna alisema.
Asia akapaliwa na donge la bia.
“Dili gani?” aliuliza kwa shauku.
Husna badala ya kutoa jibu, alizama katika
mkoba akatoka na ‘business card’. Akamkabidhi
Asia.
“Ya nini hii we Mmanyema.” Aliuliza.
“Chukua namba hizo.”
Asia hakuuliza swali, akaichukua namba.
“Nimekutana naye maeneo ya benki. Sho me
me what u can do.”
Asia ahakujibu kitu. Alielewa Husna
anamaanisha nini.
Janeth alikuwa amejikita katika kuzishambulia
nyama huku Salome akiwa anafuatisha mashairi
ya wimbo wa taarabu uliokuwa unapigwa katika
baa hiyo.
Mavuno kwa siku hiyo yalikuwa mazuri sana.
*****
Dennis Kazinyingi alikuwa amejikita katika
kutazama filamu ya kusisimua nyumbani kwake,
mara uliingia ujumbe katika simu yake ya
mkononi. Simu ilikuwa katika kiti kilichokuwa
mbali naye.
“Neema….nipatie hiyo simu” alitoa amri.
Mtoto wake wa kike akaifuata na kumpatia.
Akaitazama namba iliyotuma ujumbe. Ilikuwa
mpya.
Akaufungua ule ujumbe.
Kabla hajaanza kuusoma mara ikaingia simu.
Nayo ilikuwa namba mpya.
Akaipokea kwa utulivu wa hali ya juu.
“Halow…..Deniss Kazikwesha hapa.”
Alijitambulisha kwa ujivuni wa hali ya juu.
“Samahani…aah shkamoo anko….sorry aaah
nimekosea namba pliiz, nilikuwa namtumia
mdogo wangu pesa nimetuma kwako.” Sauti
ililibembeleza sikio la Dennis, hakika ilikuwa
sauti ya kike isiyohitaji aina yoyote ya nakshi
kuipendezesha.
“Pesa? Saa ngapi?”
“Sasa hivi, yaani muda si mrefu kaka yangu.”
“Ok ngoja nitazame nitakupigia.”
Simu ikakatwa, ujumbe uliokuwa unafunguka
ulikuwa ujumbe unaoonyesha pesa imeingia.
Kutoka katika namba ile ile iliyompigia.
Shilingi laki mbili na nusu. Deniss akastaajabu
kidogo, hakuingiwa na roho yoyote ya tamaa.
Alikuwa ni mtu ambaye pesa kama ile si
chochote kwake.
Akanyanyua simu yake akaipiga namba
iliyompigia awali ikilalamika kukosea kutuma
pesa.
“Wewe nd’o Asia?”
“Ni mimi kaka nisaidie tafadhali.”
“nipe dakika moja tafadhali.”
Simu ikakatwa tena. Kama alivyoahidi baada ya
dakika moja alikuwa ametuma pesa kurudi kwa
mmiliki.
“Game limeanza…..” ilikuwa sauti ya Asia
akijisemea mwenyewe huku akimtazama Husna
ambaye alikuwa amelala tayari.
Asia alijipongeza kwa karata ya pata potea
aliyoweza kuicheza japo alikuwa na hofu ya
kuibiwa ama kudhulumiwa kiasi hicho cha pesa.
Asia alikosea kutuma pesa maksudi, mwanzoni
alitaka kutuma meseji na kujifanya kuwa
amekosea namba, mbinu hiyo akaiona ya
kianalojia sana.
Akataka kupiga na kujifanya amepiga bahati
mbaya akaiona mbinu hiyo pia batili. Akaamua
kuitumia mbinu ambayo matapeli wachache
wanawewza kuitumia.
Akatuma kiasi hicho cha pesa.
Sasa pesa ilikuwa imerudi.
Asia akamshukuru Mungu wake, kisha
akachukua simu yake akazipiga namba za
Dennis, bila shaka jambo hilo hata Deniss
alilingojea.
Nd’o maana akajitoa nje ya nyumba na kwenda
katika bustani yake ndogo kuingoja simu ile.
“Ubarikiwe kaka yangu, yaani ubarikiwe sana, ni
watu wachache sana wenye moyo kama wako,
utaongezewa mara mia ya ulichonifanyia. Ujue
ni ngumu sana kwa mtu ambaye hamfahamiani,
ama kweli umenipa nafasi nyingine ya kuamini
kuwa duniani bado kuna watu wana
utu…..naomba nisizungumze mengi asante sana
kaka yangu.” Alitiririka Asia, maneno kuntu
lakini sauti mahaba,
“Usijali Asia, mambo madogo hayo nadhani huu
ni mwanzo wa urafiki wetu, utajuaje maana ya
Mungu mengi.’ Deniss alirusha kete yake.
“Haya Deniss mi nikutakie usiku mwema.”
“Haya asante japo hata sijajua unaishi wapi.”
“Mimi nipo Dar, sema ni mzaliwa wa Mwanza na
mara kwa mara huwa nasafiri hapa na pale.
Lakini kwa kifupi nipo Dar.” Alijibu.
“Ok mimi nipo Dar pia lakini nyumbani Maswa
Shinyanga huko..ona sasa kumbe mimi na
wewe wa kanda ya ziwa.”
Asia akatoa cheko la kisasa, cheko
linalotangaza huba.
Walizungumza mengi. Usiku huu ukapita.
Asia akiwa hajamuuliza Deniss anafanya kazi
gani. Hakutaka kupaparuka alitaka kushambulia
taratibu lakini kwa umakini sana.
Siku iliyofuata, Asia akategemea kuwa Deniss
atamuanza. Haikuwa hivyo.
Asia akajihisi kuchanganyikiwa kwani aliona
dalili za kuupoteza ushindi zikimsogelea, na
hakuwa tayari kukubali kushindwa ilhali
alimuhakikishia Husna kuwa baada ya siku nne
mambo yatakuwa sawa.
Asia akaamua kucheza pata potea nyingine.
Binti huyu aliyeemrejesha Jumanne kutoka
katika kutembelea makalio mpaka kurejea
mtaani kwa kutumia miguu, sasa alikuwa
akicheza na namba nyingine asiyoifahamu.
Dennis. Anachokumbuka ni kwamba aliambiwa
Deniss hana njaa na anaonekana ana pesa za
kutosha.
Asia akisikia pesa, basi kuchanganyikiwa ni
halali yake. Hakuna alichopenda kama pesa.
Asia akarusha kombora jingine.
Akaingia katika simu yake kitu cha kwanza
akaandika ujumbe kisha akauhifadhi. Kitendo
kilichofua akamtumia Deniss pesa kiasi cha elfu
sitini za kitanzania. Kisha upesi akatuma ule
ujumbe.
“Habari. Naomba upokee kiasi hicho kama
shukrani zzangu za dhati kwa ukarimu
ulionifanyia jana. Wewe ni wa ajabu sana.
Ubarikiwe. Ninapotea hewani kwa dakika kadhaa
naingia katika ndege naruka hapo Kampala
mara moja. Nadhani kesho kutwa nitakuwa Dar.
Take care.”
Kisha akazima simu yake.
Hakuna aliyeshirikishwa wakati mambo haya
yanaendelea.
Deniss aliupokea ujumbe na pesa zile na kweli
alivyojaribu kupiga namba haikuwa inapatikana.
Akaghafirika, hakutaka kushukuriwa kwa namna
ile.
Alituma ujumbe lakini haukupokelewa na
baadaye ulirejesha majibu kuwa haukufanikiwa
kumfikia muhusika.
Deniss alikuwa katika mshangao wa hali ya juu,
ujasiri wa Asia ulimshangaza. Hatimaye
akapatwa na kile kitu ambacho Asia alikuwa
anakijenga kwa kutumia gharama hizo.
Deniss akatamani kumuona huyu mwanadada
ambaye kiuhalisia anaonyesha kuwa ni
mjasiriamali haswaa.
Ni hicho Asia alikuwa anakihitaji.
Deniss na pesa zake zote alikuwa hajawahi
kuipanda ndege, leo hii anatamkiwa na mtu
kuwa ‘eti naruka hapo Kampala mara moja’.
Ni mtu wa aina gani huyu?
Akatamani kuiona sura ya Asia.
Baada ya siku mbili.
Asia alikuwa anapatikana tena.
Sauti ya ujivuni na majigambo ya Deniss
haukuwepo tena kama awali, daraja alilokuwepo
akamuweka na Asia hapo hapo.
Hata kumwambia kuhusua kuonana alikuwa
anatetemeka. Lakini baada ya kumweleza Asia,
alipata jibu jepesi lakini linalokera.
“Ngoja nicheki na ratiba zangu basi.”
Deniss alingoja kwa masaa mawili hatimaye
akapokea ujumbe kutoka kwa Asia.
“Kesho saa moja hivi. Nitakuwa na kikao
maeneo ya Hotel Valentine Kariakoo, na
nitaimaliza siku katika hoteli hiyo kwani kuna
mgeni wangu amefikia hapo. Karibu kama
utaweza” Deniss akavuta pumzi. Akairudiua
tena meseji ile. Hakika ilikuwa imetumwa na
mwanamke jasiri sana, ambaye kukutana na
watu ni jambo la kawaida sana.
Asia aliutuma ujumbe ule baada ya kufanya
tathmini ya kina. Hakuhitaji kumchelewesha
Deniss iwapo atajiweka machinjioni mapema.
Baada ya ujumbe ule alijitoa muhanga tena,
akachukua chumba katika hoteli ile ambayo ina
hadhi ya kuitwa hoteli. Hakuwa na kikao
chochote bali alikua katika mawindo.
Alikuwa radhi kutumia pesa nyingi lakini mwisho
wa siku apate nyingi zaidi, si kwa kuua mtu bali
kuutumia mwili wake katika namna ya digitali.
Na katika dili hili hakutaka kuwashirikisha shoga
zake wengine, hata Husna alitakiwa kungojea
majibu tu.
SIKU ya siku ikafika, Asia kwa uvaaji wake
hakika usingeweka tofauti yao na mfanyakazi
yeyote katika benki ya dunia ama ikulu.
Siku iliyofuata majira ya saa moja jioni, Deniss
alikuwa bize kubadili nguo, mara avae jeans.
“Ah hapa ataniona muhuni.”
Mara avae suti.
“Ah hapa nitaonekana mshamba sana….usiku
huu na hili lisuti.”
Mara avae hiki mara kile.
Hatimaye akajituliza katika vazi la Jeans lakini
juu akitua shati la mikono mirefu lililomkaa
haswa.
Akaiendea gari yake na kuitia moto.
Safari ya kwenda kuonana na Asia.
Mtoto wa mjini.
Laiti kama angejua mtu anayekwenda kuonana
naye.
**ASIA DIGITALI anaiseti chaneli mpya iweze
kuwa halali yake…kumbuka ameshamgalagaza
JUMA…….sasa anafanya shambulizi jingine.,…je
DENISS naye anakamatika kiwepesi??
ITAENDELEA
 
