Habari ambazo haziwezi kuthibitishwa kwa haraka zinaeleza kwamba, kuna uwezekano mkubwa kwa wanasiasa hao wawili; Mwambi na Mwanri, kuingia katika Baraza la Mawaziri la Kikwete linalotarajiwa kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa.
SOURCE:Tanzania Daima