Habari za majukumu wakuu.
Kama uliomba hio kitu hapo juu kaa mkao wa kuitwa. MIE nimeitwa leo via SMS.
Mkuu mimi pia nilkua safarini kesho ndio natarajia kufika huko. Ila kwa uzoefu tu hua unatakiwa kua na documents zote muhimu kama certified copies za vyeti vyako, barua toka bodi kuthibitisha kua unalipa mkopo au makubaliano yoyote baina yako na bodi uu ya mkopo.
Then ukiwa tayari wanakupa agency namba na maelekezo unaenda kujaza online application. Pia hua kuna kujaza medical form.
Kesho nikifanikiwa kufika huko nitatoa feedback, ila mara nyingi hua wanatoa one week kukamilisha kila kitu.
Kama uliomba hio kitu hapo juu kaa mkao wa kuitwa. MIE nimeitwa leo via SMS.
Mkuu MB funguka basi!
Mkuu mimi pia nilkua safarini kesho ndio natarajia kufika huko. Ila kwa uzoefu tu hua unatakiwa kua na documents zote muhimu kama certified copies za vyeti vyako, barua toka bodi kuthibitisha kua unalipa mkopo au makubaliano yoyote baina yako na bodi uu ya mkopo.
Then ukiwa tayari wanakupa agency namba na maelekezo unaenda kujaza online application. Pia hua kuna kujaza medical form.
Kesho nikifanikiwa kufika huko nitatoa feedback, ila mara nyingi hua wanatoa one week kukamilisha kila kitu.