SEHEMU YA NNE
Siku iliyofuata majira ya saa moja jioni, Deniss
alikuwa bize kubadili nguo, mara avae jeans.
“Ah hapa ataniona muhuni.”
Mara avae suti.
“Ah hapa nitaonekana mshamba sana….usiku
huu na hili lisuti.”
Mara avae hiki mara kile.
Hatimaye akajituliza katika vazi la Jeans lakini
juu akitua shati la mikono mirefu lililomkaa
haswa.
Akaiendea gari yake na kuitia moto.
Safari ya kwenda kuonana na Asia.
Mtoto wa mjini.
Laiti kama angejua mtu anayekwenda kuonana
naye.
Gari liliegeshwa katika maegesho ya magari
kwa kulipia.
Deniss kabla ya kushuka katika gari lake,
alichukua manukato makali na kujipulizia tena
kisha akajitazama katika kioo.
Alikuwa ametakata.
Akatabasamu peke yake, ndevu zilizounda
mfano wa ‘O’ kidevuni zikachanua. Akazidi
kuvutia kumtazama.
Kwa utulivu na umakini wa hali ya juu
akashusha mguu mmoja chini kisha ukafuata na
ule wa pili.
Akabofya kitufe katika rimoti iliyobeba funguo
za gari.
Yakatoka makelele kidogo yasiyokera masikioni.
Kisha akaanza kunyata akaufikia mlango,
walinzi wakamkaribisha kwa macho, kisha
wafanyakazi wa kike wakamlaki kwa bashasha.
Alifanania na mfalme.
Alipofika mapokezi alifuata maelekezo
aliyopewa na Asia.
Simu ikapigwa katika chumba alichokuwa Asia.
“Samahani dada kuna mgeni wako hapa.” Sauti
ya muhudumu ikatambaa.
Kimya kikatanda kisha akaitoa simu sikioni na
kuuliza, “Unaitwa nani? Na je ulikuwa na miadi
naye?” muhudumu alimuuliza deniss.
“Yah..nilikuwa na miadi naye…..naitwa
Deniss..mwambie tuli…” kabla hajamalizia
ngonjera zake muhudumu alikuwa amerejesha
simu sikioni. Akatoa majibu.
“Nenda chumba namba 18…” alimweleza
Deniss.
Japokuwa hakusema neno, Deniss alionyesha
macho ya kuonyesha kuhitaji kuelekezwa zaidi.
Muhudumu akaling’amua hilo.
Akamwita muhudumu mwingine akampa zoezi la
kumpeleka Deniss kwa Asia.
Chumba namba kumi na nane.
Deniss akaugonga mlango.
Zikapita kama dakika tatu.
“Ingia…” sauti kutoka ndani ikajibu.
Deniss akakishusha kitasa akaingia.
Marashi yake yakasahaulika yalikuwa
yananukiaje hapo awali.
Akakutana na marashi makali ya kisasa zaidi
yakinukia kutoka ndani.
Akapiga hatua mbili, akakutana na mwanadada
akiwa amejikita katika kompyuta mpakato
(laptop) yake.
Alitumia dakika nyingine moja, akanyanyua
kichwa. Akafanya tabasamu mwanana. Vishimo
vikajichora katika mashavu yake.
“Hi Denny!!” sauti nyembamba kama
inayojilazimisha kutoka lakini yenye kuliwaza na
kusahaulisha kama kuna shida duniani ilitoka
katika kinywa cha Asia.
Deniss akakodoa macho hakuwahi kuitwa kwa
maringo namna hiyo hata mkewe a ndoa
hakuwahi kumtolea sauti inayoliwaza namna ile.
“Hi!!” hatimaye alijibu.
“Karibu…karibu kitandani maana humu naona
kuna kiti kimoja tu. Pole lakini next time
nakukaribisha kwangu.” Alijieleza Asia.
Deniss akaketi.
Alichokosea ni kujionyesha kuwa mapema sana
ameshangazwa na urembo wa Asia. Binti huyu
alipata wasaa wa kumsoma.
Kosa kubwa sana wanalofanya wanaume wengi
katika mfumo wa analojia.
Maongezi yakaendelea kidogo, asia akaitazama
saa yake. Ilikuwa inakaribia saa mbili usiku.
Akaitwaa simu ya mezani. Akabofya namba
kadhaa.
“Nahitaji mtu wa jikoni tafadhali.”
Simu ikakatwa.
Baada ya dakika tano. Hodi ikasikika.
Kwa mara ya kwanza Asia akasimama, kwenda
kuufungua mlango ili muhudumu aweze kuingia.
Zilikuwa ni hatua sita tu lakini kila hatua
haikutakiwa kuchezewa.
Kinguo kifupi alichovaa kiliruhusu michirizi ya
utamu kuonekana nyuma ya goti, wepesi wake
ukaruhusu mitikisiko ya kawaida na nyongeza
ya mitikisiko ya kichina, mgongo nao haukuwa
nyuma.
Asia alikuwa kifaa cha nguvu.
Akaufungua mlango. Muhudumu akaingia.
“Msikilize huyu kaka.” Asia alitoa amri kwa
muhudumu.
Deniss akaanza kujiuma uma.
“Chipsi kuku….” Akaropoka.
“Mimi niletee mchemsho wa kuku.” Asia
akauendea mkoba akaamua kulipa mapema.
Akatoa kwa maksudi burungutu kubwa kiasi la
pesa alizokuwa amezikomba katika akaunti
yake.
Deniss akaziona.
“Mtoto hana njaa huyu.” Akabashiri.
Muhudumu alipoondoka, Deniss na Asia
wakaendelea na stori za hapa na pale.
Mara simu ya Asia ikaita.
Akaitoa, akausoma ujumbe.
“Mh msichana mrembo kama wewe unatumia
Nokia Obama ya tochi?” Deniss alitania.
Asia akafanya mfano wa tabasamu.
“Hebu simu yako…” akamuomba.
Deniss akamkabidhi, ilikuwa ni iPhone5.
“Umenunua bei gani hii?”
“Milioni moja na ushee.” Alijinadi Deniss.
Asia akatikisa kichwa kwa masikitiko.
“Deniss…..unajua kuwa kuna viwanja vinauzwa
kijijini hiyo pesa uliyonunulia simu. Mimi
niliyenunua kiwanja ambacho hakifutiki kabisa,
na wewe uliyenunua simu nani amewekeza?
Shtuka Deniss sisi ni vijana tunatakiwa kuwa na
mawazo ya miaka kadhaa mbele sio kuwaza leo
tu, chimbia pesa zako chini Deniss chimbia
pesa kizazi chako kizikute, mwanao hataikuta
hiyo sijui funifuni faivu sijui nini…simu
uliyozungumza na mimi ndo hii je? Ulibaini
tofauti?” asia alizungumza kwa hekima zote.
Maneno kuntu kama kawaida yake.
Yakamchoma Deniss akaanza kujichekesha
kisha akajaribu kujibu hoja.
Asia alikisubiri kipengele hiki.
“Lakini Asia, huwezi jua mimi nimenunua
kiwanja na bado nimenunua na simu, kama pesa
ipo na inabaki nd’o ninunue viwanja tuuu.”
Alijibu kwa kulalamika.
Asia akapata alichokuwa amehitaji.
“Kumbe ----- ana pesa chafu eeh…”
alimuwazia huku akimtazama usoni.
Jicho la Asia likamwathiri kisaiokolojia Deniss
lakini hakuweza kuanza.
Simu mfululizo zikawa zinaingia katika simu ya
Asia.
Kila simu ilikuwa ya kibiashara.
Hakika Asia alikuwa namba nyingine. Deniss
alikiri.
Majira ya saa tano usiku Deniss aliaga kuwa
anaondoka.
Asia akamsindikiza mpaka mapokezi,
wakaagana.
Deniss akatoweka bila kufanya lolote na Asia,
alikiri kimoyomoyo kuwa alimuogopa sana binti
yule mjasiriamali.
Siku iliyofuata mawasiliano yaliendelea kama
kawaida.
Baada ya kutumia pesa nyingi kujaribu
kumuweka sawa Deniss sasa Asia akaamua
kulipua bomu lake.
Deniss akiwa anamuamini sana Asia kama rafiki
wa karibu tena mshauri mzuri.
Ikafikia siku ambayo kamwe haitasahaulika
katika kumbukumbu za Deniss.
Simu kutoka kwa Asia ilimkurupua kutoka katika
kiti cha ofisi yake.
“Asia ametoka Msumbiji?” alijiuliza.
“Nambie.”
“Ukwapi Denny.”
“Ofisini vipi umerudi bongo?”
“Yeah nimerejea. Upo bize sana nahitaji
kukuona.”
“Hapana sio bize sana.”
“Nipo huku Royal Temeke..kule pa siku ile.”
Dennis akaelewa akaingia garini akaelekea
alipokuwa Asia.
Akamkuta chumbani akiwa mnyonge sana.
Tofauti kabisa na siku nyingine.
Vazi lake jepesi la kitambaa laini liliyaruhusu
yale mapaja yaliyompagawisha Jumanne na
hatimaye kulizwa gari yalikuwa nje.
Alikuwa amejilaza kihasara hasara haswaa.
Deniss alipoingia.
Asia hakushtuka akajiweka vyema kitandani
huku akijifanya kujisitiri mapaja yake.
Deniss alitegemea Asia atasema jambo lolote,
hakusema.
Akamsogelea pale kitandani.
Akamgusa.
“Asia…we Asia.”
Asia hakugeuka, Deniss akaamua kumgeuza.
Lahaula. Asia likuwa ameuchafua uso wake kwa
machozi.
Mrembo alikuwa analia.
Kilio cha kimya kimya.
“Asia….kuna nini…nani Asia kakufanya hivi.”
Deniss akataharuki.
“Niache Denny, niliumbiwa shida hizi. Niache
tu.” Alizungumza huku analia.
Deniss hakukubali kumwacha. Akazidi kuuliza.
Ndipo Asia alipohamia digitali na kuendelea
kucheza na akili ya Denny.
“Denny, mume wangu…mume wangu
ananinyanyasa sana, mie wa kuwa naamua
kulala hotelini kisa kitanda cha nyumbani
kichungu.”
“Asia umeolewa?”
“Ndio. Lakini ni bure…bure kabisa Denny.”
“Nini kwani?”
“Ubunge wake ananiletea mimi hadi
nyumbani….ubunge wake unanifanya mimi
mtumwa. Ameona hiyo haitoshi kisa dini
inaruhusu kaniongezea mke wa pili.” Asia
alisikitisha na kama angekuwa muigizaji, wengi
wangekuwa wanalia akiigiza vipande kama hivi.
Denny akahamaki, “kumbe Asia mke wa kigogo,
ndo maana ana pesa huyu mtoto……dah…..watu
wengine hawapendi shobo hata siku moja
hajanambia.”
Denny akajaribu kumsihi sana asilie, Asia
akazidi kulia.
“Denny asante kwa kuja katika maisha yangu,
japokuwa ni karibia mwezi mmoja tu tangu
tufahamiane nimejifunza mengi kwako. Na
ukiwa kama rafiki mwema nimeamua
kukuzawadia kitu kama utakuwa tayari.”
“Asante Asia hata mimi nafurahi kuwa rafiki
yako. Nitafurahi kupata zawadi kutoka kwako”
Denny alijibu huku mawazo yake yakiwaza
ngono tu.
“Zawadi zipo za aina mbili, zote nitakupa.”
Alisema Asia kisha akasita, “Zawadi ya kwanza
itakuwa ni swali, na zawadi ya pili itaanza kabla
ya zawadi ya kwanza.” Aliongea Asia huku
akiwa ameremba sauti yake.
“Denny….nimeamua kujitolea pesa yangu milioni
thelathini kwa ajili yako.”
“Kivipi?” aliuliza Denny.
“Nilikwambia huwa kamwe sinunui magari ya bei
ghari wala simu. Nilikwambiaje?”
“Unachimbia chini..” alimalizia Denny.
“Ok..unapafahamu Bahari Beach..”
“Napafahamu kwa wazito kule….”
“Nataka nawe uwe mzito lakini kwa kujibu swali
langu.”
“Niulize tu Asia.”
“Nitatoa katika akaunti yangu pesa taslimu
milioni thelathini….nawe utatakiwa kufanya kitu
kidogo tu milioni kumi….ifike milioni arobaini.”
“Ehee.”
“Kisha nakununulia kiwanja kikubwa pande zile,
na ukionyesha uhai katika kujenga nitachota
pesa nyingine nitakusaidia ujenzi….pesa
inafukiwa chini mpenzi wangu….sio katika
iPhone sijui nini” Asia alisema kwa maringo,
walau aliweza kutabasamu.
“Nakufanyia haya yote kwa ukarimu
ulionionesha kabla na baada ya kujuana.”
“Nilisema sihitaji jibu kwa sasa maana
patakuwa na mjadala mrefu, kwa kuwa
umezikubali zawadi zote, Denny ipokee zawadi
yangu hii ya pili…”
Asia alimrukia Denny akamkumbatia, akajivika
uso usiokuwa na soni hata kidogo.
Akamnong’oneza Denny, “Ukiamua kuniona mimi
Malaya sawa Denny lakini naomba niwe
wazi…..Denny unanitesa…unanitesa Denny….”
Kijana hakukumbuka kama anayo pete ya ndoa,
hakukumbuka kama anao watoto nyumbani.
Denny akachukua mkondo wa wanaume wengi,
kuwa watumwa wa ngoni linapokuja suala la
ana kwa ana na msichana.
Akamkumbatia Asia.
Ulikuwa mchezo wa dakika zisizopungua
hamsini, sakafu ilihangaishwa, kitanda
kiliteseka, bafu nalo liliona kilichotokea.
Deniss hakuwahi kufanyiwa manjonjo hayo na
mkewe wa ndoa.
Walipotoka bafuni. Deniss akakumbuka kujibu
swali.
“Nipo tayari kwa zawadi ya kwanza, nami
nitakupa zawadi pia mpenzi.”
“Ok siku ukiipata hiyo pesa utanambia…” Asia
akauliza swali la mitego.
“Sio kuipata ipo tayari..yaani siku ukiwa na
nafasi tu my dear.” Deniss akajileta kwenye
kumi na nane. Asia akachekelea maana hakuna
mchezo alioupenda kama mchezo ndani ya
kumi na nane.
“Basi tufanye kesho kutwa maana kesho
nakimbia Mbeya…..narudi keshokutwa mchana…”
alidanganya Asia ili aweze kujipanga kuchuma
baada ya kupanda mwezi mzima.
***TEGO linakaribia kunasa……..nini kitajiri???
ITAENDELEA…..
 
