Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Hili linanishangaza sana,inakuwaje China ikatae status ya kuitwa Developed Economic wakati ni ya pili kwa ukubwa kiuchumi Duniani,je kuna advantages zipi anazopata kwa kuwa na status ya developing country na hasara gani anapata akiitwa Developed County.
NB:kuna Nchi fulani ipo East Africa Rais wake aliwatangazia Wananchi wake kuwa Nchi yake kwa sasa ni Donor Country/Developed County,je anayajua madhara yake maana hawa wachina wafadhili wake wanalialia hivi.View attachment 1216664
NB:kuna Nchi fulani ipo East Africa Rais wake aliwatangazia Wananchi wake kuwa Nchi yake kwa sasa ni Donor Country/Developed County,je anayajua madhara yake maana hawa wachina wafadhili wake wanalialia hivi.View attachment 1216664