China to build 30,000 new kilometers of railway before 2020

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Aug 7, 2014
95,565
116,212
China to build 30,000 new kilometers of railway before 2020

The total mileage of China's domestic railway system is expected to grow by 30,000 kilometers before 2020, according to the country's Minister of Transport, Li Xiaopeng, at a press conference held by the State Council Information Office on Feb. 27. One-third of the increased mileage will consist of high-speed rail, Li added.

Li noted that the total mileage of roads will be expanded by 320,000 kilometers during the 13th Five-Year Plan period (2016-2020). The country will also build more than 300 quay berths above the level of 10,000 DWT, in addition to 50 civil air ports.

According to the comprehensive plan for the development of transportation, total investment in transportation during that 13th Five-Year Plan period will be as much as 15 trillion RMB ($2.18 trillion); up to three-quarters of that amount will go toward railways and roads. Railway investment in 2017 alone is expected to reach 800 billion RMB. By 2020, China will have built a comprehensive modern transportation system that is safe, convenient, efficient and green.


China to invest 2.2 trillion dollars in transport by 2020
news.cgtn.com.
Source : CGTN

Swali: Wenzetu wanawezaji na sisi tunashindwa wapi?
 
Kuna vitu vitatu ambavyo ndivyo vinatofautisha kati ya nchi na nchi au bara na bara ktk maendeleo

1 Uwezo wa kiuchumi
2 Uwezo wa kitechnologia
3 Uwezo wa rasilimali watu , ubora wa elimu na huduma za afya
 
Kuna vitu vitatu ambavyo ndivyo vinatofautisha kati ya nchi na nchi au bara na bara ktk maendeleo

1 Uwezo wa kiuchumi
2 Uwezo wa kitechnologia
3 Uwezo wa rasilimali watu , ubora wa elimu na huduma za afya
Mkuu napingana na wewe, tatizo kubwa kwetu ni maisha ya visasi nakutaka kufanya kazi individually badala ya teamwork ilikutaka kuonyesha aliyekuwepo kwenye ile nafasi alikuwa hafai, kitu ambacho siyo sahihi hata kidogo.
 
Mkuu napingana na wewe, tatizo kubwa kwetu ni maisha ya visasi nakutaka kufanya kazi individually badala ya teamwork ilikutaka kuonyesha aliyekuwepo kwenye ile nafasi alikuwa hafai, kitu ambacho siyo sahihi hata kidogo.
Mkuu mm nimezungumzia funguo za maendeleo ambazo ni hzo nilizotaja sijazungumzia siasa japo siasa nzuri zinaweza kuchangia kuharakisha maendeleo
 
Your statement is logically fallacious, semantically erroneous and politically unfounded...I'm not sure about the grammar
Ndugu yangu mimi nina kingereza cha form 4, naoana umetumia misamiati hapo. Chamsingi kama taifa tuwe na vipaumbele vikubwa na vinavyotekelezeka, vidogo tuwaachie kina Makonda. Sasa hivi nchi nzima inaongea kuhusu Makonda.
 
Your statement is logically fallacious, semantically erroneous and politically unfounded...I'm not sure about the grammar
Only the grammar is (slightly) erroneous. the rest are true, albeit unsaid.
 
Ndugu yangu mimi nina kingereza cha form 4, naoana umetumia misamiati hapo. Chamsingi kama taifa tuwe na vipaumbele vikubwa na vinavyotekelezeka, vidogo tuwaachie kina Makonda. Sasa hivi nchi nzima inaongea kuhusu Makonda.
Ndugu yangu mimi nina kiingereza cha darasa la saba. Hapo nimetumia msamiati wa kiingereza changu cha darasa la saba. Ila nakubaliana na wewe kwamba kati ya vipaumbele vikubwa ni vita dhidi ya mihadarati ingawa watu (wafaidika?) wanataka kuhamisha mada
 
Tanzania to detain 300 new opposition before 2020.

Hahahahahaaa! Sasa huu uchochezi
 
Sasa mnataka Tanzania nayo iwe na 30,000 km of railway? Sasa mnataka tukalime wapi!? China ni kubwa sana kuliko Tanzania. Ipime Tanzania na China kwa masuala ya reli kwa kulinganisha uwiano(ratio) huu/hii = urefu wa reli/ ukubwa wa nchi (sq-m)
===
With a little joke!
 
Nasi ingefaa tujenge Reli toka south Africans mpaka Libya.itasaidia sana chumi za nchi zetu.lakini nadhani ni ndoto maana duuu tulivyogawanyika ngumu kukubaliana.Afrika ina kila kitu kasoro uongozi.japo China ni Nchi wakati Afrika ni continent , Matunda kiuchumi ni yaleyale.
 
Back
Top Bottom