China imevunja moyo wangu

Nawatafakarisha. Vipi kama ile ndege haikuwa imembeba Pelosi kama ilivyotangazwa. Then China wakaishusha kama walivyokuwa wamepania. Then ghafla paaap Pelosi anaibukia Singapore na kurudi zake Washington?

Unaambiwa sasa huko Taiwan hakuna ndege wala yai kuondoka. China keshaamua sasa tangu jana usiku, liwalo na liwe. Maana kila wakati Xi alipokuwa anasoma ujumbe humu JF alikuwa anatokwa machozi balaa.

Ngojeeni kipigo cha Mmarekani!
 
Hahaha
 
Yani ni ujinga kuanzisha vurugu kwa sababu ya mbibi , watu wamechoka kuishi unaanzisha fujo
 
China ni mandonga aliyechengamka😃

Anyway; tumwombe Mungu dunia ibaki kuwa salama. Vita siyo jambo la kushabikia au kuombea
 
wee unachekesha sasa lol.
 
Kuna mgombea urais moja kule Kenya anafagilia sana bangi eti akiwa rais ataihalalisha ilimwe nafikiri utakuwa wa kwanza kuhamia Kenya.
 

Dah nimecheka ksge.
JF sihami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…