Chinese food zinanishinda kula, kuna wengine wenye tatizo hili?

3838c173afab2f5bf82e8023582e29e9.jpg


Hii ndio Dapanzhi
 
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki niliyowapata nimeweza kumudu kula vyakula vya nchi wanazotoka.

Kitanda changu ninahakikisha ni kisafi mahali ninapoweza kupata usingizi mzuri kwani hii ni starehe unayopata bila malipo.

Katika vyakula nimejaribu kula Chinese nimeshindwa kabisa, siku ya kwanza nilikuwa na wenzangu safarini, group lote waliamua kwenda Chinese restarant, niliingia chakula chote nilichokula nilirudisha change pale, ilibidi niweke tissue mdomoni nikikimbila bafuni. Mara ya pili binamu yangu alinipeleka buffet ya wa-China, nilishindwa kumwambia hiki hakipandi, tumefika nilijikaza, tumerudi nyumbani yaliyonitokea sina haja ya kusema mengi.

Hivi ni mimi tu au kuna ambao chakula cha wa-China hakipandi?

Afadhali yako unatapika mimi nikila kinapitiliza kutoka huku nyuma wakati huo huo wa kula
 
Miaka yote nloishi china sijawahi kukielewa chakula chao, hakina fleva kabisa maswala ya spices kwao hayana kipaumbele.sana sana napendelea chakula cha wachina wa Xinjiang,maana wao wanapika kipwani zaidi tafauti na wachina wengine

Vyakula vyao ndo kama hivi
699b779a11e9398e15a525b04bd0d1a5.jpg


a984e647cc154f5318c3440dac21f63b.jpg


49e646a2c9287c4d5316bfbfeb8a11b7.jpg


c8e388c2f4cdf9c8053543c9b4fcd2a1.jpg


d2bd8f4ecc8b3b2dd0f2ca15eb7bef5f.jpg
 
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki niliyowapata nimeweza kumudu kula vyakula vya nchi wanazotoka.

Kitanda changu ninahakikisha ni kisafi mahali ninapoweza kupata usingizi mzuri kwani hii ni starehe unayopata bila malipo.

Katika vyakula nimejaribu kula Chinese nimeshindwa kabisa, siku ya kwanza nilikuwa na wenzangu safarini, group lote waliamua kwenda Chinese restarant, niliingia chakula chote nilichokula nilirudisha change pale, ilibidi niweke tissue mdomoni nikikimbila bafuni. Mara ya pili binamu yangu alinipeleka buffet ya wa-China, nilishindwa kumwambia hiki hakipandi, tumefika nilijikaza, tumerudi nyumbani yaliyonitokea sina haja ya kusema mengi.

Hivi ni mimi tu au kuna ambao chakula cha wa-China hakipandi?
mimi kama wewe mkuu...
 
Chinese food is the best food in the world.Huenda spices zinakushinda.Kuna msemo unasema"act like a British gentleman, eat the Chinese food ,marry a Japanese woman.Hotel kubwa zilizo nyingi wapishi ni wachina sehemu nyingi duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea kama umeishi beifang au nanfang...

Beifang ndio kuna vyakula weird, lakini ukiishi kusini kusini kuna dishes poa sana mfano dishes za sichuan l, changsha, wuhan kote huko ziko bomba sana...

Ushawahi kula "wuchang yu 武昌鱼wewe?
Miaka yote nloishi china sijawahi kukielewa chakula chao, hakina fleva kabisa maswala ya spices kwao hayana kipaumbele.sana sana napendelea chakula cha wachina wa Xinjiang,maana wao wanapika kipwani zaidi tafauti na wachina wengine

Vyakula vyao ndo kama hivi
699b779a11e9398e15a525b04bd0d1a5.jpg


a984e647cc154f5318c3440dac21f63b.jpg


49e646a2c9287c4d5316bfbfeb8a11b7.jpg


c8e388c2f4cdf9c8053543c9b4fcd2a1.jpg


d2bd8f4ecc8b3b2dd0f2ca15eb7bef5f.jpg
 
I don know nothing about em european food..when it comes to BBQ or beef fillet kuna wamexican na brazilians buanaaa...

