Halikujengwa na China limejengwa na rais wao Xiao Ping na CCP, hata hivyo wapinzani nao watapita humohumo kwani maendeleo hayana chama.China yawa nchi ya kwanza duniani kujenga daraja refu zaidi kushinda yote.Daraja hilo linaunganisha China bara, Hong Kong na Macau. Hongera saaana china. Ila tuhurumie waafrika na bara letu. Maana unatukamua haswaaa.View attachment 907309