SEHEMU YA TANO
Kijana hakukumbuka kama anayo pete ya ndoa,
hakukumbuka kama anao watoto nyumbani.
Denny akachukua mkondo wa wanaume wengi,
kuwa watumwa wa ngoni linapokuja suala la ana
kwa ana na msichana.
Akamkumbatia Asia.
Ulikuwa mchezo wa dakika zisizopungua hamsini,
sakafu ilihangaishwa, kitanda kiliteseka, bafu
nalo liliona kilichotokea.
Deniss hakuwahi kufanyiwa manjonjo hayo na
mkewe wa ndoa.
Walipotoka bafuni. Deniss akakumbuka kujibu
swali.
“Nipo tayari kwa zawadi ya kwanza, nami
nitakupa zawadi pia mpenzi.”
“Ok siku ukiipata hiyo pesa utanambia…” Asia
akauliza swali la mitego.
“Sio kuipata ipo tayari..yaani siku ukiwa na nafasi
tu my dear.” Deniss akajileta kwenye kumi na
nane. Asia akachekelea maana hakuna mchezo
alioupenda kama mchezo ndani ya kumi na nane.
“Basi tufanye kesho kutwa maana kesho
nakimbia Mbeya…..narudi keshokutwa mchana…”
alidanganya Asia ili aweze kujipanga kuchuma
baada ya kupanda mwezi mzima.
****
DENISS aliondoka kurejea nyumbani akiwa na
furaha ya aina yake. Hakuwa na moyo wowote
wa majuto juu ya kitendo chake cha kufanya
mapenzi na Asia wakati yu katika ndoa.
Alikuwa akiwaza kuwa ameweza kumzunguka
mbunge fulani na kulala na mkewe. Nafasi ya
kipekee kabisa.
Jambo jingine lililompagawisha ni uamuzi wa
kushangaza wa Asia wa kumnunulia kiwanja na
ikiwezekana kumsaidia katika ujenzi.
“Wabunge wetu wana pesa hawa pumbavu zao…”
alitokwa na kauli hiyo Deniss huku akiwa makini
na barabara.
Akiwa katika kumuwazia Asia mara ukaingia
ujumbe katika simu yake, akasubiri alipoyafikia
mataa ya kuzuia magari, akaichukua simu.
Alikuwa ni Asia ametuma ujumbe.
“I have never been fuc*ed like this. Thanx.”
Ujumbe ule mfupi, Deniss aliurudia mara
mbilimbili, hakuamini hizo sifa alikuwa anapewa
yeye.
Alikuwa amefanikiwa kumteka Asia kwa penzi la
muda mfupi tu.
“Hapa huyu mbunge asahau kabisa kama ana
mke. Na mimi ndo sitoki hapa.” Aliongea kwa
sauti ya juu, tabasamu likiutawala vyema uso
wake.
Deniss alitamani sana kuendelea kuwa na ujumbe
ule katika simu yake, lakini tatizo alikuwa na
mke. Akalazimika kuufuta huku moyo ukimuuma.
****
HATIMAYE baada ya mwezi mzima wa
kujtengana na rafiki zake Asia alihitisha kikao
cha dharula. Japo awali alitaka kuyamaliza
mambo haya kimya kimya, lakini akajikuta
harakati zake akimuhitaji mtoto wa kikurya
Janeth, na wenzake wawili akiwemo Messi
ambaye ni mtaalamu wa mipango.
“Jamani nimekuwa kimya mwezi mzima, najua
mmechonga sana ooh Asia anaringa, sijui nini……
hayaaishi midomoni nyie watoto kama Janeth
ulivyokuwa mpana kama magagulo ya wasomali
sikuezi.” Akazungumza Asia kwa nyodo, kimya
kikatanda kisha kama wameambizana akaanza
kucheka Janeth, Messi ambaye jina lake halisi ni
Husna akafuatia, mara Asia, mwishowe meza
nzima wakawa wanacheka.
“Imetosha sasa.” Aliwakatisha Asia.
“Nimeleta kazi mezani.” Alisita akagida maji
kisha akaendelea, “Messi unamkumbuka jamaa
uliyekutana naye benki mwezi ule.”
“Jamaa gani?” Husna akauliza.
“Yule ambaye ulinipa namba ya simu.”
“Eeeh nimemkumbuka vipi kwani?”
“Mambo yameiva ni sisi tu kupakua.” Asia
aliwashirikisha wote kwa pamoja.
Akawasikiliza anasema nini.
Akausikiliza ushauri wa Husna, haukuwa ushauri
mzuri sana, ushauri wa kumuibia Deniss kadi ya
benki na kwenda kuvuta pesa.
“Hapana Messi hiyo mbaya…mi nataka ile ya
kisasa mbona hiyo imekaa kinjaa njaa sana.
Kama tunachuna mwanachuo banaaa.” Aligoma
Asia.
Janeth alikuwa kama hawasikilizi vile, lakini
aliponyan yua kinywa na kusema neno mambo
yakaonekana kua sawa. Akakubaliana na Janeth.
Wakaagana huku wakiisubiri siku ya siku.
Milioni kumi.
Hazikuwa pesa ndogo. Isitoshe Asia hakuwa
ametumia zaidi ya laki tano katika kufanikisha
hili.
SIKU IKAWADIA.
ASIA alikuwa ameikalia vyema gari aina ya
Harrier, alikuwa anaikanyaga vyema kana
kwamba ni ya kwake.
Ndani ya gari aikuwa yeye na Deniss, siku hiyo
Asia aligoma kutumia gari ya Deniss alihitaji naye
kumuendesha.
“Mapenzi ya kihindi haya…” alijisemea Deniss
wakati akikubaliana na Asia.
“Au umechukia baby.” Asia alibembeleza
kiwiziwizi.
“Hamna jamani mbona sawa tu…” alijibu Deniss.
Sasa alikuwa katika gari la Asia, ilikuwa ni saa
sita mchana.
“Tuanzie kwangu ama kwako.” Asia aliuliza ka
kuridhika akia anaikanyaga gari kwa umakini.
“Mh. Kwani we unachukua wapi?”
“Standard chattered Posta kule.” Alijibu Asia.
“Mimi Crdb yoyote tu…lakini huwa napendelea ya
kule mtaa wa Lumumba. Hakuna foleni na
uhakika wa pesa ndefu upo.”
“Pesa ndefu? Kwako pesa ndefu ni ipi? Hao
CRDB walioshindwa kunipa ki milioni hamsini kwa
wakati unasema wanatoa pesa ndefu? Benki za
kibongo ushenzi tu…walinifanya nionekane
mwongo mbele za watu ” alijibu Asia ka
kuonyesha kukereka.
Deniss, kimya aliogopa kujibu kitu maana kwake
pesa ndefu alihesabia hiyo milioni kumi, kumbe
mwenzake aliwahi kukosa ki-milioni hamsini.
Ipi pesa ndefu sasa?.
Deniss hakujua kama mfumo wa digitali hauhitaji
kupandisha antenna juu ili kuondoa chenga
chenga. Hakujua kama ni kuseti kidogo tu
king’amuzi na mambo yanaenda sawa.
Deniss naye alikuwa analojia.
Wakalifikia ghorofa kubwa ambalo chini kuna
benki ya Standard chattered…….
“Tushuke basi si unajua kuna kukabwa……’ Asia
akamsihi Deniss. Wakashuka.
Ðeniss aliposhuka, asia akamfuata na
kumnong’oneza kwa tahadhari.
“Jiweke mbali kidogo si unajua tena wavimba
macho, nisije nikatolewa magazetini nikaivunja
ndoa.” Maneno yale yakamtia wivu mkali Deniss,
Asia alihitaji sana hali ile.
Akazama ndani ya benki Asia, akamwacha Deniss
amekaa mbali kabisa akiwa hana habari na yule
binti.
Asia akajaza karatasi kadha wa kadha.
Deniss akiwa amezubaa katika gazeti mara
ukaingia ujumbe.
“Njoo unisaidie.’ Mtumaji alikuwa Asia. Deniss
akaangaza huku na kule akamwona, akasimama
na kumfuata.
“Nisaidie kujaza” Asia alisema kwa sauti ya
kimahaba.
Deniss akaanza kujaza.
“Nitolee 45 kabisa. Nimekumbuka nina safari
juma lijalo.” Asia alimpa maelekezo Dennis,
Deniss akajaza milioni arobaini na tano kutoa.
Asia akachukua ile karatasi akaenda dirishani.
Akafanya tukio la sekunde kadhaa.
Akabadili karatasi.
Akamkabidhi yule dada aliyekuwa dirishani.
Akamkabidhi na pesa kiasi cha shilingi elfu
hamsini.
Alikuwa anaweka katika akaunti ya Janeth.
Aliporudishiwa ‘paying slip’ akafungua koba lake
kwa mbwembwe akaweka ndani.
Akatoa karatasi nyingine tena akamkabidhi yule
muhudumu.
Akaweka elfu thelathini katika akaunti ya Husna.
Nayo kama ile ya awali akatia karatasi katika
koba lake.
Mchezo ulienda kama alivyotaka.
Akasogea pembeni akazugazuga kisha
akaondoka.
“Twende zetu afisa.” Alimshtua Deniss.
Wakatokomea.
Walipoifikia zamu ya Deniss kutoa pesa ikazuka
ile dhana ya wanaume wengi kupenda sifa mbele
ya msichana hasahasa akiwa mrembo. Sifa hizi
za kijinga huwatokea wanaume wengi puani,
yaani hupenda kujionyesha kuwa wana pesa
nyingi, kujidai kuwa hawajali hata pesa zao
zikitumika hovyo.
Lakini mwisho wa siku akilala kitandani
anasema. NINGEJUA.
Pepo hilo likamkaba Deniss pia.
Akataka kujiweka daraja moja na Asia.
“Na mimi njoo unisaidie.” Alijifanya kudeka.
Asia ambaye katika filamu hii ni mke wa mbunge,
akarembua jicho. Kisha akachukua kalamu.
Alipofikia kiwango cha kutoa.
“Nitolee kumi na tano kuna jambo nataka kufanya
na hiyo tano.”
Asia akacheka kidogo kisha akamjazia, moyoni
akafurahia dau kupanda.
Deniss akapanga foleni, baada ya nusu saa
akarejea akia na bahasha yenye chapa ‘CRDB
BANK’
Ujazo wake ulikuwa wa kulidhisha.
Asia akarukwa na mate mdomoni, lakini kama
alivyoanza taratibu alitaka kumaliza hivyohivyo.
Wakaondoka.
“Yaani pesa bwana hicho hapo kimilioni kumi na
tano eti….duuh.” alisema Asia huku akiingalia ile
bahasha kwa dharau kiasi.
Deniss hakujibu.
Akiwa anaendesha mara simu ikaita.
Akaegesha gari pembeni kidogo. Akapokea.
Ilikuwa simu ya kuigiza kutoka kwa mmiliki wa
kiwanja ambacho walikuwa wanaenda kununua.
“Wakati mwingine nachukia kufanya biashara na
wabongo.”
“Kuna nini?”
“Eti hadi saa kumi na mbili, sijui kuna mambo
gani gani aaargh. ***” alighafirika.
Deniss akaanza kushusha chini kihulka. Alifanya
vile kama anafanya kwa mpenzi wake wa siku
nyingi.
“Baby…nahitaji kupumzika pliiz…..we have to go
somewhere..we unadhani sasa hivi saa nane hadi
ifike saa kumi na mbili ni leo…”
Kauli hiyo ikamfurahisha Denny, akaikumbuka ile
siku alipoonja tunda la mke wa mbunge.
Kama alivyotaka Asia baada ya saa zima
walikuwa ndani ya chumba wakila raha.
Deniss kichwani akiamini kuwa ndani ya kile
chumba kuna milioni hamsiniAsia ndiye aliyeijua
hesabu sahihi.
Asia Digitali akachezesha kiuno kwa umakini
huku akicheza na muda, alimpa Deniss kitu roho
inapenda akamzidishia makusudi viuno ili afikie
lengo.
Lengo la kumchosha.
Kweli akachoka mwishowe akalala.
Asia naye akazuga kulala.
Akamshtua Denis saa kumi na mbili na nusu.
Walikuwa wamechelewa.
Wakajiandaa upesi wakatoweka.
Asia akiwa ameukamata usukani.
Wakapita hapa na pale.
Foleni ikawa kikwazo Asia akaamua kupitia njia
za panya, ni huku walipokutana na dhahama.
Wakakutana na gari nyingine, hakuna aliyetaka
kumpisha mwenzake.
Kigiza kile kila mmoja akammulika mwenzake.
Asia akaghafilika. Deniss akagundua hilo.
Ama kwa hakika ukitaka mwanaume apigane basi
mdharau mbele ya msichana.
Deniss akashuka mbiombio kuwakabili wale
walioziba njia.
Asia naye akashuka.
Akakutana na kimya cha hatari.
Mara akazolewa mtama. Akatua chini kama
mzigo alipojaribu kupiga kelele alikutana na
mdomo wa bunduki.
Kidogo Asia acheke kwa jinsi Deniss alivyokuwa
anatetemeka lakini akaumbuka kuwa alikuwa
katika kuigiza filamu.
Hakutakiwa kucheka, akaendelea kulia.
Mmoja kati ya watekaji akaiendea gari. Badala
ya kupekua akaiwasha. Ikaunguruma kisha
ikageuzwa na kupotea.
Deniss alikuwa amejikojolea tayari.
Watekaji walificha nyuso zao.
Wawili walikuwa wanaume. Mmoja mwanamke.
“Ole wako usimame.” Alipewa onyo Deniss
aliyekuwa amelala chini.
Asia kitambo alikuwa amejifanya kuzimia.
Alikuwa ametulia tuli.
Baada ya dakika kumi eneo lile lisilokuwa na nji
za magari walikuwepo watu wawili, Asia na
Deniss.
Deniss alikuwa amepagawa.
Lazima apagae, hakutegemea shambulizi hili,
halafu mbaya zaidi wameondoka na gari la Asia
na pesa zote......kizungumkuti
Alijaribu kumwamsha Asia, hakuamka. Akamtikisa
lakini hali ikawa vile vile.
Deniss akaamua kujijali kwanza yeye, Asia
baadaye, akatimua mbio kali.
Kuna kichwa kilikuwa kimejibanza mahali
kikisubiri jambo hilo litokee.
“Amka wewe ----- kasepa.” Sauti tulivu ya
Janeth maji ya shingo.
Asia akainuka, akasahau viatu, pekupeku
akajikongoja.
Wakaikuta taksi inawasubiri.
Wakatokomea.
“Janeth wewe mbayaaaa.” Asia alimsifu mkurya
yule.
***KI-DIGITALI ….mtu anasuka mwezi mzima…
lakini malipo yake sasa…….usiombe kukutana
naye…….utajuta kuzaliwa…..
ITAENDELEA…
 
