Chilling images from South Africa

Chilling images from South Africa

Johannesburg ikifuatiwa na rio na Chicago na Kingston ndiyo mimi yenye uhalifu wa juu duniani.
Wakati wa apartheid kulikuwa hakuna uhalifu.
Tangu mandela ameondoka South Africa ya weusi imekuwa haina mwenyewe ni vurugu tupu
Hawa watu wanaofanya huu uhalifu ni wakatili kuliko wanyama
 
Mi nashauri warudi kwao kwasababu wengi wao ni wahamiaji haramu . Wafuate legal process waishi kihalali. Wengine wanaenda kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu. Acha kuwasingizia south Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
White farmers nao warudi kwao ili waje na Vibali?!
 
Kuwa illlegal immigrant ni kibali cha kumkata mikono na kumchinja binadamu mwenzio?? does that portray sound mind or unsound mind ? Marekani ina illegal allien zaid ya mil 11 (wanatosha kuwa nchi) lakini hatua gani zilifanyika? kama swala la ajira utamuajiri vipi mtu ambaye hana vibali? na kama biashara mamlaka zinazosimamia maswala ya biashara si zipo? they are typical cruel and potray the image of their FATHER who is vividly seen there ... THE DEVIL ... they don't need to feel shame, no need for AU or SADC to say anything as when you see they are quite it's because they agree with what is being done
Najutia nguvu, mali, damu na maeneo yetu tuliyowapa kujihifadhi. We are paying now. Hao wahamiahaji haramu ni sawa na ANC na PAC walivyokuwa wanaingia kwetu bila pass.
 
Najutia nguvu, mali, damu na maeneo yetu tuliyowapa kujihifadhi. We are paying now. Hao wahamiahaji haramu ni sawa na ANC na PAC walivyokuwa wanaingia kwetu bila pass.
Na pengine hata hawajui kama Tanzania iliwasaidia , hiyo inamaanisha kuwa 'baba zao na mama zao' hawakuwafundisha vijana wao kuwa walisaidiwa na nchi kadhaa ikiwemo sisi Tanzania, ukiangalia mahojiano mengi yaliyofanywa miaka ya 70,80 na mwanzoni mwa miaka ya 90 Nyerere alitamka waziwazi hapendi ubaguzi wa rangi na ataendelea kusupport watu weusi wa kusini mwa Africa kwa namna zote (ikiwemo kijeshi) ili wawe kitu kimoja na wazungu hawachukii ila wakubali kuishi kwa usawa na wenzao - hawa watu naona hawakumuelewa anachopigania! alichukuwa bure na media za magharibi kwa misimamo yake waafrica aliokuwa anawatetea ndo wanacholipana huko - balaa
 
Na pengine hata hawajui kama Tanzania iliwasaidia , hiyo inamaanisha kuwa 'baba zao na mama zao' hawakuwafundisha vijana wao kuwa walisaidiwa na nchi kadhaa ikiwemo sisi Tanzania, ukiangalia mahojiano mengi yaliyofanywa miaka ya 70,80 na mwanzoni mwa miaka ya 90 Nyerere alitamka waziwazi hapendi ubaguzi wa rangi na ataendelea kusupport watu weusi wa kusini mwa Africa kwa namna zote (ikiwemo kijeshi) ili wawe kitu kimoja na wazungu hawachukii ila wakubali kuishi kwa usawa na wenzao - hawa watu naona hawakumuelewa anachopigania! alichukuwa bure na media za magharibi kwa misimamo yake waafrica aliokuwa anawatetea ndo wanacholipana huko - balaa
Najutia nyimbo na mapambio tuliyokuwa tukiimba miaka ya sitini na kitu mpaka themanini. Tumechangishwa pesa za ukombozi, watu walienda kupigana. Kuna mlinzi mmoja ofisi niliyofanya kazi alipigana kwanza Namibia halafu Msumbiji wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Alirudi kiziwi. Ofisi yangu ilimnunulia vifaa vya kumsaidia maana alikuwa jasiri.
 
Mi nashauri warudi kwao kwasababu wengi wao ni wahamiaji haramu . Wafuate legal process waishi kihalali. Wengine wanaenda kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu. Acha kuwasingizia south Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi wamekwambia wana deal wahamiaji haramu!?

Je hiyo ndio hukumu yao?

Kwanini mamlaka zisishughulike kisheria na wahamiaji haramu?!

SA are stupids, we lost our brothers in fighting apartheid but we invested for nothing ....something should be wrong with these dudes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...

tatizo wale jamaa hawana elimu yaani ni watu wa ajabu ajabu tu
 
Warning:
The videos in this thread are extremely graphic for vviewers.
Black South Africans are killing black africans from Africa in streets and the African head of states are silent to condemn and take action against this barbaric altitude. They are obviously waiting for the Western world to say something about it. Simply stunning.
Ni sawa sawa na kuua mwizi wa kuku kwa mawe na fimbo,wakati fisadi wa masaki,yupo salama!
Siku zote unatafuta mnyonge wako wa karibu umalizie hasira zako,
Wewe unafikiri hapa bongo,wale deiwaka wanaoua vibaka,wanaweza kwenda coco beach kupiga mawe nyumba za mafisadi! Thubutu yake,watachapwa risasi kama kuku.
Hata black Americans,hasira zao huwamalizia wenzao weusi,hawawezi kwenda kwenye mitaa ya weupe,watatunguliwa kama ngedere.
Hata hao wasausi,sio kwamba wanawachukia weusi wageni,shida yao ni uchumi,na MTU wa karibu anaye chukua ajira zao,ni huyo mgeni,lakini anayesababisha uchumi uwe hivyo,ni wazungu,
Hawawezi kwenda kuwapiga wazungu,ni vigumu kuwafikia,sasa bora wawamalizie hasira hao weusi.
Nothing personal ni swala LA uchumi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa waseenge imefikia hatua wanaamini hakuna nchi kama SA hapa africa. Kwamba wakifukuza na kuua watu mtakufa maama hamna pa kwenda.

Nakumbuka mwaka flani serikali yao ilijifanya inappotezea wapopo wakakiamsha nigeria hawataki msouth nchini kwao, kikaeleweka.
 
Back
Top Bottom