Kwenye hayo mambo ya BBQ, mambo ya Choma choma nadhani ma boer wa RSA wako vizuri mno na BRAAI zao
 
Inategemea kama umeishi beifang au nanfang...

Beifang ndio kuna vyakula weird, lakini ukiishi kusini kusini kuna dishes poa sana mfano dishes za sichuan l, changsha, wuhan kote huko ziko bomba sana...

Ushawahi kula "wuchang yu 武昌鱼wewe?
Hahah mkuu mi nlikuwa zaidi shenzhen na guangzhou,sijawahi kuvipenda vyakula vyao kwa kweli sjawahi hata jisumbua kujua majina,siunajua wale kitimoto ndo mboga ya taifa na mie mwislamu,tokea nilivyonusurika kulishwa wali kitimoto ndo nkakimbilia kwa waxinjian mana wale tunafanana kiimani so vyakula vyao ni halal.
 
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki niliyowapata nimeweza kumudu kula vyakula vya nchi wanazotoka.

Kitanda changu ninahakikisha ni kisafi mahali ninapoweza kupata usingizi mzuri kwani hii ni starehe unayopata bila malipo.

Katika vyakula nimejaribu kula Chinese nimeshindwa kabisa, siku ya kwanza nilikuwa na wenzangu safarini, group lote waliamua kwenda Chinese restarant, niliingia chakula chote nilichokula nilirudisha change pale, ilibidi niweke tissue mdomoni nikikimbila bafuni. Mara ya pili binamu yangu alinipeleka buffet ya wa-China, nilishindwa kumwambia hiki hakipandi, tumefika nilijikaza, tumerudi nyumbani yaliyonitokea sina haja ya kusema mengi.

Hivi ni mimi tu au kuna ambao chakula cha wa-China hakipandi?
Nimejaribu mavyakula mengi, lakini ya kichina nimekoma!!

Sitasahau mateso nliyoyapata Hong Kong...
 
Naam ukiwa Guangzhou au Shenzhen ni bora uende kwa hao mabwana, ukipata mifan yako iliyochanganywa na jidan, na hiyo dapanzhi au xiaopanzhi...hahah...mambo yanakuwa barabara!!!

Hahah mkuu mi nlikuwa zaidi shenzhen na guangzhou,sijawahi kuvipenda vyakula vyao kwa kweli sjawahi hata jisumbua kujua majina,siunajua wale kitimoto ndo mboga ya taifa na mie mwislamu,tokea nilivyonusurika kulishwa wali kitimoto ndo nkakimbilia kwa waxinjian mana wale tunafanana kiimani so vyakula vyao ni halal.
 
Rafiki yangu alikwenda kwenye conference China alikaa mwezi mmoja. Anadai alikuwa viazi kila siku kwa mwezi mzima, vyakula vya ki-China vilimshinda.
 
Chakula cha kichina ni michemsho yenye ladha asilia na mwonekano asilia. Tofauti na vyakula vya kihindi ambavyo uonekano wa asilia u afichwa ka kukaangiza kwingi. Kila kilichopikwa utakiona kwa uhalisi wake. Ndio naama ulitapika kwa kuona, kuhofia na kudhania. Ukivizoea vyakula vya kichina ni vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam ukiwa Guangzhou au Shenzhen ni bora uende kwa hao mabwana, ukipata mifan yako iliyochanganywa na jidan, na hiyo dapanzhi au xiaopanzhi...hahah...mambo yanakuwa barabara!!!
Hahah hayo majina sasa ndo unaniacha hoi,mi nlikuwa naangalia tu picha kwenye menyu
 
Back
Top Bottom