EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #41
kwanini mkuuWachina ni waongo waongo sana...
kwanini mkuuWachina ni waongo waongo sana...
Wachina ni waongo waongo sana...
Wachina ni waongo waongo sana...
Tumuulize Prof MajalalaKwani mabeberu wanasemaje EINSTEIN112 ?
Watapotea njia sioDuh, kumbe hata sio mbaaali kiviiile kama Dar - Mwanza tu!!!
Kimbembe ni siku ya kuanza kurudi home
shukran MKUU tupoMkuu ulipotea saana asee karibu tena
Huyo wa katikati ni nduguye Jet Li? 😬😬😬Hong Kong(CNN)A rocket carrying three veteran astronauts bound for China's orbiting space station module will launch from the Gobi Desert in the country's north in just over 24 hours, China's space agency announced Wednesday.
The three men, Nie Haisheng, 56, Liu Boming, 54, and Tang Hongbo, 45, will become the first Chinese astronauts to land on the initial stages of the space station, called Tiangong or Heavenly Palace, which is still under construction in a low Earth orbit.
China's Manned Space Engineering Office made the announcement at a news conference on Wednesday, saying the launch would take place at 9:22 a.m. Beijing time (9:22 p.m. ET) Thursday from Jiuquan Space Launch Center in the Gobi Desert.
chatoHivi sisi tunafeli wapi?
🙆🏾♂️🤣🤣🤣🤣chato
labda aseeHuyo wa katikati ni nduguye Jet Li?
wataokotewa bahari ya HindiWatapotea njia sio
Imperialism stupidityWao wangepigana kuwaondoa wananchi wao wengi ambao bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwenye ufukara kabla ya kuhangaika na hayo ya kwenda sijui wapi huko mradi ambao hauna faida yoyote kwa hao walala hoi.
kama unahisi umaskini unaondolewa kama hvyo unavyowaza pole sana kijana mkubwa mkubwaWao wangepigana kuwaondoa wananchi wao wengi ambao bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwenye ufukara kabla ya kuhangaika na hayo ya kwenda sijui wapi huko mradi ambao hauna faida yoyote kwa hao walala hoi.
New model inatoka lini maana hii ni old modelTutoke kwanza hapa View attachment 1820509
Kaulizie pale Msangani Kwa matiasiNew model inatoka lini maana hii ni old model
Maendeleo ya China yanatusaidiaje Tanzania sana sana ndio watakuja kutunyonya vizuri. Ongelea maendeleo ya Tanzania ndiyo yanaweza yakakusaidia.kama unahisi umaskini unaondolewa kama hvyo unavyowaza pole sana kijana mkubwa mkubwa
inaonekana umeumia sana nahaya maendeleo ya UCHINA
Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
Aisee we ni kizaizai kweli 😂😂Inamuonekano wa Ki-mbwa.
Yaani unaongelea kupaa wakati hata kutambaa hatujaweza ?Hivi sisi tunafeli wapi?