Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,425
Zuzu mmoja aliamua kuvamia msitu wa serikali ambao upo kwenye mlima kavuna miti yote kisha kanza kuchana mbao wakati anachana mbao kumbe polisi wameshapewa taarifa walipomkuta wakaanza kumhoji:
Polisi:Kwanini umefanya uharibifu huu kwa kuharibu mali ya srikali?
Jamaa: Huu siyo uharibifu
Polisi:Ila ni nini?
Jamaa:Natimiza maandiko
Polisi:Maandiko gani?
Jamaa:Nenda kasome Hagai 1:8
Polisi:Hebu nifafanulie mie naona unanipotezea muda
Jamaa: Imeandikwa hivi "Nendeni kwenye miti ya milima mlete mbao na mjenge nyumba"
wakati mwingine siyo vizuri kuchanganya SHISHA na tangawizi ya sumbawanga
Polisi:Kwanini umefanya uharibifu huu kwa kuharibu mali ya srikali?
Jamaa: Huu siyo uharibifu
Polisi:Ila ni nini?
Jamaa:Natimiza maandiko
Polisi:Maandiko gani?
Jamaa:Nenda kasome Hagai 1:8
Polisi:Hebu nifafanulie mie naona unanipotezea muda
Jamaa: Imeandikwa hivi "Nendeni kwenye miti ya milima mlete mbao na mjenge nyumba"
wakati mwingine siyo vizuri kuchanganya SHISHA na tangawizi ya sumbawanga