SEHEMU YA SITA
Deniss alikuwa amejikojolea tayari.
Watekaji walificha nyuso zao.
Wawili walikuwa wanaume. Mmoja mwanamke.
“Ole wako usimame.” Alipewa onyo Deniss
aliyekuwa amelala chini.
Asia kitambo alikuwa amejifanya kuzimia. Alikuwa
ametulia tuli.
Baada ya dakika kumi eneo lile lisilokuwa na nji za
magari walikuwepo watu wawili, Asia na Deniss.
Deniss alikuwa amepagawa.
Alijaribu kumwamsha Asia, hakuamka. Akamtikisa
lakini hali ikawa vile vile.
Deniss akaamua kujijali kwanza yeye, Asia
baadaye, akatimua mbio kali.
Kuna kichwa kilikuwa kimejibanza mahali kikisubiri
jambo hilo litokee.
“Amka wewe ----- kasepa.” Sauti tulivu ya
Janeth maji ya shingo.
Asia akainuka, akasahau viatu, pekupeku
akajikongoja.
Wakaikuta taksi inawasubiri.
Wakatokomea.
“Janeth wewe mbayaaaa.” Asia alimsifu mkurya
yule.
****
Wakati Deniss anachanja mbuga kuitafuta
barabara aweze kupata daladala ya kumrudisha
nyumbani.
Asia alikuwa anasikilizia ladha mbaya ya vidonge
vya majira alivyotoka kunywa muda mfupi baada
ya kuzinduka kutoka katika kuzimia feki.
“Bwege asije akawa amenitia mimba mtoto wa
Razak mie.” Asia alibetua midomo na kuyasema
hayo.
Janeth hakuweza kumsikia alikuwa amejikita
katika kutafuta ni namna gani simu aliyoikamata
mkononi aina ya iPhone5 inafunguliwa aweze
kutoa kadi ya Deniss na kuweka ya kwake.
“Mh Janeth ushajimilikisha mtoto weee.”
“Si nilikwambiaga nataka iPhone si ndo hii au?
Watanikomaje?” alijibu bila wasiwasi kana kwamba
ni yeye aliyefanikisha Deniss kujiingiza mkenge.
Asia hakuwa na neno, na roho ya kwanini
hakubarikiwa nayo. Akabariki uamuzi wa Janeth
kujimilikisha simu ya aliyekuwa mchumba feki wa
Asia, bwana Deniss.
****
Milioni kumi na tano mezani.
Wale wanaume walioambatana na Janeth kwa ajili
ya kuwateka akina Asia na kuondoka na gari,
hawakutambua kama dili lilikua kubwa kiasi kile.
Walipewa shilingi laki mbili wagawane.
Habari yao ikaishia hapo.
Mashujaa watatu wa kike walikuwa wanazikodolea
macho pesa zile ambazo baada ya kuguswa na
yule dada wa benki aliyemkabidhi Deniss basi
hazikuwa zimeguswa tena. Harufu yake ilisambaa
na kuvutia kuendelea kuinusa.
“Milioni kumi na tano hizo” Asia aliuvunja ukimya.
“Hapa sasa tunatakiwa kumiliki gari yetu…..”
Husna alidakia.
“Na nyumba kubwa ya kupanga….” Aliongezea
Janeth.
“Mh…mna mahesabu nyie wadada……” Asia
alichombeza kisha akacheka kidogo. Na wao
wakacheka!!
Akamtazama Janeth kisha akamtazama Husna.
Akafumba macho kidogo, akawafikiria jinsi
walivyokuwa wa muhimu kwake wakati anaingia
jijini Dar es salaam.
Hakuwa na hili wala lile, japo walimwingiza katika
biashara ya uchangudoa ambayo Mwanza
alifanyishwa bila malipo.
Hakika, hakuwa analipwa, kila mwanaume alijipitia
kwa kumpa ahadi kedekede za kumtoa kimaisha.
Asia alikuwa ni msanii wa maigizo anayechipukia.
Kwa kuligundua hilo kila mdau wa mambo ya
sanaa aliyesikiliza kilio cha Asia aliahidi
kumkutanisha na wasanii wakubwa na
wanaofahamika Tanzania.
Huyu aliwambia ana namba ya JB, huyu akadai
Johari wamesoma naye, mara mwingine akadai
kuwa kama Kanumba asingekufa basi walikuwa
wanakaribia kufanya naye filamu ya kimataifa.
Asia akadanganyika, akatekenywa akatekenyeka.
Mwisho wakamvua vinguo vyake vya kishamba na
kufanya yao kisha sanaa ya maigizo inaishia hapo.
Wale wanaojuana na JB anakutana nao wakipiga
debe katika magari ya kwenda Buhongwa na
Nyegezi, na wale waliosoma na Johari anakutana
nao vijiweni wakivuta bangi.
Alikuwa amedanganywa.
Jambo hili lilimtesa sana.
Aliyafanya yote haya ya kuipigania sanaa ya
maigizo na kuamini kuwa itamtoa kwa sababu
akimtazama mama yake mzazi alikuwa hajiwezi
kiuchumi na kama hiyo haitoshi alikuwa mgonjwa
wa mara kwa mara.
Asia muhitimu wa darasa la saba katika shule ya
msingi Nyegezi, kisha hakupata bahati ya
kuchaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha
kwanza. Akapiga moyo konde kuwa sanaa ya
maigizo itamwokoa yeye na mama yake.
Sanaa ikamfanya kuwa changudoa wa mkopo,
asiyelipwa zaidi ya kupewa ahadi kedekede.
Mwishowe ahadi hazitimizwi na mwili unatumika.
Wasanii wa maigizo wapo Dar….Asia akaamua
kutoroka na kukimbilia Dar.
Ni huku alipokutana na mshikemshike wa
kuitamani pepo kisha ufufukie Mwanza.
Jasho, hofu, wasiwasi, mateso na chuki nichukie.
Vyote vikawa vyake. Mara leo kikundi hiki cha
sanaa, kesho kile mara leo alale kwa msanii huyu
mchanga mara kesho afukuzwe.
Hatimaye akakutana na Janeth. Walikutana katika
kikundi kimoja cha sanaa, Janeth alikuwa
amemsindikiza rafiki yake ambaye ni muigizaji.
Wakajikuta katika mazungumzo na Asia.
Mwishowe akaenda kulala kwa Janeth siku hiyo.
Huu ukawa mwisho wa sanaa ya maigizo,
hatimaye wakaingia katika sanaa ya mapenzi ya
wiziwizi. Ni huku alipomkuta Husna Messi
mtaalamu wa mipango!! Mwanadada anayeupinga
uafruika wake kwa nguvu na kuusaka uzungu kwa
kutumia mikorogo!!
.
Asia alikuwa na faida mbili katika tasnia hii,
kwanza alikuwa ameuona mfumo wa analojia
unavyotesa, na hakika ulimtesa sana Mwanza.
Maongezi mengi kisha mwili wake unatumiwa.
Akaamua kuubadilisha, ni yeye alitakiwa kuongea
na kutenda sana kisha achume pesa. Hakuwa na
haja na mwili wa mwanaume, miili hiyo
ilimnyanyasa bila faida!!
Pili alikuwa muigizaji mbunifu. Hili lilimsaidia kuwa
tofauti na wenzake. Alikuwa ni mwepesi wa
kuunda maneno, mwepesi wa kutokwa machozi na
mwepesi kujifanya hamu zimempanda amesisimka
na anataka huduma.
Asia akawa Asia digitali.
baada ya kumbukumbu hizo za dakika kadhaa juu
ya watu waliomzunguka Asia Akakiri kimya kimya
kuwa wawili hawa walikuwa msaada mkubwa sana
kwake, japo si kihalali.
“Mimi nahitaji milioni nne tu….nimtumie mama
nyumbani.” Hatimaye Asia alisema neno baada ya
kuwa amefumbua macho.
Hakuna aliyepinga.
“Halafu Asia….hebu ngoja nikiri kwamba wewe ni
mtaalamu. Naomba unisaidie jambo moja. Nahitaji
pesa ya mafuta ya gari letu.” Husna alizungumza.
“Kivipi?”
“Kuna kitoto changu kimoja huko Mwanza kina
pesa pesa ni kianafunzi pale SAUT…..nahitaji
kwenda kuchuma.”
Asia akacheka sana na kujisikia fahari kukubalika
namna ile.
“Kwa hiyo hapo unataka nini labda Messi.”
“Kadi yake ya benki niweze kuchomoa walau
milioni hata mbili tu mi inanitosha.” Aliitaja hiyo
pesa kama yak wake vile!!
Asia akapiga kimya muda mrefu kidogo, kisha
akazinduka.
“Huyo mwepesi, dozi yake hata buku tano haifiki
na anatoa utakacho.” Alijibu.
“Kivipi?”
“Ngoja nikaifanyie majaribio hiyo njia yako kwa
yule K-Matelefoni halafu nitakuambia cha
kufanya.” Aliufunga mjadala Asia, Husna akangoja
majibu.
Pesa ikahesabiwa Asia akachukua milioni tano,
nne ya kutuma nyumbani na moja ya kuhifadhi
katika amana yake.
Milioni kumi ikatulia kwa mdada wa kikurya,
mrembo usoni katili moyoni. Janeth. Kila mmoja
alimuamini.
Biashara bora kupita zote tangu wahamie digitali.
Wale wa analojia waliendelea kutanua mapaja kwa
shilingi elfu tano kwa mshindo mmoja!! Utatanua
mara ngapi hadi kufikia mahesabu ya Asia??
Itakugharimu maisha yako yote!!
****
Kelvin aliiona siku hii kuwa ya kipekee sana
kwake.
Tangu afumaniwe na Asia akiwa na msichana
mwingine hakutegemea kama binti huyu anaweza
kumtafuta kwenye simu tena.
Mara ya mwisho walionana mtaa wa Agrey jijini
Dar.
Asia alimsalimia Kelvin kijuu juu na hakutaka
kumsikiliza zaidi maana ubaya aliomfanyia
Mwanza, licha ya Asia kumpenda haukuwa wa
kusameheka.
Mara ya pili Asia alimwona Kelvin katika luninga,
alikuwa akilinadi duka lake la simu ilikuwa siku ya
maonyesho ya sabasaba.
Hakuwa Kelvin tena bali K-matelefoni.
Asia akapuuzia. Bado alikuwa na uchungu!!
Sasa Asia si yule wa analojia tena. Yu katika
digitali na anataka kukutana na Kelvin.
Lengo si mapenzi kama zamani bali mapenzi ya
kidigitali.
Kelvin akashtuka sana kumsikia Asia.
Licha ya kwamba siku nyingi sana zilipita, lakini
Kelvin aliikumbuka ile ladha murua ya kiuno cha
Asia katika kitanda cha futi yoyote ile, na hata
miguno yake sakafuni pia ilimkumbusha mbali.
Akatamanika.
Asia akanung’unika katika simu kisha
akamkumbusha Kelvin kuwa siku hiyo ilikuwa
tarehe kumi na nne, siku ya wapendanao.
Kelvin akashtuka kwa furaha, kumbe Asia bado
anampenda.
“Mtoto nilimkuna vizuri hawezi kunisahau yule.
Nilijua tu atarukaruka kwa mahanithi wa hapa
mjini kisha atarejea kwangu.” K alikitapa kwa
rafiki zake.
“Vipi kuhusu Amina sasa akigundua.” Aliulizwa.
“Amina ni Amina na Asia anabaki kuwa Asia,
nilipotoka na Asia ni mbali jamani niacheni.”
Kelvin alikuwa amepagawa.
Hatimaye wakapanga kuwa pamoja na Asia siku
hiyo ya wapendanao. Amina akapigwa kalenda!!
“Lakini uelewe kuwa nafanya kwa kuwa
nakupenda na nilikupenda sana, kwa sasa nina
mchumba tunafanya kuiba usije ukanogewa.” Asia
alimtumia ujumbe wa kumremba Kelvin.
Kijana akaingia katika mtego.
Sasa tatu usiku. Asia alikuwa yu na kanga moja
pekee katika kikubwa cha kifahari katika hoteli
yenye hadhi ya juu jijini.
Kelvin mapapara alikuwa anahaha, mara
amtekenye mara vidole visafiri katika masikio.
Kelvin alijaribu kuonyesha ujanja ambao kwa Asia
yalikuwa marudio tu.
“Ngoja nikaoge kwanza mpenzi wangu, mimi ni
wako jamani. Haraka ya nini.” Asia akachombeza
kisha akazama bafuni, akarejea baada ya dakika
chache.
“Na wewe kaoge.” Asia alimwambia K.
Kosa alilolifanya K ni kukubali kwenda kuoga.
Asia upesi akazama katika mkoba wake akaibuka
na unga unga unaofanana na rangi ya matiti yake
madogo mekundu.
Akajipaka katika matiti yote, akaufunga mkoba na
kumngojea Kelvin.
Mwanaume akarejea huku akiona aibu kwa jinsi
taulo ilivyonyanyuka maeneo fulani, Asia
akamcheka kwa huba.
K akamvamia.
Asia akahamia katika maigizo kama kawaida.
Akajirejesha digitali.
Kama K alidhani amekutana na Asia muanalojia
ambaye alikuwa akikubali kila kitu huku akitoa vilio
vya mahaba vya hisia, basi alikuwa anajidanganya.
“Baby…suck my breast….(ninyonye matiti,,,,,)”
Alilalamika Asia huku akiyakamata vyema
‘manyonyo’ yake.
K akamrukia kama ----- vile au kama ndama
anavyorukia maziwa ya mama yake baada ya
kufunguliwa kutoka zizini.
Akaanza kuyanyonya kwa ustadi mkubwa.
Akafanya kama anataka kuyatafuna lakini
hakutumia meno, mara ayabugie kama anayameza
kumbe hamezi!!!
Asia hoi kwa kilio huku akihesabu dakika!!
Tatizo la kitandani ni moja. Yaani hata kitu
utakachokilamba kikiwa kichungu, hakuna namna
itakubidi umeze tu.
Ukitema mpenzi atajishtukia kuwa umemuona
mchafu ama?.
Wangapi wanalamba masikio machafu,
wanajikausha na kumeza?
Wangapi wanakosea njia badala ya kulamba matiti
wanalifikia kwapa wanalamba?. Nao wanajikausha
tu hawatemi japo wanakunja sura wakati wa
kumeza??.
Na ni wangapi wakikuta chumvi imezidi ukali
kunako wanameza hivyo hivyo.
Kwani chumvi kitu gani??
K- matelefoni naye akawa kama wanaume
wenzake. AKAMEZA…..kile alichokinyonya katika
matiti ya asia, matiti madogo mekundu!!
Mara mwendo wa kunyonya ukapungua.
Akaanza kuongea lugha zisizoeleweka huku
akimuachia Asia.
Mara akatulia na kuanza kukoroma.
Asia akamsukuma pembeni kama ----- Fulani!!
Akasonya kisha akauendea mkoba uleule ambao
awali alitoa ule ungaunga wa ajabu!!
Akarejea na vijiko viwili vya kulia chakula.
Akavikamata ipasavyo vile vijiko, kimoja mkono wa
kulia na kingine kushoto!!
Akaingia kazini!!!
Akaingia kufanya kitu ambacho wewe muanalojia
ungekumbwa nacho usingeshtukia mchezo huu!!!
Na kwa sababu hukuwa eneo la tukio, tega sikio
nikusimulie!!!
**Hee…..ASIA mbinu gani tena hii ya kidigitali????
***K-MATELEFONI atachomoka kweli???
 
SEHEMU YA SABA
Asia akamsogelea Kelvin, akafumba macho yake
kisha akaomba mbinu hiyo aliyofunzwa usukumani
iweze kufanya kazi.
Mbinu ambayo hutumiwa na wanafunzi wenye
imani hiyo kufanya wizi ama kugundua siri kadhaa.
Kwa wale wataalmu wa afya njia hii kwa usasa
wanaaita ‘haipotenaizesheni’ hutumika hasahasa
jeshini, mjeshi hata afiche siri vipi, mbele ya
haipotenaizesheni hana ujanja.
(Sifundishi zaidi ya hapa maana watu hawakawii
kuifanyia kazi na kuwasumbua wenzao mitaani)
Asia akagonganisha vijiko mara mbili katika sikio
na Kelvin upande wa kulia, kisha akafanya hivyo
katika sikio la kushoto.
Kisha ukafuata utendaji.
“Kelvin…Kelvin..” Asia akaita japo kwa uoga.
Maajabu, Kelvin akiwa amefumba macho aliitika
japo kizembezembe.
“Mama yako anaitwa nani?”
“Mama yangu anaitwa Monica.” Alijibu kama
mtoto mdogo.
“Unaishi wapi?”
“Naishi huko Temekeee Mokoroshini.”
Asia akataka kucheka. Akajikaza, yale yalikuwa
maajabu makubwa.
“Una akaunti benki?”
“Ndio ninayo akaunti.”
“Wapi na wapi Kelvin?”
“NBC, CRDB, na AZANIA.”
“Wapi kuna pesa nyingi?”
“CRDB kuna milioni nane.” Alijibu, Asia akafanya
tabasamu.
“Kadi ya CRDB ipo wapi?”
“Kwenye suruali, mfuko wa nyuma kuna wallet ipo
humo katikati.”
“Namba za siri unazikumbuka?”
“Ndio..”
“Ni zipi?”
“6798”
Asia hakuwa na swali la ziada.
Akafuata suruali. Kama yule ----- pale kitandani
alivyotoa melekezo, naye akayafuata.
“Mh…imani hizi??” alijisemea Asia wakati
anakumbana na kadi ya benki. Ilikuwa mahali
palipotajwa.
Asia akaikwapua ile kadi na kuzamisha katika
mkoba wake.
Kisha akaibuka na mtandio, akakitanda kichwa
chake.
Kama vile anaigiza filamu ya mapigano huku yeye
akiwa kinara akapiga hatua kadhaa akatoka nje.
Uhakika wa usingizi kwa masaa zaidi ya matano
kwa ‘doromee’ aliyomeza Kelvin katika matiti ya
Asia ulimpa jeuri msichana yule.
Akaufunga mlango.
Akachikichia mtaani. Huku na huko akakutana na
‘ATM’ ya CRDB….akaingia ndani.
Akabofya kama alivyoelekezwa na jamaa aliyepo
usingizini.
Mashine ikaunguruma.
Ule uboreshaji wa kuweza kutoa hadi shilingi
milioni moja kwa siku katika ATM ulikuwa faida
kwa ASIA akachomoa milioni moja.
Alipoitazama saa yake zilikuwa zimebakia dakika
kumi saa sita usiku iweze kutimia, hii ilimaanisha
kuwa ile inakuwa siku nyingine.
Asia akzuga zuga hapa na pale, ikatimia saa sita
akazama tena katika ATM akachomoa milioni moja
nyingine.
Akazisweka kibindoni milioni mbili ndani ya muda
mfupi tu..na hapo alikuwa hajaugawa mwili wake.
Baada ya zoezi kukamilika, msichana yule
aliyejitanda baibui, alirejea katika chumba chake
akamkuta Kelvin ametlia vilevile. Akairejesha kadi
ya benki na kujirusha kitandani kama vile hakuna
lililotokea.
Akapitiwa na usingizi hadi alipoisikia mikono
nikimpapasa majira ya saa kumi.
Akajifanya kusisimka.
Akampa kile alichotaka yule bwana K matelefoni.
Asubuhi, supu ya maana ikaagizwa wakanywa
kujipooza na uchovu.
Asia akiigiza kuchoka kuliko K matelefoni.
Wakati wa kuagana bwana Kelvin akamzawadia
Asia nauli shilingi elfu hamsini.
Asia akashukuru.
Wakaagana.
Maskini K Matelefoni aliishia kupewa picha ya mtu
amejiziba sura.
“Kamtafute huyu ndiye ulimpa kadi akakutolee
pesa.” Benki walitoa tamko hilo hawakuwa na la
kumsaidia kwa namna nyingine.
Hata ‘RB’ aliyochukua pia alitakiwa kumtafuta
mwizi wake mwenyewe.
Wazo la kwamba alilishwa vitu na kuchezewa
kamchezo zikamfanya asimuwaze Asia kama
muhusika wake.naume asiyekuwa makini.
Mbinu ile ambayo ilifanya kazi ipasavyo. Husna
alipewa majibu naye akafunga safari kuelekea
mjini Mwanza.
Kwenda kumchuna mwanaume wake kidigitali.
****
ASIA DIGITALI ATIA TIMU VYUONI.
Baada ya kuzipanda ngazi ndefu za ghorofa mbili,
kijasho chembamba kilikuwa kinamtoka,
alizamisha mkono wake katika mkoba akatoka na
kitambaa cha kujifutia jasho. Akajipangisa kidogo.
Kwa kutumia simu yake ya mkononi akajitazama
jinsi alivyokuwa amependeza.
“Kumbe ukiwa na gari unakuwa na weupe mzuri
hivi.” Alijisemea Asia, kisha akapiga hatua kadhaa
hadi akaufikia mlango wa ofisi ambayo alikuwa
anaihitaji katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
“Department of Business Administration”
palisomeka hivyo mlangoni.
Asia akavuta kumbukumbu ya mambo ya msingi
ya kuzungumza akiwa katika ofisi ile.
Sauti yake nyororo iliyobeba kiingereza cha
kuombea maji lakini kinachofanana na huenda
kuzidi lafudhi ya mzungu kilimbeba.
Asia akaugonga mlango, akaruhusiwa kuingia.
Akapiga hatua kadhaa akauruhusu uso wake
kutabasamu. Lile tabasamu linalowakosha
wanaume wengi.
Akaruhusiwa kuketi.
Ndani ya ofisi hiyo alikuwemo muhusika mmoja
ambaye aliweka mambo yake kando baada ya ujio
wa Asia.
“Karibu sana.”
“Asante sana kaka, aah samahani sijui nd’o Mr.
Lucas?” aliuliza kwa utafiti kiasi.
“Yeah ni mimi. Umeagizwa kwangu.”
“Offcoz nimekuja kwako, na ninashukuru kuwa
sijapotea….walionielekeza hawajakose kabisa
maelekezo yao.” Alijieleza kwa furaha Asia.
“Karibu sana.”
“Aaah labda niende moja kwa moja kwenye point
yangu ya msingi. Ni kwamba naitwa Halima…na hii
ni business card yangu unaweza kuipitia kwa
kifupi, aah mimi kuna msaada ama kuna jambo
nalihitaji sana kutoka kwako.”
“Jambo gani dada.” Alihoji kwa utulivu Lucas.
“Wewe ni mkufunzi katika chuo hiki, hasa hasa
katika masomo ya biashara. Nahitaji uwe
mwalimu wangu katika topiki kadha wa
kadha….kwa kifupi nimeishia kidato cha sita, kuna
mambo kadha wa kadha katika biashara yangu
yanaanza kunizidia. Si unajua tena mambo ya
kukimbia shule, sasa kama hautajali tunaweza
kufanya hivyo.
Muda wa kurejea shuleni sina kiukweli. Nahitaji tu
kujua mambo kadhaa ndo maana nimekufata
wewe moja kwa moja.” Alimaliza kuzungumza
Asia huku funguo ya gari ikicheza katika kidole
chake.
Bwana Lucas akatulia kwa muda kama
anayefanya tafakari.
“Basi nadhani kwa kuwa nina kadi yako basi
nitakupigia tutapanga, maana suala hilo lipo nje ya
ajira yangu.” Alijibu huku akionyesha macho
yanayompa tumaini Asia ambaye alijitambulisha
kama Halima.
“Ok basi hamna shaka nitaingojea simu yako kwa
hamu kubwa. Utakuwa msaada mkubwa sana
kwangu, ujue mambo ya final accounts sijui
manini nini yananiumiza sana.” Alimaliza Asia
huku akionyesha kuwa anajua vitu kadhaa.
“Usijali mambo yote yatakuwa poa.”
Waliagana, Asia akaondoka akiwa ametimiza azma
moja ya kupata miadi kutoka kwa bwana Lucas.
Hiyo ilikuwa hatua kubwa sana……
***ASIA amemjulia wapi bwana LUCAS na anataka
kitu gani kwake???
Je atafanikiwa kama alivyowaliza wengine……..
 
