jangwaniii shule yetuuu, jangwaniii naipendaaa. Jangwaniii yasifikaaa, kokoteee tanzaniaaaaa. Jenga, jiheshimu jitegemeee, ni motooo wa shule yetuuuu.
Daahh, nimekumbuka mbali Tyta
Nina mjomba wangu wa kike anaesoma form three,amekuwa na mtindo wa kutoroka na kwenda kwa jamaa ake usiku kila mara pasipo sie kujua sasa tumeligundua na kuwafumania huo usiku na mpaka sasa hivi wapo ndani (jela) je!?mnanishauli niwafanyeje!?
Pole! Enzi zetu shuleni tulikua tunalishwa ugali au kande zinanuka mfuta mafuta ya taa..tuliamini tulifanyiwe vile kupunguza mchecheto ea kutaka mapenzi. Baada ya kusema hayo nakupa ushauri.. kwa spidi ya huyo binti wekeni bili ya at least lita moja per day ya mafuta taa mumpige dozi ya uhakika atulie. Mkidharau ushauri huu.. 1. Mimba is around ze kona 2. Kula hasara ya ada 3. Wataongezea wengine
jangwaniii shule yetuuu, jangwaniii naipendaaa. Jangwaniii yasifikaaa, kokoteee tanzaniaaaaa. Jenga, jiheshimu jitegemeee, ni motooo wa shule yetuuuu.
Daahh, nimekumbuka mbali Tyta
Nina mjomba wangu wa kike anaesoma form three,amekuwa na mtindo wa kutoroka na kwenda kwa jamaa ake usiku kila mara pasipo sie kujua sasa tumeligundua na kuwafumania huo usiku na mpaka sasa hivi wapo ndani (jela) je!?mnanishauli niwafanyeje!?
Nina mjomba wangu wa kike anaesoma form three,amekuwa na mtindo wa kutoroka na kwenda kwa jamaa ake usiku kila mara pasipo sie kujua sasa tumeligundua na kuwafumania huo usiku na mpaka sasa hivi wapo ndani (jela) je!?mnanishauli niwafanyeje!?