Japo sina taarifa sahihi juu ya ahadi ya RA lakini katika mtizamo tu wa kawaida hili ni jibu la RA kurudi kula matapishi yake hata kabla ya waliozimia wakimlilia hajawa discharged from hospital.na inataka ujasiri wa ajabu,tena inahitaji roho ngumu sana,ukusanye watu uwatangazie unaachana na siasa uchwara zilizokuchosha halafu baada ya muda mfupi unajitokeza tena kwa umma huo huo na kupiga kampeni za mtu anaegombea kupita chama chenye siasa uchwara zilizo kuchosha na ukaamua kuachana nazo,hili linahitaji roho ngumu sana,na kwa kuwa pesa ni shetani nadhani huyu RA alikuwa amepewa ahadi maalumu na kweli yametimia.
Igunga tunawategemea sana kuleta mabadilioko kwani sanaa iyote imefanyika mbele zenu leo itakuwa ni ajabu kubwa kama mtu utajilawa asubuhi kwenda kumpigia Dalaly wa madini anaegombea kupitia chama chenye siasa uchwara.siamini kama mtakuwa vipofu kiasi hicho,fanyeni maamuzi sahihi,huu si wakati wa kugeuzwa watoto.
Kila la heri Igunga