SEHEMU YA NANE

asia alimfahamu lucas kwa kupewa dili la kuivuruga ndoa ya mr lucas na wanawake wa mjini..siku iliyofuata kama alivyotarajia, majira ya
jioni. Asia akapokea simu. Ilikuwa namba mpya.
. . “Halow Halima…..Lucas hapa.”
. . “Lucas yupi, samahani.” Aliuliza maksudi Asia.
. . “Yule wa jana chuo…”
. . “oooh habari bwana mkubwa…nambie.”
. . “Leo jioni tunaweza kuonana kwa ile ishu?”
. . “Bila shaka tutafanya hivyo….mi nakusikiliza
wewe.”
. . Mazungumzo yakaenda sawia, hatimaye
wakakubaliana kukutana katika hoteli mojawapo
katikati ya jiji.
Asia alikuwa anaifahamu.
. . Baada ya kukata simu ile Asia alipiga simu kwa
bwana aliyemtumia ujumbe usiku uliopita.
. . Akazungumza naye, akamuelekeza wapi alipo
wakenda kuonana.
Hayakuwa mazungumzo ya muda mrefu.
Wakaachana baada ya Asia kukabidhiwa kifuko
kidogo.
. . Akamkabidhi noti kadhaa bwana yule.
****
. . Majira ya saa moja usiku, Asia na Lucas
walikuwa katika mazungumzo mazito.
Mazungumzo juu ya namna ambavyo watakuwa
wakifundishana. Wakafikia makubaliano, Asia
akabadili mada. Mara aseme hiki mara kile.
Hatimaye akaamua kuirusha karata yake.
Akayakumbuka maneno ya yule bwana aliyempatia
ile dawa.
. . “Huko Bukoba wanayo SHUNTAMA….huku sisi
tunaiita hii Daiko…..akichomoka hapo basi
mwanaume.”
. . Asia akachomoa pipi akabugia moja kisha
akawahi kuomba samahani kwa kula peke yake.
Akatoa nyingine akampatia.
Maongezi kadha wa kadha yakaendelea kisha
wakaagana.
. . Asia akayangoja majibu. Na hakika usiku huo
haukupita, mara ukaingia ujumbe Lucas alihitaji
kumpigia simu.
. . Asia akakubaliana naye.
Lucas alivyopiga simu akakosa la kuzungumza
badala yake akawa anabwabwaja kama tahira.
Asia akawa anamuunga mkono.
. . Hatimaye wakakubaliana kesho waonane mida
ya usiku.
Hicho kitu Asia alikuwa anakisubiria ili amalize
mchezo.
Akili ya Lucas na usomi wake alikuwa
amekamatwa kimadawa, hakuwa akijielewa.
Lakini ni bora hali ile ingeishia pale lakini akafanya
kosa kujiruhusu kuonana na Asia faragha.
. . Ulikuwa usiku wa namna yake.
. . Asia akakolezea mapenzi. Akazidi kujikita katika
mapenzi ya kijanja janja, nia yake ikiwa
kumkamata vyema Lucas.
. . Ile hali ya kuelezwa kuwa Lucas si mcha
Mungu sana ilimpa nafasi Asia ya kuamini kuwa
hata kinga yake kijana huyu itakuwa ndogo na
hakika ilikuwa hivi.
Iwapo unaifahamu shuntama na madhara yake
basi Daiko huwa ni mara mbili yake.
. . KWA WASIOJUA: Shuntama, hii dawa maarufu
kabisa mkoani Kagera, ukifanyiwa hii na
mwanamke utarukaruka wee huko unapojua lakini
kila atakalosema utamsikiliza. Unakuwa kama
umeshikiwa akili vile, na iwapo akikutishia
kukuacha unaweza kufa kwa presha.
. . Usiku huu Asia alivyoipata nafasi ya kukutana
kimwili na Lucas asiyejielewa, akamwongezea pigo
jingine.
. . Sasa hii ilikuwa ni aina ya ‘GENDA UGERUKE’…
hii nayo ni ya aina yake, ukimpenda mtu ambaye
yupo Mwanza, akikufanyia hii, hauutamani mji
mwingine zaidi ya Mwanza. Yaani kila mara
unatamani kuwa katika mji ambao mpenzi yupo.
Hii hutumiwa sana na wale wapenzi wenye
wasiwasi wa kuwa mbali na wapenzi wao.
. . Asia akajipakaa vyema kabla ya kumkabili
Lucas.
Lucas alikuwa amekolea kumbe mwenzake ni
king’amuzi anang’amua chaneli mpya mpya za
burudani na michezo
. . Baada ya siku nne Asia alikuwa na wale
wanawake waliompa dili hilo la kumkamata yule
mwanaume hadi amsahau mkewe na familia kwa
ujumla.
. . “Tutaaminije kama kweli umefanikiwa?”
mwanamke alimuuliza.
. . “Mnataka nimfanyie nini kwa sasa.” Aliuliza
Asia, kwa mujibu wa saa zao ilikuwa saa tatu
usiku.
. . Mwambie aje sasa hivi.” Mmoja wao alijibu.
. . Asia bila kusema neno alichukua simu yake,
akabofya jina la Lucas. Akaweka sauti ya juu simu
ikaanza kuita wote wakisikia.
Ikapokelewa.
. . “Samahani mpenzi wangu kwa kuchelewa
kupokea simu.” Alianza kujitetea Lucas.
. . “Nataka kukuona Luka.” Aliamrisha Asia kwa
nyodo.
. . “Lakini….”
. . “Luka unakuja hauji?”
. . “Upo wapi sasa hivi..nakuja.”
. . “Sinza kwa Remmy.” Alijibu Asia kisha akakata
simu.
Wale wanawake walitazamana, kisha wakajikuta
wakiwa midomo wazi bila kujua kama wapo katika
hali ile.
Kazi imefanyika namna ile kwa nini wasifanye
malipo?
. . “Sasa tunataka kumuumiza yule mkewe.”
. . “Msijali nawapa mwezi mmoja wanaachana
naye.”
. . Malipo yakafanyika.
Baada ya mwezi mmoja wakakutana kupongezana
juu ya kutalikiana kwa Lukas na mkewe wa ndoa...
ITAENDELEA
 
SEHEMU YA TISA


ASIA AUNDA FUMANIZI.
. . Kitendo cha kumkamata akili Lucas na
kumpelekesha anavyotaka kilimfanya ajijengee
heshima kwa waliomfahamu. Asia akaonekana ni
kiboko ya viboko.
Wanawake na mikasa yao ya kimapenzi
hawakuisha kumfikiria iwapo anaweza kuwasaidia.
. . Fundi mitambo wa kikundi chao ambaye
alikuwa na cheo cha waziri wa mipango, Husna
Messi alikuwa anazurura huku na kule kujaribu
kusaka dili lolote linaloweza kuwapatia pesa.
Husna alikuwa mzungumzaji sana na pia alikuwa
msikilizaji mzuri sana.
. . Neno linalomtoka mtu kwake lilikuwa biashara.
Alichokuwa anafanya Husna ni kutembelea saluni
za kike kadha wa kadha, ni huku alipoweza kupata
siri kadhaa.
. . Wanawake wasiokuwa na staha waliyataja
mapungufu ya wapenzi wao huku wengine
wakitumia nafasi hizo hata kusema siri zao za
ndani.
Husna akapata jipya huku.
. . Alipomaliza kusukwa nywele zake akateta
kidogo na yule mwanamke.
. . Alimweleza kuwa dawa ya kilio chake ipo na
huyo mtoaji dawa hakuna kinachoshindikana
kwake.
. . “Wewe shida yako ni kumkomoa tu…”
. . “Ndio hiyo tu kumkomoa maana yaani sijui hata
nisemeje. Yaani mimi ni wa kuchezewa na
kuachwa kijinga jinga vile. Amenikuta nina mpenzi
wangu, nimemuacha nikijua kuwa jamaa atanioa
kumbe laghai. Tapeli mkubwa…Malaya mzoefu.”
Mwanamama alijieleza kwa uchungu, uchungu
mkubwa.
. . Husna akainusa harufu ya pombe. Bila shaka
mama yule alikuwa anajihusisha katika ulevi
ilimradi tu kuondoa ama kupunguza msongo wa
mawazo ambao ulikuwa unamkabili.
. . Husna akafurahia kimoyomoyo alipogundua
kuwa yule mama alikuwa anamiliki usafiri wake
mwenyewe. Bila shaka alikuwa na pesa ya
kutosha.
. . Biashara njema kabisa.
. . Mwisho wa maongezi wakabadilishana namba
za simu.
. . “Yaani mimi muda wowote nipigie usijali…
nahitaji sana kumwonyesha mimi ni nani huyo
mjinga….” Alisema kwa hasira yule mama ambaye
kwa makadirio alikuwa na miaka isiyopungua
arobaini.
. . Husna alifika nyumbani kwa Asia baada ya
kuwa amempigia simu na kupewa maelekezo kuwa
mwanadada alikuwa yu nyumbani.
. . Asia alikuwa amejikita katika kutazama filamu
za kiingereza hasahasa za mapenzi. Huku
alijifunza mengi sana yaliyomuwezesha kufanya
utapeli wake ipasavyo.
. . Asia alisimamisha ile filamu baada ya Husna
kuingia.
. . “Shoga hadi sa’hivi umejikalisha tu nyumbani.”
. . “Niende wapi sasa wakati hujanipa dili
mtaalamu wangu…si unajua tena madili hayajileti
mpaka yasetiwe.” Alijibu kichovuchovu Asia huku
akijinyoosha.
. . Mapaja yake yalikuwa nje na wala
hakujishughulisha katika kuyasitiri.
. . “Nd’o nimekuja mwenzangu….mguu wangu
kama ilivyo kawaida ni mguu wa pesa…sema
siwezi kuzichukua bila akili yako mpenzi.” . . . .
Husna akazungumza haya huku akijiweka sawa
katika kochi.
Asia akafanya mfano wa tabasamu hafifu.
Tabasamu la ujivuni.
Alifurahia namna ambavyo alikuwa anakubalika
kwa wenzake.
. . Husna Messi hakutaka kupoteza muda, akaanza
kupepeta mdomo wake juu ya mwanamama
anayetaka kumkomesha mwanaume ambaye
alimtenda.
. . Asia akasikiliza kwa makini kabisa. Ni kama
alikuwa ana shahada ya jambo alilokuwa
anashrikishwa. Akalitafakari kwa kina kisha
akanyanyua kinywa chake.
. . “Ana bei gani? Maana mambo ya kugandana
kama alivyoniganda huyo Lucas sitaki sahivi.”
Alilalama Asia.
. . Husna akamtazama kisha bila kusema neno
akachukua simu yake akabofya kisha akaipeleka
sikioni.
. . “Mambo shosti za mida….nipigie.” alizungumza
upesi upesi akakata simu. Husna alikuwa na tabia
ya ubahili.
Baada ya dakika moja, simu ikaita.
. . “Huyu hapa…” akajisemea Husna. Kisha
akapokea simu.
Sasa hakuwa akizungumza harakaharaka tena.
. . “Nipo naye hapa yule mtaalamu….ongea naye
basi nimemweleza nia yako.” Alibwabwaja Husna
kisha akampatia simu Asia.
Baada ya salamu na kufahamiana majina,
ikazungumzwa bei.
. . “Jamani dada nifanyie kitu kimoja basi chukua
milioni moja na nusu halafu hiyo laki tano
nitakumalizia baada ya kumkomoa…..”
alibembeleza yule mama akiwa amewekwa katika
‘loud speaker’.
. . Asia akafanya tabasamu kisha akamkubalia
mteja wake.
Wakapanga siku na mahali pa kukutana ili waweze
kupeana maelekezo kadha wa kadha.
. . Husna akamwachia rasmi jemedari Asia kazi.
Yeye akabaki kusubiri majibu.
Husna alikiri kuwa Asia alikuwa mwanadada wa
maajabu sana.
. . . . . . . . . . ****
. . GARI aina ya Toyota Rav4 liliegeshwa katika
ukumbi maarufu wa burudani, ukumbi mkongwe
kabisa unaoenda kwa jina la Lango la jiji.
Ukumbi uliopo maeneo ya Magomeni mikumi.
. . Baada ya kuegeshwa gari ile ilidumu kwa muda
mrefu bila mmiliki kutelemka chini. Hakuna
aliyejali, kila mmoja alikuwa na mambo yake.
. . Waliokuwa na kampani walijikita katika kampani
hizo na waliokuwa peke yao peke yao walibaki na
upweke wao huo ambao aidha uliwapendeza ama
kuwapoozesha.
Baada ya nusu saa gari nyingine iliingia. Nayo
ikaegeshwa kwa fujo.
Baada ya gari hii kufika kelele za hapa na pale
zilizuka, huenda mwenye gari hilo alikuwa
anafahamika.
Kitendo cha gari hili kuwasili kilienda sambamba
na milango ya Toyota Rav4 kufunguliwa.
. . Marashi ya aina yake yalitawala baada ya
mlango ule kufunguliwa, kisha ndani ya lile gari
akatelemka mwanadada, alikuwa amevaa nguo
nyekundu na alipendeza kumtazama masikioni kwa
jinsi hereni zake zilivyorandana na gauni lake.
Gauni lake lilikuwa katika mfumo wa kichokozi,
lilikuwa fupi na liliacha mapaja yake kwa kiasi
kikubwa yakitalii kwa nje.
Kwa jinsi alivyopendeza aliamini kuwa kila jicho
lilikuwa likimtazama japo kwa wizi wizi na alijua ni
kiasi gani alikuwa akiwaumiza wasichana wengine
roho, huku wale ambao waume zao walikuwa
dhaifu wakianza kuingia wasiwasi.
. . Mwanadada huyu hakuwa na shida ya kianalojia
ya kumfikia kila mtu ilimradi anayo luninga na
kiantena, shida yake ilikuwa kidigitali na alitaka
kama ingewezekana jicho la mwanaume mmoja tu
nd’o limuone.
. . Na alijua kuwa lazima atatizamwa.
. . Mwanadada akaifunga vyema milango ya gari
lake.
. . Kisha akageuka. Hatua kwa hatua hadi
akaufikia mlango wa kuingilia.
. . Walinzi wakampisha, siku hiyo ilikuwa ni ladies
free.
. . Akaingia kwa pozi na viatu vyake vya
mchuchumio lakini ambavyo havikumsumbua
katika kutembea.
. . Akatazama huku na kule akajichukulia nafasi.
. . Akaanza kunywa vinywaji vya bei ghali sana,
vinywaji ambavyo viliwababaisha wanaume wengi
na kuhofia kuweza walau kumkaribia.
. . Jicho lake lililofichwa nyuma ya miwani lilikuwa
makini sana kumhesabia muhusika wake muda wa
kumshambulia.
. . Bahati nzuri muhusika mwenyewe tamaa
alizionyesha mapema sana.
. . Kama alivyotegemea yule mwanadada. Mara
akiwa ameketi akijikita katika kutumia simu aina
ya iPhone5 ambayo waliichota katika tukio la
kumhamishia Deniss digitali, mara akakaribiwa na
mwanaume ambaye kwa sifa moja unaweza
kumweka katika kundi la watanashati.
. . Bila kusema lolote akamwekea mbele yake
chupa ya kinywaji alichokuwa anatumia.
. . “For what?” mwanadada akauliza.
Yule mwanaume akajiumauma kujieleza lakini
mwanadada hakukubali ofa ile.
Jaribio la muhusika wake likawa limeshindikana.
. . Majira ya saa sita usiku, taarabu ikanoga.
. . Taarabu nd’o asili ya lango la jiji, kila ambaye
hutembelea pale hufuata taarabu.
Asia akasimama, mkoba wake kwapani, akajiunga
katika kucheza taarabu ile iliyokuwa imenoga.
. . Alicheza kwa uwezo huku akiruhusu mara kwa
mara kiuno chake kucheza faulo na kuonesha mali
kadha wa kadha katika kiuno chake.
Jwa kila ambaye angemtazama angekiri kuwa
mwanadada yule alifuata taarabu pekee katika
ukumbi huo.
. . Yule mwanaume ambaye alikuwa amemtamani
Asia tangu alipomuona wakiwa nje alitumia nafasi
hii kujipenyeza na kujikuta akituliza mikono yake
katika kiuno cha yule dada.
Mwanadada akakatika vyema sana, kijana naye
akazidi kukamatilia.
Asia alitambua nini kinaendelea lakini akajifanya
hajui lolote.
. . Wakati wakicheza muziki huo wa mwambao
yule bwana akajitambulisha.
. . “Naitwa Branco……”
. . “Mimi Fatuma…” alidanganya Asia kama
kawaida yake.
Branco lilikuwa jina lake halisi. Kijana ambaye
alimtesa mwanamke ambaye sasa alikuwa
amemlipa Asia kwa shughuli moja tu…
kumkomesha Branco ikiwezekana kumfanya
aukimbie mji.
. . Asia alikuwa amejipanga vyema, sasa alikuwa
katika utendaji.
Hatua ya kwanza ilikuwa kumtambua vyema
Branco, mwanzoni alipewa picha yake na kisha
kuelezwa kuwa kijana huyo huwa hakosekani
katika taarabu, ni tabia yake kuhudhuria sehemu
hizo ili akwapue watoto wa kike wanaojua nini
maana ya kitanda.
. . Branco aliamini kuwa wacheza mduara mara
nyingi ni watundu kitandani.
Sasa Asia yupo na Branco walikuwa wakianza
kufahamiana.
Baada ya muda Asia akarejea katika kiti chake na
Branco akiendelea na mambo yake.
Asia wa kidigitali alikuwa anaungojea ule muda
ambao alikuwa ameuseti kidigitali. Muda ambao
ungeamua hatma ya Branco na tabia zake za
kubadili wanawake hovyo.
. . ITAENDELEA!!
 
