mm kawa ufahamu wangu mdogo niliyo nao tanzania tunahitaji nchi ya aina gani ?warioba alishamaliza kazi, kwa wananchi kusema wenyewe ni nchi ya aina gani wanataka,na sio wanasia kama zito kabwe aje amuwe nchi iwe ya kijamaa,ndio maana naona mafanikio makubwa sana ya ukawa kwa kuwa wao kipaumbele chao cha kwanza ni kusimamia moni ya wananchi yalioko kwenye rasm ya warioba