China yakataa kutambulika kama ni Nchi iliyoendelea kiuchumi/Developed Economic Status,yasema yenyewe ni developing country.

Kwahiyo unataka tusemeje ndugu? Unataka tuunge mkono miaka mingine 60 ya upuuzi na siasa sa kibaguzi? Unatamani nchi iendelee kudhalilika mpaka lini?
Tatizo tunataka mabadiliko hali ya kuwa sie wenyewe hatutaki kubadilika,bado tunachezeshwa ngoma za wanasiasa tu ukiangalia mijadala mingi humu ya siasa utagundua siasa za vyama ndio zimewatawala watu,tunapelekwa pelekwa tu na wanasiasa ila siku tukijitambua na kuamua kubadilika na hapo ndipo tutaweza kufanya mabadiliko.

Hawa wanasiasa tuliyowawekea mategemeo na matumaini yetu wao hujari masilahi yao kwanza halafu ndio hufuata mengine na ndio maana wakati mwengine wanaweka tofauti zao pembeni pale penye masilahi yao.
 
USA utasemaje???
Watafiti wameshaonesha ya kuwa uchumi wa China uko imara kuliko wa USA.
Sio kweli, ushabiki maandazi tu huo. Uchumi wa China unashuka kila siku wewe unasoma vitu gani kwenye mitandao.
Wawekezaji wanahamia Vietnam, Thailand, Malaysia nk.
 
Sio kweli, ushabiki maandazi tu huo. Uchumi wa China unashuka kila siku wewe unasoma vitu gani kwenye mitandao.
Wawekezaji wanahamia Vietnam, Thailand, Malaysia nk.
Oohooo bro kwahyo mm nimekuwa mshabiki maandazi?
China unaifananishaje na vitu vya kipuuxi km hayo mataifa ulioyataja ?
Hv haujui km dunian china ana contribute 60% ya manufactured goods?
Kwahyo USA WAMEKUWA MASHABIKI MAANDAZI??
MKUU INAMAANA WANA UCHUMI NI MASHABIKI MAANDAZI??






Hebu msikilize huyu jamaa kwann vita ya kiuchumi baina ya US na China ,US anaelekea kushindwa.
Inamaana China ana economic stability kumshinda USA.
 
Teh teh watafiti gani hao?labda wakina Mpango
ACHENI KASUMBA NINYI WATUUU!!
AYA SOMA HAPO CHINI HAO NI WAKINA MPANGO??!!
SMARTPHONE ZENU SIJUI MNAZITUMIA KTK NINI?!!

1. United States
Despite facing challenges at the domestic level along with a rapidly transforming global landscape, the U.S. economy is still the largest in the world with a nominal GDP forecast to exceed USD 21 trillion in 2019. The U.S. economy represents about 20% of total global output, and is still larger than that of China. The U.S. economy features a highly-developed and technologically-advanced services sector, which accounts for about 80% of its output. The U.S. economy is dominated by services-oriented companies in areas such as technology, financial services, healthcare and retail. Large U.S. corporations also play a major role on the global stage, with more than a fifth of companies on the Fortune Global 500 coming from the United States.
The U.S. economy is projected to grow 2.5% in 2019 and 1.7% in 2020.
2. China
The Chinese economy experienced astonishing growth in the last few decades that catapulted the country to become the world's second largest economy. In 1978—when China started the program of economic reforms—the country ranked ninth in nominal gross domestic product (GDP) with USD 214 billion; 35 years later it jumped up to second place with a nominal GDP of USD 9.2 trillion.
Since the introduction of the economic reforms in 1978, China has become the world’s manufacturing hub, where the secondary sector (comprising industry and construction) represented the largest share of GDP. However, in recent years, China’s modernization propelled the tertiary sector, and in 2013, it became the largest category of GDP with a share of 46.1%, while the secondary sector still accounted for a sizeable 45.0% of the country’s total output. Meanwhile, the primary sector’s weight in GDP has shrunk dramatically since the country opened to the world.
Today the Chinese economy is the second largest in the world and although it experienced massive growth in that 35-year span, authorities have taken a new approach to the economy called the “new normal.” To avoid overheating the economy, authorities are conducting a managed slowdown, which has seen growth gradually slow year after year since 2010. The economy is projected to grow 6.3% in 2019, which is nothing to sniff at, but is a far cry from the over 10% annual growth seen not too long ago.
3. Japan
The Japanese economy currently ranks third in terms of nominal GDP forecast to come in at USD 5.2 trillion in 2019.
Before the 1990s, Japan was the equivalent of today’s China, growing rapidly during the 1960s, 70s and 80s. However, since then, Japan’s economy has not been quite as impressive.
During the 1990s, also termed the Lost Decade, growth slowed significantly, largely due to the burst of the Japanese asset price bubble. In response, authorities ran massive budget deficits to finance large public works projects, however, this did not seem to get the economy out of its rut. A number of structural reforms were then enacted by the Japanese government designed to reduce speculative excesses from financial markets, however, this led the economy into deflation on numerous occasions between 1999 and 2004.
The next measure taken was Quantitative Easing (QE), which saw interest rates go zero and an expansion of the money supply to raise inflation expectations. After a period of not-so-positive results from QE, the economy finally appeared to respond. In late 2005, it outperformed both the U.S. economy and the European Union in terms of economic growth.
Despite what appeared to be a comeback, the economy has largely fallen on hard times since 2008, when it began to show signs of recession for the first time during the financial crisis. Japan’s issues stem largely from unconventional stimulus packages along with subzero bond yields and a fairly weak currency . Economic growth will once again be positive in 2019, however, it is forecasted to below 1% from 2020-2023. For 2018 we project 1.1% percent gro


HALAFU ITIZAME HIYO CHART NANI ANAZOROTA NA NANI ANASIMAMA IMARA KATI YA CHINA NA USA.
HALAFU COMPARE AND CONTRAST GAP LILILOPO KATI YA CHINA NA USA NA KASI YA UKUAJI KATI YA CHINA NA USA.

HALAFU HUYO NI MPANGO NDIO KANIIPA HIYO TAARIFA,SAWA MKUU?
focuseconomics_biggest_economies_november_2018-01-01.jpeg
 
Utajiitaje tajiri harafu helayako duniani haitumiki,labda itakapoaza kutumika dunian helayao ndipo labda watakubali kua matajiri
Unaongea pumba mkuu.
Kuwait Dinar ndio hela yenye thamani kuizidi $ dollar.
Mbona haitumiki dunia nzima??
USA ni strong nation kijeshi na kiuchumi ndio maana hela yake inatumika dunia nzima.
 
Utajiitaje tajiri harafu helayako duniani haitumiki,labda itakapoaza kutumika dunian helayao ndipo labda watakubali kua matajiri
Ni kweli US$ ni baba Lao inatumika almost pande zote kama si zote with confidence transaction na pesa ya China iko chini katika kutumika ingawa iko top ten ya reserve currencies za dunia ikiongozwa na $us.

Unaposema duniani what is your reference? Unetembea nchi za Asia wewe?

Unajua kuwa China hiyo hiyo ndio yenye reserve nyingi ya $US zaidi ya 3trillion na inaizidi hadi Marekani yenye hela yake. Unajua reason behind? Confidence.
 
Back
Top Bottom