SEHEMU YA KUMI


Msema chochote (MC) alisimama mbele ya
jukwaa baada ya mziki kusitishwa kwa muda.
Kila mmoja alikuwa na hamu ya kusikia washindi
wa siku hiyo ni nani na nani.
Mashindano ya binti na bwana waliotoka vyema
kimavazi..kisha washindi wa kuucheza mduara.
Asia alikuwa anatabasamu peke yake alipokuwa
anawatazama wadau wengine wakifanya ubashiri
wa nani kuibuka kimwana wa usiku huo.
. . Asia alikuwa na haja ya kutabasamu, kwani
kabla ya mkesha huo wa taarabu, tayari alikuwa
amepitia mlango wa nyuma na alikuwa ametoa
rushwa kwa MC…hivyo kwa namna yoyote ile ni
jina lake lingependekezwa kuwa kimwana wa
taarabu aliyependeza usiku huo.
Asia hakuwa mpumbavu ajiweke yeye peke yake,
alilipia pia jina la mwanaume ambaye anataka
atajwe usiku huo.
. . Pesa ikazungumza.
. . Wakati ulipowadia MC akawaamsha vitini.
. . “Huyu mwanadada ni mgeni…sijamjua jina lakini
nimetuma vyombo vyangu vya usalama
vimemtambua jina……FATUMAAAAAA…..”
akapayuka MC, Asia akazuga kushtuka,
akasimama kama asiyeamini kabisa alichokisikia.
. . Hakika alikuwa muigizaji mzuri.
Akajikongoja kuelekea mbele. Mate yakawajaa
midomoni wanaume wenye tamaa……lakini binti
huyu alionekana kuwa matawi mengine kabisa.
Wakati shangwe zikizagaa wakati Asia akipiga
hatua kwa madaha kuelekea jukwaani, msema
chochote akamtaja mwanaume matata wa siku
hiyo.
Hapa napo Asia alipangoja kwa hamu maana
alikuwa amepapika na ilikuwa lazima papikike.
. . “Papaaaaa Brancooooooo” akatajwa Branco.
Kijana huyu machachari akaruka juu, hakutegemea
kabisa iwapo ataitwa.
Mbio mbio akakimbia mbele na kumkumbatia Asia.
. . Hili nalo Asia alilitegemea.
. . Baada ya kukutana katika jukwaa lile wakiwa
wawili huu ukawa mwanzo wa kufahamiana vizuri.
Papaa Branco akatumia ukaribu ule kumchombeza
Asia.
. . Mwisho wa siku majira ya saa tisa usiku, Asia
akiwa na gari yake na Branco katika gari yake
walikuwa wanaelekea nyumbani kwa Branco.
Majira ya saa kumi walikuwa katika chumba cha
Branco. Asia akakiri kuwa yule mama aliyempa
biashara hiyo alikuwa amesema ukweli tupu.
. . “Branco ana tabia ya kuingiza hovyo wanawake
chumbani kwake.”
Hakika ilikuwa hivi, Asia naye alikuwa ameingia
katika chumba cha Branco.
Papara za hapa na pale kitandani, tayari walikuwa
wapenzi kufikia dakika hiyo.
Branco alimgalagaza Asia huku na kule, Asia
alitamani kucheka lakini akasita. Branco alikuwa ni
mlafi sana, na pia mwenye haraka kupitiliza.
Mara alambe huku mara ashike kule.
Hisia za Asia zilikuwa zimesafiri mbali kabisa na
hakujiruhusu kudanganyika.
Baadaye ikafuata zamu ya Asia kumfanya Branco
mtumwa.
Lakini Asia hakuwa mlafi na mwenye papara.
. . “Kaoge bwana….” Alimsihi Branco.
Branco akamtaka waende wote Asia akakataa
akidai kuwa anahitaji faragha ya kike, kujisafisha.
Baranco akamwachia Asia chumba.
Hili lilikuwa kosa la jinai alilofanya Branco.
Asia alipoachiwa chumba, akiwa amebakiwa na
chupi pekee mwilini aliparamia mkoba wake
akatoka na kimfuko kidogo.
. . Bila kutetemeka akafunua kitanda cha Branco
na kuweka kisha akarejesha godoro katika hali ya
kawaida.
. . Branco alivyorejea Asia naye akaingia kuoga.
. . Akiwa bafuni akamuita Branco ambaye alikuwa
amelegea macho kutokana na hamu kubwa ya
kufanya ngono.
Mbio mbio Branco akamfuata bafuni akiwa bado
yu uchi.
. . “Nisugue mgongo baby…” Asia alilalamika.
Branco akachukua cha kusugulia.
. . “Noo honey kitaniumiza hicho…mi nataka
unisugue kwa mikono.” Asia alifanya kudeka.
Branco akaanza kumpapasa.
. . Asia wa digitali akaanza kuhema juu juu.
Branco akazidi kupapasa, sasa vidole vyake
vikahama kutoka mgongoni vikaingia kunako
katikati ya mapaja ya Asia. Hapa Asia akapiga
yowe kuu la hamu.
. . Kisha akajiweka katika pozi ambalo Branco
akiwa kama mzoefu wa mambo hayo alijua ni kipi
anamaanisha.
. . Wakaanza kuvurugana kuanzia bafuni, mchezo
wao ukaja kuishia sakafuni.
Wakasinzia waliposhtuka tena walimalizia
sebuleni.
. . Asia akajifanya kuwa amechoka sana. Lakini
haikuwa hivyo.
Aliondoka akiwa na tabasamu usoni, Branco
alidhani kuwa Asia anatabasamu kwa kuwa
ameahidiwa ahadi hewa ya kuolewa.
. . Branco akajiona kuwa mjanja kuliko Asia.
Katika orodha yake akamuhesabia kuwa msichana
wa arobaini na tano tangu ajitambue kuwa yeye ni
mwanaume.
. . Laiti kama Branco angejua ni kwanini Asia
anatabasamu kamwe asingemdhihaki na kumweka
katika orodha ya wasichana wake.
Huenda alikuwa sawa kumweka katika orodha ya
wanawake aliowapitia kama kawaida lakini tatizo
lilikuwa moja tu.
Asia hakuwa katika mfumo wa analojia kama
wanawake waliotangulia.
Kumtumia Asia lazima ulipie.
. . . . . . . . . . ******
. . FARIDA alikuwa katika sebule yake kubwa,
alikuwa akicheza cheza na mtoto wake wa
mwisho.
Lakini hakuwa na furaha hata kidogo. Hali hii
ilitokana na kujishtukia kuwa ameingizwa mjini
kwa namna ya kipekee huku akiulaumu ujinga
wake na visasi vya kipuuzi.
Farida aliamini kuwa Asia hakuwa na harakati
zozote za kuweza kumkomoa Branco, mwanaume
ambaye alimdhulumu furaha yake kwa kumtenda
kimapenzi.
. . Farida alijutia pesa ambayo aliitoa na kumpatia
Asia baada ya kuaminishwa na Husna kuwa pale
ni mwisho wa matatizo.
Farida alijisonya mara kwa mara huku akibanwa
na hasira. Wazo la kuwa Asia amekolea kwa
Branco lilimuumiza kichwa sana, akajiona
mpumbavu namba moja ambaye hajawahi kutokea
duniani.
. . Pesa nimempa na bwana nimempa……aliwaza
Farida.
Akainama kwa uchungu mkubwa, chozi
likadondoka.
Kikataka kufuata kilio cha kwikwi lakini mlio wa
ukasikika ukamkatisha.
. . Simu yake iliita, akaitazama…..hasira zikamzidi
baada ya kugundua kuwa mpigaji ni Asia.
Aliamini kuwa zilikuwa ni longolongo tu. Alitamani
kumtukana lakini nafsi ikamsihi ajishushe.
. . “Najishusha kwa mara ya mwisho….” Aliapa
Farida kisha akapokea simu.
. . “Nipigiee sasa hivi…” Asia alisema kisha
akakata simu.
Farida akajikuta anatokwa na tusi zito la nguoni.
Yaani ampigie tena….
. . “Huyu Malaya huyu hanijui eeh hata kama
tuliandikishana atazitema pesa zangu…yaani
milionii…” alisema kwa sauti ya juu akiwa
amehamakinika.
Akabofya namba akampigia Asia huku akijaribu
kuidhibi hasira yake.
. . “Nambie shoga..” Asia alianza.
. . “Poa tu nipe ripoti..”
. . “Branco ulisema ana pesa nzuri eeh….”
. . “Ndio anazo kwani vipi…tuzungumze yetu
aisee..” alisema kwa jazba.
. . “Sikia sasa nishamaliza yangu….lakini nataka
kukusaidia jambo moja.”
. . “Jambo gani? Na umemfanyaje hadi unasema
umemaliza yako..”
. . “Taarifa utazipata muda si mrefu….ninachotaka
kukusaidia ni kurejesha pesa zako na ziada kama
inabidi. Ukwapi sahivi….” Aliongea kwa furaha
kubwa Asia.
Farida akajieleza mahali alipo. Bahati nzuri Asia
alikuwa hayupo mbali sana.
. . “Nakuja muda si mrefu…”
. . Farida alipokata simu ambayo alikuwa
amempigia Asia, hapohapo ikaingia simu kutoka
kwa rafiki yake mwingine.
Akapokea upesi kumsikiliza. Hata kabla hajasema
neno lolote. Mpigaji alianza kuzungumza.
. . “Mwenzangu Mungu ametulipia…..yaani huku
mbona kitimtimu…”
ITA...ENDELEA
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Ilipoishia sehemu ya kumi “Mwenzangu Mungu ametulipia…..yaani huku
mbona kitimtimu…”
. . “Nini mbona sikuelewi…”
. . “Branco shosti…”
. . “Amefanyaje Branco…”
. . “Amenatiana huku mbona kazi ipo huku….”
. . “Amenatiana kivipi?”
. . “Mwenzangu yaani hata mimi sijui…halafu ilivyo
aibu yupo na mke wa mtu….ni aibu huku…”
. . Farida alikuwa katika fumbo hakujua nini
kinaendelea, alishikwa na mshawasha, akataka
kutimua mbio achukue usafiri kwenda kwa Branco
lakini akakumbuka alikuwa na ahadi ya kuonana
na Asia baada ya muda mfupi.
. . Hakika baada ya dakika kadhaa simu ya Asia
iliingia, tayari alikuwa amefika eneo ambalo Farida
alikuwa amemueleza.
. . Farida akatoka nje wakaonana.
. . Asia akamsimulia Farida juu ya tego la kisu na
ala yake alilomuwekea.
. . Farida hakuelewa chochote. Maneno ya Asia
pekee yalikuwa hayajitoshelezi. Wakaongozana
kuelekea sehemu ya tukio.
. . Mwanzoni palikuwa na watu wachache lakini
baada ya taarifa kusambaa hapakuwa hata na
upenyo wa kuweza kuchungulia nini kinaendelea.
Farida alimtazama Asia kwa jicho la wizi wizi.
Alishngaa sana aibu hii kuwa kubwa kiasi hicho.
. . Katu hakuwahi kutegemea kuwa ingekuwa
namna ile.
. . “Huyu binti ni kiboko…” alikiri katika nafsi yake.
Baada ya muda kila mtu alikuwa macho juu juu
kutazama nini kinatolewa katika nyumba ile.
Alikuwa ni Branco akiwa amenatiana na mke wa
mtu.
Aibu ya karne. Farida hakuamini kabisa. Lakini
kilichoonekana ndo hicho kilikuwa mbele yake.
. . Asia alimsogelea Farida kisha akamnong’oneza
“ Nimalizie changu…”
Farida akatabasamu. Alikuwa amemkubali Asia
kwa kila namna.
Akamkonyeza kidogo ishara ya kuwa hakuna
kitakachoharibika.
. . . . . . . . . . ****
. . Asia alijitia kuwa jasiri sana mbele ya Farida
lakini kwa hali halisi alikuwa ameshangazwa sana
na utaalamu ule wa TEGO…..hakujua kama kuna
imani kali kama zile zinaweza kufanya kazi katika
maisha halisi.
Kile kisu ambacho alikiweka chini ya godoro kikiwa
katika ala yake kilikuwa kimezua haya.
. . Asia anakumbuka kuwa sharti la kuwanasua
wawili hawa ilikuwa ni kukichomoa kisu kutoka
katika ala yake.
. . Hapa ghafla wazo la kibiashara likamuingia.
Nani wa kukichomoa kisu?
. . Farida alionekana kuridhika sana na aibu
ambayo Branco alikuwa ameipata lakini
hakukumbuka kuwa Asia alimweleza kuwa
anaweza kujipatia pesa baada ya tego lile.
. . Asia akapiga akili ya upesi upesi. Akagundua
kuwa ipo njia ya kumwingizia pesa nyingi zaidi
tena bila jasho.
. . Ndege wawili kwa jiwe moja. Asia alijipa
kichwa.
. . Akachukua simu akabofya namba fulani.
. . “Kamanda nataka kukuuzia ugomvi…”
. . “Shilingi ngapi msaghane.” Sauti ya
mwanadada wa kikurya, Janeth ilijibu.
. . “MIlioni mbili, yako moja na yangu moja…aahh
hapana milioni nne, yako mbili na yangu mbili”
Asia alimjibu kwa uchangamfu huku akitweta.
. . “Wewe Asia acha zako…wewe…ugomvi gani
huo.”
. . “Ugomvi wa amani…sikia tukutane posta
nikupange tule pesa.”
. . “Poa.” Janeth alijibu.
. . . . . . . . . . ****
. . Janeth alijiandaa upesi, akaona kuchukua
daladala ama taksi ni kupoteza wakati. Akachukua
pikipiki.
. . Kona hapa na pale hatimaye wakafika posta.
. . Asia naye alikuwa amefika tayari.
Akamsimulia Janeth juu ya lile janga la kumwekea
tego Branco, tego lililonasa baada ya Branco
kuingiza mke wa mtu chumbani kwake kisha
kutumia kitanda kilichowekewa tego…..
. . Tego likanasa, nao wakanatana.
. . “Wewe jifanye ndo mwenye lile tego, tafuta
nafasi ya kusema na Branco kisha mtajie dau
akiingia laini unaenda nyumbani kwake, cha
kufanya ni kuchomoa kile kisu kutoka katika ala
yake.
. . Mwisho wa mchezo.
. . Mwanadada wa kikurya akaingia kazini.
Siku hiyohiyo baada ya hospitali kushindwa
kuwasaidia Janeth akafanikiwa kuteta na Branco.
Kwa aibu kubwa Branco akakubaliana na Janeth.
Akampa maelekezo rafiki yake. Akamsindikiza
nyumbani kwa Branco.
. . Akapewa pesa yake, kisha akafanya kama
alivyoelekezwa na Asia.
Amakweli digitali haina mfanowe.
Palepale kisu kilipotoka katika ala, jogoo wa
Branco naye akatoka katika mwili wa mke wa mtu.
Maajabu.
. . Milioni nne kibindoni. Biashara ikaishia hapo.
Branco akatoweka mjini na hakujulikana ni wapi
alipopotelea hata marafiki zake hawakujua ni wapi
amekwenda.
. . Hayo hayakumuhusu Asia digitali maana yeye
tayari alishamaliza yake.
. . . . . . . . . . ****
*********ASIA MATATANI.**********
. . HASSAN TEMBO, kijana machachali mzaramo
wa asili. Mkazi wa jiji la Dar es salaam wilaya ya
Temeke.
. . Jina lake lilikuwa midomoni mwa watu wengi
sana, wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana.
. . Sio utajiri wake wa ghafla tu uliomstaajabisha
mshangaaji bali pia umri mdogo na umbo dogo la
Hassan.
. . Hakuwa muumini safi wa dini ya kiislamu lakini
kila ijumaa hakuwahi kukosa msikitini.
Utajiri wake ulikuja kama utani, kwanza alikuwa
mvuvi. Mvuvi mdogo kupita wote.
Maisha yake yalikuwa ya kulala na kuamkia majini.

Hassan tembo ni nani.?? Na amepataje utajiri wa ghafla.?? Ni uvuvi pekee au ana biashara nyingine.??


ITAENDELEA
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Hakuwa na mahali pa kujihifadhi. Baadaye
akapata kazi ya kuwa anauza samaki za bwana
mkubwa mwingine. Bwana huyu alimpatia mahali
pa kulala.
. . Hassan akaacha rasmi maisha ya kuishi majini,
lakini aliendelea kuwa na undugu na maji.
Hassan alikuwa anakutana na wadau wengi sana
katika biashara ya kuuza samaki.
. . Kuna mteja ambaye kila siku alikuwa
akitembelea bishara ya Hassan Tembo, cha ajabu
hakuwa akinunua mkitu zaidi ya kupiga soga na
Tembo, kwa jinsi siku zilivyozidi kwenda ndivyo
walivyoonekana kuwa marafiki wakaribu zaidi.
Hakuna aliyehoji ukaribu wao.
Kuna kipindi alipotea ghafla kwa majuma mawili.
Alitoweka bila kumuaga bosi wake, na alikuwa
hajakabidhi mahesabu ya siku hiyo. Hali hii ilizua
sintofahamu, hakuna aliyekuwa anajua Tembo
amepotelea wapi.
. . Bosi akaanza kumsaka bila mafanikio. Siku
ambayo Hassan anaonekana tena pale feri yule
bosi wa kihindi alipewa taarifa na wapambe wake
akafika upesi akiwa na kikosi cha polisi watatu
wakamtia Tembo nguvuni.
. . “Hii mwiji ondoka na pesa mingi sana..” muhindi
akiwa amebadilika rangi ya uso na kuwa nyekundu
alitoa karipio huku akitaka kumpiga Hassan kibao
usoni. Polisi wakawahi kuepusha.
. . “Dogo pesa ya jamaa iko wapi?” polisi
walimjuuliza Tembo Hassan.
. . “Muulizeni ni shilingi ngapi?” Tembo bila hofu
aliwauliza wale askari ambao walikuwa
wamemshika shati na suruali yake.
. . Umati wa watu ulikuwa unashuhudia tukio hilo.
Wengi wao walikuwa wakimuhurumia Hassan
Tembo kutokana na ucheshi wake aliokuwanao pia
umri wake mdogo kuingia katika misukosuko hiyo
lilikuwa jambo baya sana.
. . Walisikitika lakini nani wa kuweza kutoa walau
shilingi yake kumuepusha na mkasa huo?
Hakuwepo…..
. . Muhindi akaanza kuhesabu vidole ili
amuangushie mahesabu makubwa Hassan.
. . “Laki mbili na efu shirini..” muhindi akatoa
mahesabu yake. Kila mkazi wa pale feri aliguna.
. . Mzigo aliokuwa anapewa Hassan Tembo kuuza
haukuwa na thamani walau ya shilingi laki moja.
. . Miguno yao ilikuwa haina maana, polisi
walingoja jibu la Hassankama anayo hiyo pesa
alipe ama hatua ya kwenda mbele zaidi
ichukuliwe.
. . “Amesema laki mbili na nusu?” Hassan alisema
kwa sauti tulivu sana. Kila aliyeujua umasikini na
maisha magumui anayoyapitia Hassan alishangaa.
. . Polisi walimkamata vyema asiweze kukimbia.
. . “Ngoja nimpe pesa yake.” Hassan aliwaomba
askari, nao bila hiana wakalegeza mikono yao.
. . Akapata upenyo wa kuzama mifukoni,
akachomoka na kibahasha kidogo.
Akafungua akatoka na pesa za kitanzania mpya
zilizofungwa katika mpangilio mzuri.
. . Akahesabu noti moja baada ya nyingine.
Akawakabidhi wake askari, nao wakahesabu.
. . “Ni laki tatu hii..” askari mmoja alidhani Tembo
amekosea kuhesabu alimkumbusha. Wakati huu
hawakuwa wamemshikiria. Pesa ililainisha mikono
yao.
. . “Hiyo hamsini ya kwenu msijali.” Tembo
aliwaambia, huku akitoweka.
Muhindi, askari na umati wote ulibaki ukistaajabu.
. . Mbwembwe za Tembo hazikuishia hapo.
Akaendelea na kufuru pale feri. Akanunua meza
kubwa ya kuuzia samaki, akaajiri watu.
. . Matumizi yake yalikuwa makubwa sana. Kila
mtu aliyekuwanaye karibu alimfaidi.
Wapo waliosema kuwa alipata dhahabu kubwa
tumboni mwa samaki, wapo waliosema kuwa
alikuwa akimuibia sana yule muhindi.
Lakini aliwanyamazisha wote kwa pesa. Tembo
atake nini akikose?
Rafiki yake na dereva wake kwa kipindi hicho,
Nyamang’asa akampachika jina.
. . “Munyama mkubwa kamba fedha”
. . Jina likamkaa.
. . Akafupishwa na kuwa anaitwa Mnyama.
. . Jina lake la kuzaliwa likasahaulika.
. . Mnyama akawa mnyama kweli.
. . Kuhusu alipata wapi utajiri…alijua mwenyewe.
. . . . . . . . . . *****
. . SIFA kemkem kuhusu tabia njema ya Hassan
kujitolea katika msikiti ambao huwa anasali mara
kwa mara, zilipenya huku na kule na hatimaye
zikamfikia kimwana machachali Husna. . . . .
Akapeleleza huku na kule akapata nafasi ya
kumuona kijana yule.
. . Huyu naye kama kawaida yake hakuweza
kuzifanyia kazi bila uwepo wa Asia mdigitali.
Husna akazifikisha salamu zile kwa shoga yake.
. . Asia akazipokea katika namna ya kipekee.
Lilikuwa ni dili jingine ambalo lingeendelea
kuwapatia pesa ya kununua mafuta ya kuweka
kwenye gari kila siku.
Kama ilivyo kawaida ya Asia, hakumwambia lolote
Husna juu ya mipango ambayo ataitumia
kumuingiza mkenge kijana yule.
. . Asia akapanga kuingia kazini ijumaa ya juma
hilo.
. . Jua lilikuwa kali, kilammoja alifanya jitihada za
kupambana na joto la jijini Dar es salaam.
Hekaheka za hapa na pale Kariakoo ziliufanya mji
kuonekana mdogo sana.
Kanzu nyeupe na mabaibui meusi yalitapakaa huku
na kule ishara ya sala ya ijumaa.
. . Asia naye alikuwemo katika hekaheka za siku
hiyo.
. . Muda wa sala ulipowadia kila mtu alikuwa
mahala pake akiswali.
. . Asia naye alikuwa mmoja kati ya waliojumuika
kuswali katika msikiti ambao hajawahi kuswali
hapo kabla.
. . Asia aliswali huku mahesabu yake yakienda
sawa kabisa juu ya mipango yake madhubuti
kichwani.
. . Muda wa swala ulipomalizika Asia alitoka nje
ya msikiti.
. . Akaangaza macho huku na kule.
. . Aliyategea mawindo yake yaweze kunasa.
. . Hatua kwa hatua Asia alijitembeza, kwa kasi
huku akipigia mahesabu makali ya tukio ambalo
litatokea.
. . Asia alikuwa akimtazama mwanaume mfupi
mweusi ambaye huenda alikuwa amependeza
kuliko wote ndani ya kanzu yake yenye thamani
ya juu.
Asia alimtazama jinsi alivyokuwa amejikita katika
kutumia simu yake. Asia akatumia upenyo ule.
. . Akajipitisha mbele yake, bwana yule
pasipokumwona Asia akajikuta amemkanyaga.
Asia akajilegeza akatua chini.
. . Aliyemgonga alikuwa ni Hassan Tembo,
Munyama mukubwa kamba fedha.
Hassan alikuwa anajulikana sana, asingeweza
kumkimbia Asia ama kumpuuzia, aliheshimika
kutokana na moyo wake wa kujitolea.
. . Tukio la Asia akalitumia kama nafasi nyingine
ya kuthibitisha kuwa ana pesa.
Akaamuru apelekwe katika gari lake binti yule.
Wafuasi wakambeba Asia hadi ndani ya gari la
Tembo.
. . Akisindikizwa na wanaume wawili Hassan
alimchukua Asia hadi katika hospitali ya watu
binafsi maeneo ya mnazi mmoja.
Hapa sasa hakuwahitaji wale watu tena, akabaki
peke yake.
. . Hassan baada ya kuelezwa kuwa binti yule
hakuwa amepata majeraha makubwa sana
aliamua kuondoka naye aweze kumrejesha
nyumbani.
Wakiwa ndani ya gari Hassan Tembo akakumbuka
kuwa siku hiyo hakuwa ametimiza kile ambacho
alikuwa akikitumikia.
. . Dini ya shetani.
Hassan alitakiwa kumwongezea wafuasi shetani.
Na wafuasi waliokuwa wakihitajika ni wasichana.
. . Hassan alitakiwa kuwa anawaingiza wasichana
katika utumwa ambao utawaweka dhambini.
Tayari alikuwa amewavuruga wasichana wapatao
sita. Wasichana hawa sita kadri walivyokuwa nao
wanaunda cheni kubwa zaidi ndivyo Tembo
alivyozidi kutajirika.
Hii iliitwa biashara ya mtandao ambayo Tembo
alijiunga ili aweze kujikwamua kutoka katika
umasikini.
. . Mitindo yake ya kizaramo, ujanja katika
mapenzi ulimuwezesha kuwakamata wasichana
wengi sana.
. . Sasa aliona hata Asia alikuwa msichana sahihi
sana kwake.
. . “Binti..unaishi wapi kwani?” Tembo alivunja
ukimya.
. . “Mbagala rangi tatu..” Asia alidanganya.
. . “Ok..naomba tupite mahali nimesahau kifaa
changu halafu nikupeleke nyumbani.” Tembo
akaingiza ujanja.
. . Asia hakupinga, kwani hata yeye alikuwa
anataka Tembo ajilengeshe aweze kumtapeli
kidigitali.
. . Tembo aliendesha gari hadi akaifikia hoteli
maarufu na ghali mitaa ya Kinondoni.
Akamuacha Asia garini, upesi upesi Tembo
akachukua chumba.
. . Akamwendea Asia garini.
. . Akamsihi wapate chakula kabisa. Asia
hakupinga akakubali.
Moyoni kila mmoja alikuwa akifurahia kuwa na
mwenzake zaidi na
zaidi.
. . Kila mmoja alikuwa akiwaza la kwake lakini
lililofanana na la mwenzake. Asia alikuwa akiwaza
namna ambavyo atamuingiza mkenge Hassan
Tembo na kisha kujipatia pesa za bwelele, Hassan
Tembo naye alikuwa akiwaza na kuwazua namna
ambavyo atamtumia Asia kupata pesa nyingi zaidi.
. . Kila mmoja alikuwa kidigitali zaidi. Pagumu
hapo…
. . Tembo hakuwa na wasiwasi kuhusu kufanikiwa
kwake kwani alikuwa anaamini kuwa yupo ambaye
alikuwa akifanya kzi badala yake.
. . Asia alilazimika kutumia akili zaidi.
. . Baada ya kupata chakula Tembo nd’o alizuga
kukumbuka kitu ambacho alikuwa amekisahau
katika chumba kimojawapo katika hoteli hiyo.
. . “Vipi nikusindikize?” Asia aliingiza ujanja wake.
Tembo akafurahia ombi lile.
Asia digitali na Hassan Tembo wakaongozana hadi
chumbani.
Kama ilivyokawaida ya Asia akazuga hapa na pale
mara ajikalishe vibaya.
Tembo akatabasamu kisha akafanya kitendo cha
ghafla ambacho Asia hakukiona lakini taratibu hali
ikabadilika.
. . Matiti ya Asia yakaanza kumwasha taratibu,
akayakuna kidogo. Mara yakaendelea kumwasha
tena.
. . Hali hii ikamshangaza kidogo, muwasho huu
ulikuwa wa aina yake. Haukuwa katika namna ya
kukera lakini ulikuwa wa kusisimua.
. . Asia anasisimka? Maajabu.
Matiti yakaendelea kuwasha kwa fujo.
. . Asia sasa alikuwa anamuhitaji mkunaji.
. . Nani zaidi ya Tembo?
. . Tembo alielewa ni nini kinaendelea. Alimsikitikia
sana Asia kwani alikuwa anaenda kuingizwa katika
mtiririko wa aina yake ambao unamaana moja tu.
Kumtumikia shetani.
Ni kweli Asia alikuwa amemtumikia shetani kwa
kipindi kirefu, lakini hii ya sasa ilikuwa ni
utumikiaji wa kilazima.
. . Tembo alikuwa anamuingiza katika ajira mbaya.
Asia akiwa pale kitandani jicho limemlegea
hakuelewa ni nini kinaendelea lakini hakika alikuwa
anahitaji huduma kutoka kwa Tembo.
Hassan Tembo akajawa na huruma akamvagaa
Asia pale kitandani.
. . Kwa mara ya kwanza baada ya miaka kadhaa
Asia alikuwa akifurahia penzi. Hisia zilikuwa juu
mno na alionyesha ushirikiano wa hali ya juu.
Wazo la kutumia upenyo ule kumwibia Tembo
lilipotea, Asia alikuwa katika dunia nyingine.
. . Laiti kama Asia angekuwa anamtambua Tembo
vizuri, asingethubutu kujiingiza katika jaribio la
kumdhulumu.
. . Tembo alikuwa mwanaume kama wanaume
wengine kwa sababu anavaa suruali kama wengine
lakini Tembo hakuwa mwanaume wa kawaida.
Alikuwa anasambaza ajira ya kutoka kuzimu. Ajira
ya kumtumikia shetani.
. . Baada ya tendo Asia alikuwa amechangamka
sana. Alikuwa amepata faraja ya mwili wake.
Asia akaijiwa na wazo la kuzungumza zaidi na
Tembo ikiwezekana wawe wapenzi.
Akapanga kusema haya kwa Tembo baadate
wakiachana.
. . Tembo kama alivyoahidi alimwendesha Asia
hadi Mbagala akamwacha kituo kikuu. Wakapeana
namba na kuagana. Asia akiwa anashangaa
Tembo ni mwanaume wa aina gani hadi ameweza
kumpagawisha namna ile.
. . Siku iliyofuata kizungumkuti kikaanza.
KULIKONI ASIA KUKOLEA KWA TEMBO..
KIZUNGUMKUTI GANI KINAMKUMBA???
KILA CHENYE MWANZO HAKIKOSI KUWA NA MWISHO NA MWISHO WA ASIA DIGITALI UMEKARIBIA...
 
. . Siku iliyofuata kizungumkuti kikaanza.
KULIKONI ASIA KUKOLEA KWA TEMBO..
KIZUNGUMKUTI GANI KINAMKUMBA???
KILA CHENYE MWANZO HAKIKOSI KUWA NA MWISHO NA MWISHO WA ASIA DIGITALI UMEKARIBIA...
VAN HEIST leta vitu ,nataka nijue MNYAMA amefanyaje DIGITAL!
 
Last edited by a moderator:
. . Siku iliyofuata kizungumkuti kikaanza.
KULIKONI ASIA KUKOLEA KWA TEMBO..
KIZUNGUMKUTI GANI KINAMKUMBA???
KILA CHENYE MWANZO HAKIKOSI KUWA NA MWISHO NA MWISHO WA ASIA DIGITALI UMEKARIBIA...
[MENTION]VAN VEIST[/MENTION] leta vitu ,nataka nijue MNYAMA amefanyaje DIGITAL!
 
SEHEMU YA MWISHO
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka kadhaa Asia
alikuwa akifurahia penzi. Hisia zilikuwa juu mno na
alionyesha ushirikiano wa hali ya juu.
Wazo la kutumia upenyo ule kumwibia Tembo
lilipotea, Asia alikuwa katika dunia nyingine.
. . Laiti kama Asia angekuwa anamtambua Tembo
vizuri, asingethubutu kujiingiza katika jaribio la
kumdhulumu.
. . Tembo alikuwa mwanaume kama wanaume
wengine kwa sababu anavaa suruali kama wengine
lakini Tembo hakuwa mwanaume wa kawaida.
Alikuwa anasambaza ajira ya kutoka kuzimu. Ajira
ya kumtumikia shetani.
. . Baada ya tendo Asia alikuwa amechangamka
sana. Alikuwa amepata faraja ya mwili wake.
Asia akaijiwa na wazo la kuzungumza zaidi na
Tembo ikiwezekana wawe wapenzi.
Akapanga kusema haya kwa Tembo baadaye
wakiachana.
. . Tembo kama alivyoahidi alimwendesha Asia
hadi Mbagala akamwacha kituo kikuu. Wakapeana
namba na kuagana. Asia akiwa anashangaa
Tembo ni mwanaume wa aina gani hadi ameweza
kumpagawisha namna ile.
. . Siku iliyofuata kizungumkuti kikaanza.
. . Asia akiwa peke yake chumbani, alianza
kupatwa na hisia za maajabu.
Zile hisia za kuwashwa matiti na kupata hamu ya
kufanya ngono.
. . Asia alizipuuzia lakini mara zikaendelea
kumnyanyasa. Asia alihitaji kukunwa, lakini
mkunaji angetoka wapi?
. . Mkusanya uchafu alisikika akiugonga mlango
wa Asia. Kinyume na siku zote Asia alimkaribisha
ndani. Mkusanya uchafu akaingia, Asia akafika
hadi sebuleni akiwa na kanga moja.
. . Mkusanya uchafu akashangaa lakini hakuweza
kufumba macho. Alibaki katika mduwao wake
katika sekunde kadhaa. Asia hakumruhusu
aendelee kuduwaa akaiangusha ile kanga chini
sasa alibaki mtupu, cheni ya dhahabu
ikiking’arisha kiuno chake. Mzoa uchafu alikodoa
macho asijue nini cha kufanya!!!
. . Asia alikuwa katika mateso makubwa.
. . Mzoa uchafu akiwa anakodoa macho Asia
akamrukia pale alipokuwa.
. . Mkusanya uchafu akaona hii ilikuwa nafasi ya
kipekee ya kutuliza hamu zake. Akamvamia Asia
kwa nguvu kama wanaoshindana katika hilo kila
mmoja akitaka kuwa mjuzi kuliko mwenzake.
. . Kilichofuata Asia hawezi kukisimulia zilikuwa ni
raha za kipekee. Walishindana, Asia akikizungusha
kiuno chake kwa bidii zote, mzoa uchafu naye
akionyesha ujuzi mchanga aliokuwanao.
Baada ya tendo Asia akakimbia chumbani kwa
aibu kubwa. Mkusanya uchafu akaondoka zake
huku akistaajabu nini kimetokea. Ilikuwa kama
muujiza tu katika jumba la asia. Mzoa uchafu
akahisi labda Asia alipandwa na majini na kujimuta
akifanya kile alichokifanya.
Lakini kama ni majini ama la! Yeye haikumuhusu,
aliambulia raha!!
Huu haukuwa mwisho wa sintofahamu ile!!
. . Hali hii ya utumwa iliendelea tena siku nyingine.
Siku hii mwili wa Asia ukawa mali ya ‘Mr.
kucha’…….
Ugonjwa ulimuanza punde baada ya Mr Kucha
kuanza kumsafisha miguu yake tayari kwa
kumsafisha kucha na hatimaye kumpa rangi, Asia
alikuwa akijiandaa kwa mtoko usiku huo!!
Lile janga la mzoa uchafu alikuwa ameamua
kulipuuza na kuiita ajali tu!!
Mikono ya Mr Kucha ikaleta msisimko fulani
ambao ulikuwa unatambaa, ulianzia kidoleni,
ukayasisimua mapaja na hatimaye ukafanya
utekenyo katika kitovu na matiti yake. Msisimko
ule ukasafiri na kutawala mgongo wake.
Naam!! Yaleyale yalikuwa yamejirudia, Asia
alikuwa kama anayepapaswa nma mwanaume
mtaalamu katika Nyanja hizi ajuaye nini maana ya
kumwandaa msichana.
Zile chuchu zilizokuwa zinawashwa akatamani
kuzibugia na kuzinyonya huenda muwasho ule
utapungua. Lakini zilikuwa wima sana hata
asingeweza kuzilamba. Bila shaka alihitaji mtu wa
kuzilamba.,
Nani sasa katika mazingira hayo!!
Hakuna mwingine zaidi yam r kucha.
Katika siku za nyuma bwana huyo alikuwa
amejaribu mara kadhaa kurusha ndoano kwa asia
lakini hakufanikiwa kwa sababu Asia alikuwa
kibiashara na hakuona huyo msafisha kucha
atamnufaisha kwa lipi.
Labda kumsafisha kucha bure!!!
Sasa yule aliyepuuzwa leo hii thamani yake
inaonekana.
Asia akaanza kuguna kimahaba kila Mr Kucha
alivyokuwa akimpapasa mguu wake wakati
anausafisha.
Miguno ikayafikia masikio ya Mr Kucha,
akajiongeza.
Badala ya kusafisha kucha mikono yake ikatambaa
hadi mapajani!!!
Asia kimya!!
Akaongeza akaifikisha katika….katika…..mgongo
wa Asia.
Bado Asia kimya akizidi kuhema kwa nguvu!!
Mr Kucha akaondolewa uoga baada ya Asia
kupitisha mikono yake na kuufungua mkanda wa
suruali yake!!
Akajiongeza maradufu akamsaidia kuivua!!
Waa!!! Wote wakawa uchi wa mnyama!!
Tatizo Mr Kucha alikuwa na usongo.
Akapaparuka kwa pupa zote.
Afadhali Mzoa uchafu alikidhi haja za asia, Mr
Kucha hovyoooo!!
Akamwacha Asia hoi zaidi ya awali!!! Akabaki
kujifinyafinya mwenyewe.
Alitia huruma kumtazama!!
“Jamani Tembooo!!” alilalamika Asia akikumbuka
mikito ya mtoto wa kizaramo.
. . Hii nayo ikapita.
Asia hakuwa kibiashara tena bali alikuwa analiwa
bure tena alikuwa akipata faraja ya hali ya juu.
. . Asia yule wa digitali akajikuta amewingizwa
mkenge. Sasa akawa mfuasi wa mapenzi. Tena
bora yangekuwa mapenzi.
Ngono!! Alikuwa mfuasi wa ngono!!!
Hakujua kama mapenzi hayo alipachikwa na
Hassan Tembo ili amsaidie kuongeza idadi ya
waumini katika kontena lake la kishetani.
Kila muumini mpya mmoja, pesa ya Tembo ilikuwa
inaongezeka.
Asia hadi kufikia wakati huo alikuwa amevuta
wateja wapya sita na alikuwa anaendelea kuvuta
wengine.
. . Fedheha na aibu zikamtawala na kumpelekesha
Asia, akajikuta katika maamuzi mabaya sana.
Maamuzi ya kukataa kurejea alipotoka.
. . Asia alikuwa mfuasi wa mapenzi hapo zamani,
alikuwa akipenda amependa kweli lakini baadaye
akayageuza mapenzi hayo kuwa biashara. Akapata
pesa nzuri. Lakini tangu akutane na Hassan
Tembo basi mambo yakabadilika, hazikuwa zikipita
siku tatu, Asia alikuwa anahitaji mwanaume wa
kukidhi haja zake.
. . Alikuwa anawashwa sana matiti yake, ni
mwanaume pekee alihitajika kwa ajili ya kumkuna.
Kila alivyokunwa akajikuta akitoa na utupu wake.
Hii kwake ilikuwa dharau isiyostahimilika.
. . Asia akaamua kwenda kwa waganga wa
kienyeji. Hawa nao wakamtaka kimapenzi.
Akawapa huduma bila mafanikio.
. . Baadhi ya waganga wakampa maelekezo kuwa
kila anapowashwa awe anawatembelea wampe
tiba. Huu akaona ni upuuzi.
. . Waganga wa jadi hawakumsaidia chochote.
. . Hospitali napo walisema lugha zao ngumu
ambazo Asia hakuzielewa, wakampatia vidonge
lakini bado hali ikawa tete.baadhi ya madaktari
nao wakaonja ladha ya tunda jekundu la Asia.
Hamu kwa Asia ikadumu. Na alipoipata haikupoa
hadi pale alipopata wa kumpooza. Leo akipoozwa
na huyu kesho anapoozwa na yule.
. . Wanaume wakahadithiana na sasa wakawa
wanamlia ‘taiming’ akiwashwa wamkune.
Hali hii ikamdhoofisha Asia. Na kumweka katika
hali ya kukata tamaa.
Hakuwa mchakarikaji tena. Hakuwa kidigitali tena.
Asia hakungoja ukurasa huu ujifunge wenyewe
akaamua kuufunga kwa nguvu.
. . Ilikuwa siku kama siku nyingine, wanaume
kadhaa walikuwa wakiranda randa jirani na
nyumba ya Asia wakingoja akumbwe na pepo
muwasho waweze kujilia vya bure.
Walingoja sana kwa siku hiyo lakini hapakujiri
chochote. Hali ambayo iliwakera sana, kwani
waliufanya mwili ule kama mali yao halali.
. . Wengine waliendelea kuvuta subira hadi usiku
lakini cha kustaajabisha Asia hakusikika walau
kujishughulisha katika chumba chake.
Ajabu na kweli. Au kapona??
. . Siku nzima bila kutoka kitandani.
. . Wanaume wenye uchu wakaamua kuingia ndani,
kutazama kulikoni.
. . Wakatumia tochi zilizo katika simu zao.
. . Wakapekua huku na kule, hawakuona mtu.
Mwisho wakalifikia jiko.
Ni huku walipoukuta mwili wa Asia ukiwa
unaning’inia juu ukipewa msaada na kipande cha
kanga kilichofungwa vyema na kuunganisha
kiwiliwili chake na mbao juu ya dari.
Ulimi nje.
Asia hakuwa hai tena. Alikuwa ameamua kujiua
. . Alizaliwa kianalojia akaishi kidigitali na
hatimaye anakufa kianalojia akiwa na upande wa
kanga shingoni kwake, ulimi nje. Miguu ikining’inia.
. . Wale waliokuwa marafiki zake walikana kumjua.
Wale walioshiriki naye kuzitumia pesa alizochuma
kidigitali wote wakajiweka mbali na mwili ule.
Serikali ikachukua maamuzi baada ya kutangaza
na ndugu kukosekana.
Asia akazikwa na serikali.
Huu ukawa mwisho wa simulizi yake ya maisha.
 
Alizaliwa kianalogi, akaishi kidigitali, kwa mbwembwe na madoido tele! Akadhani ulimwengu ni wake, wake peke yake! Akaishi fasta fasta utadhani kesho haipo! Asia digitali alisahau "za sakafuni ukingoni huishia"
Leo darini ananing'inia, hana jipya, kianalogi amejifia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…